uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. tonicimmobility

    GE2025 CHAUMMA kufufua viwanda vya chai Njombe

    Mgombe Urais wa Jamhuri ya Muungano, kupitia chama cha Ukombozi wa UUMA (CHAUMMA) Bw. Salum Mwalim ameahidi kufufua viwanda vya chai vilivyofungwa nchini, kwa kipindi cha miaka mitano ijayo ili kuchechemua shughuli za uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa baada ya zao la chai kudorora. Soma pia...
  2. Waufukweni

    GE2025 DCP Misime: Yanayoendelea kwenye Mitandao ya Kijamii, kuna Uhamasishaji wa Uasi na Picha chafu kinyume na maadili ya Dini

    Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, DCP David Misime akiongea Septemba 27, 2025 kwenye Mkutano wa Jumuiya ya Waislam wa Ahmadiyya amesema yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii, kuna uhamasishaji wa uasi na picha chafu kinyume na maadili ya dini na ni katazo la maandiko matakatifu. Ameongeza...
  3. R

    GE2025 Wakili Madeleka: Katiba inapiga marufuku Kupinga au kuhoji Matokeo ya Uchaguzi yanayotolewa na Tume

    Akizungumza akizungumza katika Mdahalo wa "Jicho la Wanasheria Uchaguzi Mkuu 2025" kipindi cha Star TV ameelezea mchakato wa uchaguzi na Matokeo ya uchaguzi ambapo Ibara ya 74 ibara ndogo ya 12 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inapiga Marufuku kupinga au kuhoji Maamuzi au Matokeo ya...
  4. PAYE

    GE2025 Mgombea ubunge Massaburi aanza kazi kabla hajapata ubunge, apiga marufuku Watendaji wa mitaa kutoza pesa bodaboda Kivule

    Mgombea Ubunge Jimbo la Kivule, Dougras Massaburi ameanza kazi kabla hajapata Ubunge akipiga marufuku Watendaji wa Mitaa kutoza pesa Bodaboda. Massaburi amesema Serikali imeweka mazingira wezeshi kwa vijana hivyo haina haja kuwatoza pesa Bodaboda.
  5. Mafyangula

    GE2025 Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Maridhiano Tanzania: Vijana ni nguvu kazi ya taifa, lakini wasitumike vibaya

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Maridhiano Tanzania, Abdulrazack Amir Juma, amesema kuwa viongozi wa kidini, hususan waliopo kwenye jumuiya za maridhiano, mapadri, wachungaji na masheikh, wameshughulika sana kuhubiri amani na ushirikiano kati ya waumini na viongozi wa kisiasa. “Nafasi yetu kubwa ni...
  6. DuaZaMama

    GE2025 Gari la mgombea urais CHAUMMA Salum Mwalimu lapigwa jiwe Mafinga

    Gari analotumia Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha CHAUMMA Salum Mwalim, limepigwa jiwe kwenye kioo cha nyuma na Mtu asiyejulikana muda mfupi baada ya kumshusha Mgombea huyo Hotelini Mafinga, Mkoani Iringa. Mkuu wa msafara huo, John Mrema amesema tukio hilo...
  7. Mafyangula

    GE2025 Moza: Nitasimamia huduma ya mama na mtoto iwe bure kweli

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kinondoni kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma(CHAUMMA), Moza Ally amesema akichaguliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo atahakikisha anasimamia huduma ya mama na mtoto kuwa bure kikamilifu kama ambavyo inatakiwa. Moza ameyasema hayo leo Septemba 29, 2025 akizungumza na...
  8. Mafyangula

    GE2025 Khadija Rungwe aahidi kipaumbele kwa Elimu, Afya, Ajira na miundombinu Kibaha Mjini

    Mgombea Ubunge jimbo la Kibaha Mjini kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Khadija Rungwe amesema wakaazi wa jimbo hilo wanahitaji maendeleo ya elimu, afya, ajira na miundombinu. Amesema wanahitaji kuichagua Chaumma ili kupata maendeleo hayo hivyo waachane na Chama cha Mapinduzi CCM...
  9. Inside10

    GE2025 Mwenyekiti UVCCM Mohamed Kawaida: Tumesikitishwa Na Kauli Ya Rais Wa TEC

    Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umekosoa tabia ya baadhi ya viongozi wa dini kuwazuia waumini wao kushiriki kwenye shughuli za kisiasa. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mohamed Ali Kawaida, katika mkutano na waandishi wa habari mkoani Tanga, ambapo alisema...
  10. L

    GE2025 Rais Samia ni Mgombea mwenye mvuto na ushawishi mkubwa kwa Wapiga kura tangia mfumo wa vyama vingi uanze hapa Nchini

    Ndugu zangu Watanzania, Katika historia ya Taifa letu na tangia kuanza kwa mfumo wa Vyama vingi hapa Nchini. Rais wetu Mpendwa na Mama yetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anakuwa Mgombea wa kwanza Mwenye Mvuto na shawishi Mkubwa sana kwa wapiga kura. Ni...
  11. B

    GE2025 Ukiukwaji wa haki za binadamu kuelekea 29/10/2025 waangaziwa na Human Rights Watcho. Ama kwa hakika si kwa roho ngumu hizi!

