GE2025 Rais Samia ni Mgombea mwenye mvuto na ushawishi mkubwa kwa Wapiga kura tangia mfumo wa vyama vingi uanze hapa Nchini

GE2025 Rais Samia ni Mgombea mwenye mvuto na ushawishi mkubwa kwa Wapiga kura tangia mfumo wa vyama vingi uanze hapa Nchini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
38,249
Reaction score
24,839
Ndugu zangu Watanzania,

Katika historia ya Taifa letu na tangia kuanza kwa mfumo wa Vyama vingi hapa Nchini. Rais wetu Mpendwa na Mama yetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anakuwa Mgombea wa kwanza Mwenye Mvuto na shawishi Mkubwa sana kwa wapiga kura.

Ni Mgombea ambaye amefanikiwa kuiteka mioyo ya mamilioni kwa mamilioni ya wapiga kura. Ni mgombea ambaye anakubalika , kupendwa na kuaminika sana kwa wapiga kura. Sera na ajenda zake zimekuwa zikihusu maisha na ndoto za watu na namna ya kuwainua watu kiuchumi na kuwawezesha kutimiza ndoto zao bila kikwazo cha aina yoyote ile.

Ni Mgombea ambaye amebeba ajenda zenye kuleta matumaini na nuru kwa Maisha ya watu. Ndio sababu ya kupokelewa kwa kishindo na watanzania maelfu kwa maelfu. Ndio sababu watu wanamiminika na kufurika kwenye mikutano yake,ndio sababu ya watu kujiandaa kumpigia kura za ndio kwa wingi mkubwa. Ndio sababu ya watu kuwa na imani naye na kumwamini sana.

Kwa sababu Wameona na kutambua ya kuwa Mama ni mtu wa kazi na matendo na siyo maneno Maneno yasiyo tekelezeka. Wameona kazi kubwa iliyofanyika ndani ya muda mfupi wa uongozi. Ndio sababu watanzania kwa mamilioni wanataka kumpa miaka mingine mitano ili aendeleze kazi nzuri aliyokwisha kuianza.

Makundi yote yameridhia na kusema kwa kauli moja kuwa Mama ndio chaguo lao. Wakulima wanasema ni Mama tu maana wameona matunda ya ndani ya muda mfupi. Ikumbukwe ya kuwa kwa kipindi kifupi tu cha uongozi wake Mama yetu Mpendwa ametoa ruzuku ya Billion 726. Hali iliyopelekea kushuka kwa pembejeo hususani mbolea.

Ndani ya muda mfupi ameongeza bajeti ya kilimo kutoka Billion 250 hadi Trilioni moja point 2. Amesogeza huduma za kijamii karibu kabisa na wananchi. Na sasa wanafunzi wanapata Elimu karibu kabisa pasipo kutembea umbali mrefu. Sasa zahanati na vituo vya afya vinapatikana jirani kabisa na mwananchi na vinatoa hudumu bora kabisa.

Ukienda kwa vijana unakuta katoa ajira maelfu kwa maelfu. Mfano ndani ya muda mfupi ameweza kuajiri walimu zaidi ya Elfu 89. Na ndani ya siku 100 za uongozi wake atatoa zingine takriban 7000 pamoja na za afya takribani 5000.anaendelea kumwaga ajira mitaani kwa kadri hali ya uchumi inavyoruhusu.

Hakuna aliyeachwa nyuma au kusahaulika katika uongozi wa Rais Samia. Kila mmoja kafikiwa na mkono wa Mama. Ndio maana watanzania wanaendelea kumuunga mkono Rais wetu na kujitokeza kwa wingi sana kwenye mikutano yake ya kampeni.
Screenshot_20250926-194141_1.jpg
Screenshot_20250928-145417_1.jpg
Screenshot_20250831-205923_1.jpg
Screenshot_20250828-175337_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Mvuto unaozongumziwa labda mvuto wa uchawa.

Ila kama ni mvuto wa kutoa hoja , si kweli maana hajui kupangilia hoja , hajui kuzungumza kwa nafasi aliyokuwepo, ni afadhali akiwa anasoma alivyoandikiwa kuliko akitolea kichwani .

