uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    GE2025 Nape: Serikali ya mama haikuwa na matundu ya rushwa

    Ukichukuwa ndoo ukaitoboatoboa ukijaza maji haitajaa, Serikali ya Rais Samia ingekuwa na matundu ya rushwa hiyo pesa isingeonekana imeonekana kwa sababu Mama kainua uchumi na akaziba mashimo ya rushwa, wanaosema mama hawezi nani..? La pili niseme nisiseme..? Serikali yoyote corrupt kiongozi...
  2. W

    GE2025 Chalamila: ‘Hatuitaki CCM, hatumtaki mama’ ni hasira za muda mfupi

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila ametoa wito kwa watanzania kuwa wavumilivu kwa changamoto ya uchache na ubovu wa mabasi ya mwendokasi kwani changamoto hiyo inakwenda kupatiwa ufumbuzi muda si mrefu. Ameyasema hayo leo Oktoba 1, 2025 alipofanya ziara katika kituo cha mabasi...
  3. W

    GE2025 Wananchi Same wampongeza Samia kusikiliza wanyonge

    Wananchi wilayani Same mkoani Kilimanjaro wameonesha imani yao kwa mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi( CCM) Dk Samia Suluhu Hassan wakieleza kuwa watampatia ushindi wa kishindo. - Wakizungumza leo Septemba 30 kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea huyo wilayani Same...
  4. R

    GE2025 Makonda: Naenda kuwa Mbunge wa International, Arusha ndiyo Jimbo la Wajanja

    Mgombea ubunge Jimbo la Arusha Mjini, Paul Christian Makonda, ameeleza jinsi atakavyokuwa mbunge wa watu kutoka ndani na nje ya nchi, akisisitiza kuwa atawakilisha jimbo ambalo ni makao makuu ya Afrika Mashariki na lenye shughuli nyingi za utalii Kauli hiyo imetolewa Septemba 30, 2025, Jijini...
  5. Just Pray

    GE2025 Dkt. Tulia aahidi ukarabati wa madarasa Uyole

    Akiwa katika Muendelezo wa kampeni za Ubunge katika Jimbo la Uyole, Mgombea ubunge wa jimbo hilo dkt Tulia Ackson ameahidi kuboresha Elimu pamoja na Miundombinu ya barabara kama ilivyoelekezwa kwenye Ilani ya Uchaguzi Ya CCM Akihutubia Mkutano wa Kampeni katika kata ya Iduda, Dkt Tulia amesema...
  6. R

    GE2025 Wakazi wa Kitunda Relini: Rais Samia ni Mkombozi wa Watoto wetu

    Wakazi wa Kitunda Relini kata ya Kitunda Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam, wamemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa Shule mpya na ya kisasa yenye madarasa 14, maabara 4, maktaba 1, chumba maalum cha kompyuta (ICT) ,ofisi za walimu 12, pamoja na stoo kubwa 2 Shule hiyo ni...
  7. upupu255

    GE2025 Mgombea ubunge jimbo la Tabora mjini aahidi kukomesha tatizo la Mafuriko kata ya Mwinyi

    Mgombea Ubunge Jimbo la Tabora mjini kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Hawa Mwaifunga leo Septemba 25,2025 ameendelea na mikutano ya Kampeni kuomba ridhaa ya Wananchi wa Jimbo la Tabora mjini kumchagua. Akiwa katika kata ya Mwinyi Mgombea Ubunge huyo amewaahidi wananchi wa kata hiyo kutatua...
  8. PAYE

    GE2025 Frederick Sumaye: Same watachapa Tiki kwa Dkt. Samia Oktoba 29, 2025

    Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye amesema wakazi wa kanda ya Kaskazini wanataka kuwahakikishia Watanzania Wanafuta mitazamo ya baadhi ya watu kuwa kanda hiyo Kuna maeneo Chama Cha Mapinduzi(CCM)kimeshindwa kujipambanua Sumaye ameyasema hayo Leo Sept 30,2025 Viwanja vya Stendi ya Mabasi Same...
  9. PAYE

    GE2025 Dkt. Tulia: Serikali ya CCM itaendelea kutoa Ruzuku kwenye Pembejeo za Kilimo

    Mgombea Ubunge wa Jimbo jipya la Uyole Dkt. Tulia Ackson amesema ili kuinua secta ya kilimo ndani ya Kata ya Iganjo jijini Mbeya watahakikisha Mbolea za Ruzuku na Pembejeo zote za kilimo zinapatikana kwa wingi ili kuongeza tuja katika uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara kwa wakazi wa kata...
  10. DuaZaMama

    GE2025 Chalamila: Njia ya Kimara yatakuja mabasi 200, ukisema hatuitaki CCM haisaidii

    Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amesema Njia ya Kimara yatakuja mabasi 200, ukisema hatuitaki CCM haisaidii. Albert Chalamila ameyasema hayo leo Oktoba 1, 2025 alipofanya ziara ya kushtukiza katika Kituo cha Mabasi ya Mwendokasi, Kimara jijini Dar es Salaam kujionea hali ilivyo...
  11. McLaren