    Siyo siri, kuna watu wana roho ngumu, si mchezo! Kipi si kweli katika makala hiyo? Yanatokea Tanzania leo haya? Kwamba ni kwa uchu tu wa madaraka? Looh! Tukiwashangaa kina M7 na wenzao, kumbe hao walikuwa cha mtoto! ====== Tanzania: Deepening Repression Threatens Elections Stop Wrongful...
  12. Just Pray

    GE2025 Lyata: Uchaguzi ukifanyika kwa mazingira ya sasa tutarajie Tanzania iliyogawika

    Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Sikonge, Felix Lyata amesema kama uchaguzi ukifanyika kwa mazingira ya sasa tutegemee kuiona Tanzania iliyo gawika kwasababu itatokea kundi la watu litasema huyu ni Rais wetu, mbunge wetu kwa sababu tulimchagua sisi na wengine watasema huyu hatukumchagua sisi kila mtu...
  13. Just Pray

    GE2025 Lyata: Uchaguzi umepoa, No reforms No election Imeeleweka

    Katibu wa Chama Cha Demokrasia na Maendelea (CHADEMA) Wilaya ya Sikonge Mkoani Tabora Felix Lyata amesema uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 umepoa kwa sababu ajenda ya 'No Reforms no Election imeeleweka kwa wananchi huku akisisitiza kwamba ili uchaguzi uweze kuitwa uchaguzi ni lazima kuwepo na...
  14. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mwananchi: Zitto ni mbinafsi wa juu lakini Baba Levo ni mtumishi wa wananchi

    Vita ya siasa inazidi kuwa tamu huko jimbo la Kigoma Mjini ======================= Kutoka vijiweni hii ni baadhi ya mijadala ambayo inaendelea kujadiliwa na wananchi wa jimbo la kigoma mjini, kwa kupembua uwezo wa wahombea wao kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Katika mjadala huu amesikika...
  15. Mafyangula

    GE2025 Polisi Arusha wajipanga kuuimarisha Usalama kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

    Vitisho vinaendelea! Ila nao wabongo wanaendelea kuzoom kusubiri siku ifike tuone kitachotokea ============== Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo, amesema Jeshi la Polisi mkoani humo limejipanga kwa umakini mkubwa kuhakikisha usalama na utulivu vinaimarishwa kuelekea Uchaguzi Mkuu...
  16. Waufukweni

    GE2025 Zitto: Mbunge na Madiwani wa CCM wameshauza Biafra wakidai ilikuwa Mali yao, wamekaa Vikao kazi yao kuuza kila eneo la Wazi

    Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema Jimbo la Kinondoni lina nafasi kubwa ya kuleta mageuzi ya kimaendeleo endapo litaongozwa na Kiongozi mwenye maono ya kweli, na kudai kuwa kwa sasa maeneo mengi yameuzwa ikiwemo Viwanja vya Biafra na ameahidi ACT ikishinda...
  17. Abraham Lincolnn

    GE2025 Hakuna mtu mwenye akili timamu isipokuwa wale wanaonufaika moja kwa moja na asali anayeweza kupoteza muda wake kupiga kura oktoba 29

    Ni kichaa, Mtu asiye na elimu, mjinga ma mbinafsi (hapa nawazungumzia wale wanaoonjeshwa asali au wanaonufaika na mfumo kisa ndugu zao wapo kwenye system pasipo kufikiria maslahi mapana ya taifa), Watu hawa pekee ndiyo wanaoweza kupoteza muda kwenda kupiga kura, Lakini hata kwa mtoto wa kidato...
  18. Mafyangula

    GE2025 Mchungaji Nyuki aiunga mkono CCM kwa wimbo maalum wa siasa

    Naona anajitengenezea maslai yake binafsi huyu! Hana lolote la maana Bora aingie kwenye mafungu ya kuwasaidia waumini wake yeye ndio anahangahika kuwaga! ================= Mchungaji Nyuki amejitokeza kuwa miongoni mwa wachungaji waliotoa mchango wao wa kipekee kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
  19. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Vituko vinaendelea! Haya maandalizi yanayofanyika Arusha Mjini ya kumpokea Samia, pesa inayotumika ni zile B 100 au kodi za watanzania?

    Yani Kila siku unasikia kuna hili mara lile huko alipo Paul Makonda! Hadi sasa bila shaka kuna pesa nyingi zimetumika katika kuyafanya hayo maandalizi ya kumpokea Mgombea Urais wa CCM Samia Suluhu. Yani kila nikiangali uupuzi unaoendelea kufanyika hasira za kinyaru zinazidi kupanda kwa hawa...
  20. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Dk Nchimbi aahidi ujenzi wa masoko 13 na kurasimisha biashara ndogo Ubungo

    Harakati za ahadi zisizo wezekana kutekelezeka zinazidi kuongezeka kwa CCM! Ila wasituone Watanzania ni wajinga tunarekodi vyote na muda ukifika watakipata wanachostaili Mimi nipo siti ya mbele nasubiri muda ufike =================== Mgombea mwenza wa urais wa Tanzania wa Chama cha Mapinduzi...
Back
Top Bottom