Hebu msikilize hapo Mkapa vitu anavyoongea vinaweza kukufanya walau ukakaa dakika kadhaa kumsikiliza.


View: https://youtube.com/shorts/oEljRevlAuA?si=oRWX0sJrG5vWCLN_

Huu ni mdahalo wa wagombea urais 1995 hebu weka uchawa pembeni uniambie mfano ungeitishwa mdahalo kipindi hiki Samia angeongea nini na kujibu maswali ambayo sio scripted angeweza?

Samia uso kwa uso na Lissu katika mdahaho unafikiri Samia angeongea nini na je mdahalo usingekatwa matangazo ya moja kwa moja akibanwa na maswali magumu?
View attachment 3480957

Moderator wa mdahalo angeishia kutekwa baada ya mdahalo

Hapa sikia sasa vitu anavyoweza Samia kuongea ni kama vifua flat vya wachezaji wa Twiga Stars na kuruhusu watu kujipimia kadiri kamba zinavyowaruhusu.
View attachment 3480957
Labda kama Samia ana mvuto kwako katika nyanja zingine ila ukweli ni kuwa hana mvuto na hadhi ya urais na katika kipindi chake hiki ndio urais umedharaulika hata sasa mtu anaona Kingwendu au Bambo wanaweza kuwa marais ili mradi tu waweze kuiba kura na kuhonga machawa kama wewe.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katika historia ya Taifa letu na tangia kuanza kwa mfumo wa Vyama vingi hapa Nchini. Rais wetu Mpendwa na Mama yetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anakuwa Mgombea wa kwanza Mwenye Mvuto na shawishi Mkubwa sana kwa wapiga kura.

Ni Mgombea ambaye amefanikiwa kuiteka mioyo ya mamilioni kwa mamilioni ya wapiga kura. Ni mgombea ambaye anakubalika , kupendwa na kuaminika sana kwa wapiga kura. Sera na ajenda zake zimekuwa zikihusu maisha na ndoto za watu na namna ya kuwainua watu kiuchumi na kuwawezesha kutimiza ndoto zao bila kikwazo cha aina yoyote ile.

Ni Mgombea ambaye amebeba ajenda zenye kuleta matumaini na nuru kwa Maisha ya watu. Ndio sababu ya kupokelewa kwa kishindo na watanzania maelfu kwa maelfu. Ndio sababu watu wanamiminika na kufurika kwenye mikutano yake,ndio sababu ya watu kujiandaa kumpigia kura za ndio kwa wingi mkubwa. Ndio sababu ya watu kuwa na imani naye na kumwamini sana.

Kwa sababu Wameona na kutambua ya kuwa Mama ni mtu wa kazi na matendo na siyo maneno Maneno yasiyo tekelezeka. Wameona kazi kubwa iliyofanyika ndani ya muda mfupi wa uongozi. Ndio sababu watanzania kwa mamilioni wanataka kumpa miaka mingine mitano ili aendeleze kazi nzuri aliyokwisha kuianza.

Makundi yote yameridhia na kusema kwa kauli moja kuwa Mama ndio chaguo lao. Wakulima wanasema ni Mama tu maana wameona matunda ya ndani ya muda mfupi. Ikumbukwe ya kuwa kwa kipindi kifupi tu cha uongozi wake Mama yetu Mpendwa ametoa ruzuku ya Billion 726. Hali iliyopelekea kushuka kwa pembejeo hususani mbolea.

Ndani ya muda mfupi ameongeza bajeti ya kilimo kutoka Billion 250 hadi Trilioni moja point 2. Amesogeza huduma za kijamii karibu kabisa na wananchi. Na sasa wanafunzi wanapata Elimu karibu kabisa pasipo kutembea umbali mrefu. Sasa zahanati na vituo vya afya vinapatikana jirani kabisa na mwananchi na vinatoa hudumu bora kabisa.

Ukienda kwa vijana unakuta katoa ajira maelfu kwa maelfu. Mfano ndani ya muda mfupi ameweza kuajiri walimu zaidi ya Elfu 89. Na ndani ya siku 100 za uongozi wake atatoa zingine takriban 7000 pamoja na za afya takribani 5000.anaendelea kumwaga ajira mitaani kwa kadri hali ya uchumi inavyoruhusu.

