uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mhaya

    GE2025 Hamis Kigwangalla ni kama anataka Maandamano lakini hawezi kusema wazi, kaweka maoni yake Instagram

    Leo kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram Mwanasiasa Hamis Kigwangalla ametoa maoni yake kuhusu uchaguzi wa mwaka huu na maandamano yaliyopangwa kufanyika nchi nzima tarehe 29 Octoba, 2015. Ameandika Na kuchapisha post kama 7 hivi zikiwa na ujumbe ufuatao OKTOBA TUNATIKI VS OKTOBA TUNATOKA...
  2. tonicimmobility

    GE2025 Samia: Tumeongeza makusanyo ya mapato ndani ya nchi kuepuka manyanyaso ya mikopo na misaada kutoka nje

    Katika kampeni za Chama cha Mapinduzi (#CCM) zinazoendelea mkoani Kilimanjaro, mgombea Urais kupitia chama hicho Samia Suluhu Hassan ameeleza kuwa Serikali ya Chama hicho imeongeza mapato ya ndani ili kuepuka manyanyaso ya mikopo na misaada ya nje. Ameyasema hayo leo Septemba 30, 2025 katika...
  3. tonicimmobility

    GE2025 ZEC yaweka wazi watakaopiga kura Zanzibar, watu 8,325 wakosa sifa

    Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imetangaza kuwa jumla ya wapiga kura 717,557 ndiyo walioidhinishwa kushiriki katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025, baada ya kukamilika kwa mchakato wa uhakiki wa daftari la kudumu la wapigakura. Akizungumza katika mkutano na wadau wa uchaguzi...
  4. R

    GE2025 Vijana Moshi: Hatufungui Biashara Tunaenda kwa Rais Samia

    Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan, akiendelea na ziara za kampeni mkoani Kilimanjaro ambapo leo Septemba 30, 2025 anafanya kampeni katika Wilaya ya Same, huku vijana wa Moshi Mjini wakieleza kuwa wako tayari kumpokea na kuhudhuria mkutano wa kampeni...
  5. tonicimmobility

    GE2025 Samia: Hakuna mwanamke anayepaswa kufariki wakati wa kujifungua

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema dhamira ya serikali ya awamu ya sita ni kuhakikisha akina mama wanajifungua salama bila kupoteza maisha, akisisitiza kuwa kuleta maisha mapya isiwe sababu ya kifo cha mama...
  6. R

    GE2025 Mabelele: CHADEMA ilipowafukuza Wabunge 19, Msajili alichukua Maamuzi gani? Mpina arudishwe kwenye Kinyanganyiro, yanayoendelea ni kuchafua CCM

    Akizungumza katika kipindi cha Medani za Siasa kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Buluba Mabelele amezungumzia utendaji wa haki kati ya Msajili wa Vyama vya Siasa na yanayoendelea katika vyama vya siasa nchini akisisitiza Tume huru ya Uchaguzi (INEC) kumrejesha Mgombea Urais kupitia Chama cha...
  7. DuaZaMama

    GE2025 Samia: Tujitokeze kwa wingi Oktoba 29 tuwazibe midomo

    Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan amesisitiza umuhimu wa kila mwananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura na kukichagua CCM kwenye uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, akiahidi kuendelea kuwatumikia wananchi kwa kusogeza huduma za...
  8. tonicimmobility

    GE2025 Afrika inaamka, ndani ya miezi mwili tayari GenZ wameshusha nchi tatu zenye utawala mbovu. Jana ilikuwa Madagascar. Je, Tanzania kufuata?

    Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina, siku ya Jumatatu alisema anavunja serikali kufuatia maandamano yaliyoongozwa na vijana kuhusu kukatika kwa maji na umeme, ambapo Umoja wa Mataifa unasema angalau watu 22 wameuawa na zaidi ya 100 kujeruhiwa. Yakiwahamasisha na maandamano ya kizazi cha “Gen Z”...
  9. tonicimmobility

    GE2025 Wasanii wa Tanzania ajabu sana, yaani nchi iko mrama wao wanakazana kutoa nyimbo za mapenzi kwamba hawaoni hali inayoendelea?

    Na watanzania tulivyo wa ajabu, na licha ya kuwa tulitukanwa kuwa hatufanyi kazi bado tumejazana kwenye kuview nyimbo zao. Inashangaza sana kuona wasanii tena wakubwa waitanzania ambao wanahamasa kubwa kujifanya hawaoni hali inayoendelea Tanzania kwasasa, wanaendeshaa sanaa zaoo kama wao sio...
  10. Waufukweni

    GE2025 Zitto: Tutampigania Mpina hadi atakaporejeshwa, tunaamini Mahakama itatenda haki

    Kiongozi Mstaafu wa Chama cha Act Wazalendo Zitto Kabwe, amesisitiza kuwa chama hicho kimejipanga kikamilifu kupambana na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi ujao, kwa lengo la kuhakikisha demokrasia ya kweli inatamalaki nchini. Zitto ameyaeleza hayo Septemba 29, 2025 akiwa Same Mashariki...
  11. Waufukweni