    GE2025 Mjumbe CCM Kigoma Mjini: ACT walikuja kuniomba kura nikaibiwa simu yangu

    Wakuu, Mwananchi katika jimbo la kigoma mjini ambaye pia ni mjumbe wa balozi CCM amefunguka kuwa timu ya watu wa ACT walimtembelea nyumbani kwake kwaajili ya kumuomba kura lakini wakaondoka na simu yake kitendo ambacho kimetafsiriwa kuwa ni wizi. Tukio hilo limetokea tarehe 25 mwezi September...
  12. a sinner saved by Christ

    GE2025 Mfanano uliopo kati ya Lyatonga Mrema na Polepole

    Wote Mrema na Polepole walijiuzulu kutoka nafasi zao za juu ndani ya chama na serikali. Wote baada ya kujiuzulu nafasi zao ndani ya chama na serikali wakawa wakosoaji wakuu wa chama na serikali hiyo hiyo waliyokuwa wanafanya kazi awali. Wote Mrema na Polepole wakateka hisia za wananchi wanyonge...
  13. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mgombea urais NCCR, Dkt. Munisi: Amani ya taifa letu ni dhamana yetu sisi wenyewe usisubiri askari aje kwaajili ya amani

    Mgombea mwenza wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha NCCR Mageuzi Dkt. Eveline Munisi amesema usalama katika nchii utaimarika sana na ataweka mazingira mazuri kwa watumishi wa umma katika kipindi ambacho ataingia madarakani pindi wananchi watakapo mpa kura za...
  14. H

    Viongozi wa Dini wasaidieni waumini kujitenga na uovu. Tangazeni Oktoba 29 iwe ni siku ya waliotekwa na kupotea

    Kazi kubwa ya kiongozi yeyote wa dini, ni kuwasaidia waumini wake kujitenga na uovu/dhambi. Kiuhalisia, uchaguzi unastahili kuwa tendo takatifu, hasa pale maamuzi yote wanapopewa wananchi. Kwani kwa kupitia wananchi hawa, Mungu, huwapatia wanadamu wake viongozi. Lakini kwa mazingira ya...
  15. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mkuu wa Wilaya ya Ilala: Watanzania wenyewe wana hamu ya amani, hakuna Mtanzania mwenye hamu ya vurugu

    Mkuu wa Wilaya ya Ilala mkoani Dar es Salaam , amesema Watanzania kwa asili yao wana hamu ya kuishi kwa amani na siyo vurugu, akisisitiza kuwa baadhi ya kauli zinazohusiana na uvunjifu wa amani mara nyingi hazina mashiko. “Watanzania wenyewe wana hamu ya amani, hakuna Mtanzania mwenye hamu ya...
  16. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mwalimu: Morogoro ni mkoa wa kimkakati kwa ajili ya viwanda kwa sababu uko katikati ya Bandari ya Dar na Tanga

    Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimewataka wananchi wa Mkoa wa Morogoro kujiandaa kunufaika na neema ya sera ya viwanda, kikiahidi kurejesha hadhi ya mkoa huo kuwa kitovu cha viwanda kama ilivyokuwa enzi za Mwalimu Julius Nyerere. “Morogoro ni mkoa wa kimkakati kwa ajili ya viwanda kwa...
  17. Damaso

    GE2025 Sms za kukumbusha kupiga kura: Je, ni kuhamasisha au kero kwa wananchi?

    Katika siku za hivi karibuni, simu za Watanzania zimefurika na ujumbe mfupi wa maandishi (SMS) unaosema: “Kura yako ina thamani, kuwa sehemu ya mabadiliko unayoyataka, hakikisha unapiga kura tarehe 27.11.2024 kumchagua kiongozi unayemtaka kwenye Kijiji, Kitongoji au Mtaa wako.” Kwa wengine...
  18. DodomaTZ

    GE2025 Diwani Mwanga Kusini CCM awaomba wananchi kura za kurundika

    MGOMBEA Udiwani kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Mwanga Kusini mkoani Kigoma Mussa Maulid amezindua kampeni yake kwa kuwaomba wakazi hao wampigie kura Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan kwa mtindo wa kurundika. Maulid alisema wakazi hao...
  19. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 UWT Arusha tunatarajia kuwa na wanawake zaidi ya elfu 25 katika mkutano wa mgombea Urais CCM Oktoba 2

    Arusha kuna mambo jamaani, hizi bwebwe zote bila shaka anaye ratibu ni huyo mgombea ubunge jimbo la Arusha Mjini Paul Makonda. Naendelea kunoti kitu huyu Makonda kuna jambo lake zito anazidi kulitengeneza kwenye uongozi soon litakuwa rasmi. ================= Hamasa ya mapokezi ya mgombea urais...
  20. K

    GE2025 Kamati ya Seneti ya Marekani yaionya Tanzania Ukandamizaji Kabla ya Uchaguzi Mkuu 2025

    Serikali ya Tanzania imeongeza ukandamizaji wa kisiasa, jambo linalozua wasiwasi mkubwa kuhusu iwapo uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 29, 2025, utakuwa huru na wa haki, Shirika la Human Rights Watch limesema leo. Mamlaka zimekandamiza upinzani wa kisiasa na wakosoaji wa chama tawala...
Back
Top Bottom