Hakuna aliyeachwa nyuma au kusahaulika katika uongozi wa Rais Samia. Kila mmoja kafikiwa na mkono wa Mama. Ndio maana watanzania wanaendelea kumuunga mkono Rais wetu na kujitokeza kwa wingi sana kwenye mikutano yake ya kampeni.View attachment 3480950View attachment 3480951View attachment 3480952View attachment 3480953

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Na bado anafungia mitandao ya kijamii kwakua polepole alimzungumzia RA
 
Naona mshipa wako wa aibu umekatika vipande vipande. Huu mtandao umefungiw na serikali yako! Lakini kila siku huachi kuleta pua yako himu jukwaani kuongelea upumbavu wako.
 
sa100 ni rais pekee hapa Tz ambaye matokeo ya form 4 alifeli, hii ni maajabu!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katika historia ya Taifa letu na tangia kuanza kwa mfumo wa Vyama vingi hapa Nchini. Rais wetu Mpendwa na Mama yetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anakuwa Mgombea wa kwanza Mwenye Mvuto na shawishi Mkubwa sana kwa wapiga kura.

Ni Mgombea ambaye amefanikiwa kuiteka mioyo ya mamilioni kwa mamilioni ya wapiga kura. Ni mgombea ambaye anakubalika , kupendwa na kuaminika sana kwa wapiga kura. Sera na ajenda zake zimekuwa zikihusu maisha na ndoto za watu na namna ya kuwainua watu kiuchumi na kuwawezesha kutimiza ndoto zao bila kikwazo cha aina yoyote ile.

Ni Mgombea ambaye amebeba ajenda zenye kuleta matumaini na nuru kwa Maisha ya watu. Ndio sababu ya kupokelewa kwa kishindo na watanzania maelfu kwa maelfu. Ndio sababu watu wanamiminika na kufurika kwenye mikutano yake,ndio sababu ya watu kujiandaa kumpigia kura za ndio kwa wingi mkubwa. Ndio sababu ya watu kuwa na imani naye na kumwamini sana.

Kwa sababu Wameona na kutambua ya kuwa Mama ni mtu wa kazi na matendo na siyo maneno Maneno yasiyo tekelezeka. Wameona kazi kubwa iliyofanyika ndani ya muda mfupi wa uongozi. Ndio sababu watanzania kwa mamilioni wanataka kumpa miaka mingine mitano ili aendeleze kazi nzuri aliyokwisha kuianza.

Makundi yote yameridhia na kusema kwa kauli moja kuwa Mama ndio chaguo lao. Wakulima wanasema ni Mama tu maana wameona matunda ya ndani ya muda mfupi. Ikumbukwe ya kuwa kwa kipindi kifupi tu cha uongozi wake Mama yetu Mpendwa ametoa ruzuku ya Billion 726. Hali iliyopelekea kushuka kwa pembejeo hususani mbolea.

Ndani ya muda mfupi ameongeza bajeti ya kilimo kutoka Billion 250 hadi Trilioni moja point 2. Amesogeza huduma za kijamii karibu kabisa na wananchi. Na sasa wanafunzi wanapata Elimu karibu kabisa pasipo kutembea umbali mrefu. Sasa zahanati na vituo vya afya vinapatikana jirani kabisa na mwananchi na vinatoa hudumu bora kabisa.

Ukienda kwa vijana unakuta katoa ajira maelfu kwa maelfu. Mfano ndani ya muda mfupi ameweza kuajiri walimu zaidi ya Elfu 89. Na ndani ya siku 100 za uongozi wake atatoa zingine takriban 7000 pamoja na za afya takribani 5000.anaendelea kumwaga ajira mitaani kwa kadri hali ya uchumi inavyoruhusu.

Hakuna aliyeachwa nyuma au kusahaulika katika uongozi wa Rais Samia. Kila mmoja kafikiwa na mkono wa Mama. Ndio maana watanzania wanaendelea kumuunga mkono Rais wetu na kujitokeza kwa wingi sana kwenye mikutano yake ya kampeni.View attachment 3480950View attachment 3480951View attachment 3480952View attachment 3480953

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.