    GE2025 Twaakyondo: Wanaotaka Vurugu wanatikisa tu Kiberiti

    Mzee Paulo Twaakyondo wa mkoani Tanga, ambaye ni mwalimu mstaafu anasema wanaofikiria kufanya vurugu kwenye Uchaguzi Mkuu ujao hawatoweza, kwani amani ya nchi ndio kipaumbele cha kwanza. Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni za mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu...
  12. DuaZaMama

    GE2025 Makamba: wingi wa wanatanga katika mikutano ya Samia ni ishara ya ushindi Oktoba 29

    liyekuwa Mbunge wa Bumbuli Mkoani Tanga Mhe. January Makamba ameelezea mapokezi ya Mgombea wa kiti Cha Urais Kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Dkt. Samia Suluhu Hassan Mkoani Tanga ambapo amesema kuwa wingi wa wanatanga katika Mikutano ya Dkt. Samia ni ishara Tosha itakapofika Oct 29,2025...
  13. Waufukweni

    GE2025 Chege: Oktoba 29, 2025 msiende Ziwani kuvua Samaki, mkapige Kura. Mkinipa diwani kutoka ACT ni kama mmenifukuza

    Mgombea Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Rorya, Jafari Chege, ameendelea kuwaomba wananchi kura za mafiga matatu—yaani Rais, Mbunge na Diwani—akisisitiza umuhimu wa kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025. Kwa kuwa shughuli kuu ya wananchi wa Wilaya ya Rorya ni...
  14. PAYE

    GE2025 Dkt. Mwinyi kuja na mpango wa uwekezaji mkubwa hoteli ya Bwawani

    Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameahidi endapo atapewa tena ridhaa ya kuongoza Zanzibar kushirikisha sekta binafsi kuja na uwekezaji Mkubwa katika eneo la Bwawani ili kuchochea hadhi ya eneo hilo na uchumi wa Zanzibar Dkt. Mwinyi...
  15. Waufukweni

    GE2025 Dkt Tulia: Tutaleta Lami Iduda, hii ndio ilani ya CCM

    Mgombea ubunge wa jimbo jipya la Uyole, jijini Mbeya, Dkt Tulia Ackson, amewaondoa hofu wananchi wa kata ya Iduda, kuwa ilani ya chama cha mapinduzi inaeleza namna itakavyo boresha miundombinu ya barabara inayounganisha kata hiyo na Mbeya vijijini hadi Rungwe ambayo imekua shida kwa wakazi wa...
  16. R

    GE2025 Dkt. Marcus Alban: Kuzuia Uchaguzi ni Kosa Kubwa katika Taifa

    "Uchaguzi ni mamlaka ya Umma, ni mamlaka yetu sisi raia, sisi raia tumekubaliana kwa mujibu wa katiba kila baada ya miaka 5 tufanye tathmini, kwa kufanya hivyo tutapitia ahadi wanazozileta zile za elfu mbii kuja 25, ssa kuzuia uchauzi ni sawa na kusema wwe unataka kutuzuia sisi raia kutekeleza...
  17. Carlos The Jackal

    GE2025 Andrew Nyerere ampiga marufuku Rais Samia kuzuru kaburi la Hayati Mwalimu Nyerere kutokana na CHADEMA kutoshiriki uchaguzi

    Mtoto Mkubwa wa Nyerere, Andrew Nyerere Kwa niaba ya Wanafamilia, amechukizwa na Kitendo Cha Mahakama kutoitendea Haki CHADEMA. Andrew Kambarage Nyerere Asante umenyooka kama ilivyo! Tatizo hawa viongozi wa sasa wanataka kutumia legacy ya Mwalimu Nyerere kama hirizi iwakinge na hasira za...
  18. Waufukweni

    GE2025 Dkt. Mwinyi apiga selfie na wapiga makachu Forodhani, aahidi kuwarasimisha

    Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na vijana wa Makachu katika eneo la Forodhani, Unguja na kuwaahidi kuwa serikali itarasimisha rasmi kazi hiyo ili watambulikane kisheria. Dkt. Mwinyi amesema vijana hao wamekuwa mabalozi wa...
  19. tonicimmobility

    GE2025 Wakuu hii itabidi itumike 0ktoba 29, "wanaume zaidi ya 1,000 wamefunga barabara mbeya kuadhimisha umoja wao wa kusaidiana na kuinuana"

    Wanaume zaidi ya 1,000 katika mji wa Tunduma mapema leo wamefunga barabara kwa saa kadhaa wakifanya matembezi ya kuadhimisha mwaka mmoja wa mafanikio ya kikundi chao cha “Wanaume Familiy Tunduma – Songwe” chenye lengo la kuinuana na kusaidiana. Soma pia: Gharama ni nafuu zaidi kubadili utawala...
  20. DuaZaMama

    GE2025 Nchimbi: Serikali kushirikiana na sekta binafsi kuendesha mradi wa Mwendokasi

    Mgombea mwenza wa urais kupitia CCM, Dkt. Emanuel Nchimbi, amesema serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan imejipanga kuendelea kuimarisha miundombinu na huduma za kijamii nchini. Akizungumza katika mkutano wa kampeni, Dkt. Nchimbi alisema utafiti wa kina...
Back
Top Bottom