Sasa wewe chawa umeingiaje huku wakati mtandao umefungiwa na seikali yako. Peleka uchawa you tube
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katika historia ya Taifa letu na tangia kuanza kwa mfumo wa Vyama vingi hapa Nchini. Rais wetu Mpendwa na Mama yetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anakuwa Mgombea wa kwanza Mwenye Mvuto na shawishi Mkubwa sana kwa wapiga kura.

Ni Mgombea ambaye amefanikiwa kuiteka mioyo ya mamilioni kwa mamilioni ya wapiga kura. Ni mgombea ambaye anakubalika , kupendwa na kuaminika sana kwa wapiga kura. Sera na ajenda zake zimekuwa zikihusu maisha na ndoto za watu na namna ya kuwainua watu kiuchumi na kuwawezesha kutimiza ndoto zao bila kikwazo cha aina yoyote ile.

Ni Mgombea ambaye amebeba ajenda zenye kuleta matumaini na nuru kwa Maisha ya watu. Ndio sababu ya kupokelewa kwa kishindo na watanzania maelfu kwa maelfu. Ndio sababu watu wanamiminika na kufurika kwenye mikutano yake,ndio sababu ya watu kujiandaa kumpigia kura za ndio kwa wingi mkubwa. Ndio sababu ya watu kuwa na imani naye na kumwamini sana.

Kwa sababu Wameona na kutambua ya kuwa Mama ni mtu wa kazi na matendo na siyo maneno Maneno yasiyo tekelezeka. Wameona kazi kubwa iliyofanyika ndani ya muda mfupi wa uongozi. Ndio sababu watanzania kwa mamilioni wanataka kumpa miaka mingine mitano ili aendeleze kazi nzuri aliyokwisha kuianza.

Makundi yote yameridhia na kusema kwa kauli moja kuwa Mama ndio chaguo lao. Wakulima wanasema ni Mama tu maana wameona matunda ya ndani ya muda mfupi. Ikumbukwe ya kuwa kwa kipindi kifupi tu cha uongozi wake Mama yetu Mpendwa ametoa ruzuku ya Billion 726. Hali iliyopelekea kushuka kwa pembejeo hususani mbolea.

Ndani ya muda mfupi ameongeza bajeti ya kilimo kutoka Billion 250 hadi Trilioni moja point 2. Amesogeza huduma za kijamii karibu kabisa na wananchi. Na sasa wanafunzi wanapata Elimu karibu kabisa pasipo kutembea umbali mrefu. Sasa zahanati na vituo vya afya vinapatikana jirani kabisa na mwananchi na vinatoa hudumu bora kabisa.

Ukienda kwa vijana unakuta katoa ajira maelfu kwa maelfu. Mfano ndani ya muda mfupi ameweza kuajiri walimu zaidi ya Elfu 89. Na ndani ya siku 100 za uongozi wake atatoa zingine takriban 7000 pamoja na za afya takribani 5000.anaendelea kumwaga ajira mitaani kwa kadri hali ya uchumi inavyoruhusu.

Hakuna aliyeachwa nyuma au kusahaulika katika uongozi wa Rais Samia. Kila mmoja kafikiwa na mkono wa Mama. Ndio maana watanzania wanaendelea kumuunga mkono Rais wetu na kujitokeza kwa wingi sana kwenye mikutano yake ya kampeni.View attachment 3480950View attachment 3480951View attachment 3480952View attachment 3480953

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tanzania nako kuna mambo, kati ya watu milioni 60 Ma-intellectuals na non-intellectuals, wanadiplomasia na wasio wanadiplomasia, wakulima na wafanyakazi ni Samia na Mwalimu tu, ndo cream yetu ilipoishia katika mapambano ya kuiongoza nchi kuifikisha kwenye ulimwengu wa akili mnemba!
 
Naona mshipa wako wa aibu umekatika vipande vipande. Huu mtandao umefungiw na serikali yako! Lakini kila siku huachi kuleta pua yako himu jukwaani kuongelea upumbavu wako.
Sasa unafanya nini huku jukwaani. Acha wenye akili Timamu na wanaojitambua tuendelee kujadili hoja
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katika historia ya Taifa letu na tangia kuanza kwa mfumo wa Vyama vingi hapa Nchini. Rais wetu Mpendwa na Mama yetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anakuwa Mgombea wa kwanza Mwenye Mvuto na shawishi Mkubwa sana kwa wapiga kura.

Ni Mgombea ambaye amefanikiwa kuiteka mioyo ya mamilioni kwa mamilioni ya wapiga kura. Ni mgombea ambaye anakubalika , kupendwa na kuaminika sana kwa wapiga kura. Sera na ajenda zake zimekuwa zikihusu maisha na ndoto za watu na namna ya kuwainua watu kiuchumi na kuwawezesha kutimiza ndoto zao bila kikwazo cha aina yoyote ile.

Ni Mgombea ambaye amebeba ajenda zenye kuleta matumaini na nuru kwa Maisha ya watu. Ndio sababu ya kupokelewa kwa kishindo na watanzania maelfu kwa maelfu. Ndio sababu watu wanamiminika na kufurika kwenye mikutano yake,ndio sababu ya watu kujiandaa kumpigia kura za ndio kwa wingi mkubwa. Ndio sababu ya watu kuwa na imani naye na kumwamini sana.

Kwa sababu Wameona na kutambua ya kuwa Mama ni mtu wa kazi na matendo na siyo maneno Maneno yasiyo tekelezeka. Wameona kazi kubwa iliyofanyika ndani ya muda mfupi wa uongozi. Ndio sababu watanzania kwa mamilioni wanataka kumpa miaka mingine mitano ili aendeleze kazi nzuri aliyokwisha kuianza.

Makundi yote yameridhia na kusema kwa kauli moja kuwa Mama ndio chaguo lao. Wakulima wanasema ni Mama tu maana wameona matunda ya ndani ya muda mfupi. Ikumbukwe ya kuwa kwa kipindi kifupi tu cha uongozi wake Mama yetu Mpendwa ametoa ruzuku ya Billion 726. Hali iliyopelekea kushuka kwa pembejeo hususani mbolea.

Ndani ya muda mfupi ameongeza bajeti ya kilimo kutoka Billion 250 hadi Trilioni moja point 2. Amesogeza huduma za kijamii karibu kabisa na wananchi. Na sasa wanafunzi wanapata Elimu karibu kabisa pasipo kutembea umbali mrefu. Sasa zahanati na vituo vya afya vinapatikana jirani kabisa na mwananchi na vinatoa hudumu bora kabisa.

Ukienda kwa vijana unakuta katoa ajira maelfu kwa maelfu. Mfano ndani ya muda mfupi ameweza kuajiri walimu zaidi ya Elfu 89. Na ndani ya siku 100 za uongozi wake atatoa zingine takriban 7000 pamoja na za afya takribani 5000.anaendelea kumwaga ajira mitaani kwa kadri hali ya uchumi inavyoruhusu.

Hakuna aliyeachwa nyuma au kusahaulika katika uongozi wa Rais Samia. Kila mmoja kafikiwa na mkono wa Mama. Ndio maana watanzania wanaendelea kumuunga mkono Rais wetu na kujitokeza kwa wingi sana kwenye mikutano yake ya kampeni.View attachment 3480950View attachment 3480951View attachment 3480952View attachment 3480953

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Samahani ndugu yangu.

Hivi huwa unaandika unachomaanisha au unaandika kutekeleza kazi yako.

Mimi ni CCM mwenzio ujue lakini kuna mengi sana huwa naona aibu ninapoona umeandika.
 
Wewe ni mpuuzi tu. Unaniuliza ninafanya nini humu, badala ya kujiuliza wewe na chawa wenzako mnafanya nini humu na wakati serikali yenu imeifungia jamii forums kwa hila! Hamna kabisa mishipa ya aibu nyinyi machawa.
Kama una hasira sana basi kunywa sumu UFE tu maana huna faida yoyote ile hapa Duniani na hata Mbinguni
 
Samahani ndugu yangu.

Hivi huwa unaandika unachomaanisha au unaandika kutekeleza kazi yako.

Mimi ni CCM mwenzio ujue lakini kuna mengi sana huwa naona aibu ninapoona umeandika.
Hatuna CCM aina yako asiyejitambua
 
Back
Top Bottom