uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PAYE

    GE2025 Dkt. Mwinyi: Serikali kuimarisha Viwanja vya Michezo ili vikidhi viwango vya Kimataifa

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inalenga kuviimarisha viwanja vya michezo nchini ili viwe bora na kukidhi viwango vya kimataifa. Amesema Serikali imewekeza fedha nyingi kuhakikisha inajenga viwanja zaidi vya kisasa vitakavyotoa...
  2. Waufukweni

    GE2025 Mgombea Ubunge Chaurembo afanya mazoezi na vijana wa hamasa, Jimbo jipya la Chamazi

    Wakuu, huu ndiyo msimu wa miujiza kila kitu kinawezekana! 😂 Eti sasa Mgombea Ubunge Abdallah Chaurembo, kageuka mwongoza mazoezi kwa vijana wa hamasa Chamazi. Kwanini haya mazoezi ya uzalendo hayafanyiki mara kwa mara kabla ya Uchaguzi?, ila muda wa kampeni ghafla tunaona? Soma: Mbunge...
  3. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Glory Tausi: Nawahakikishia kuwa uchaguzi huu Utakuwa huru na wa haki

    Nawahakikishia kuwa uchaguzi huu Utakuwa huru na wa haki” Glory Tausi, Mgombea Ubunge Kawe - ACT WAZALENDO
  4. Mafyangula

    GE2025 Mgombea Udiwani ampigia magoti Tulia ili ajenge kituo cha afya

    Mgombea Udiwani wa Kata ya Igawilo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Msole Sanga amepongeza jitihada za Dkt. Tulia Ackson kwa namna alivyowasaidia wananchi wa kata hiyo pamoja na Jimbo jipya la Uyole kwa ujumla, licha ya kumpigia magoti akiomba ujenzi wa barabara za lami katika mtaa wa...
  5. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Zitto: CCM inamuogopa Mpina na sababu walikuwa nae ndani ya chama chao

    "Mnajua kwamba tunapambana kwa ajili ya mgombea wetu wa urais, kesi inaendelea. Tunatarajia hivi karibuni tutapata maamuzi, na sisi tumejiandaa kesi itakapokishwa tu. Hata kama zimebaki siku kumi, tutatumia hizo hizo kuendelea kutafuta kura, na tunafahamu Chama cha Mapinduzi kinamuogopa sana...
  6. W

    GE2025 Samia: Hakuna mgonjwa Kilimanjaro atakayeteseka kwa kukosa huduma

    Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ijayo itaendeleza jitihada za kuboresha huduma za afya mkoani Kilimanjaro, ikiwemo kuimarisha hospitali, kuongeza watumishi na kuhakikisha dawa muhimu zinapatikana kwa wakati...
  7. DuaZaMama

    GE2025 Elisante: Kutoa kanga au chakula ni rushwa wakati huu wa kampeni

    Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Mtwara Mashauri Elisante amesema kipindi hiki cha kampeni wamejipanga kuelimisha wananchi kuhudhuria mikutano ya kampeni kusikiliza sera na kuchagua kiongozi wanayeweza kushirikiana naye kuleta maendeleo na siyo kuchagua kiongozi anayejihusisha na rushwa. Elisante...
  8. Waufukweni

    GE2025 Vijana Mlimba wasukuma gari la mgombea urais wa CHAUMMA, Salum Mwalim

    Vijana wa Jimbo la Mlimba, mkoani Morogoro, wameonyesha mshikamano mkubwa kwa kumsukuma gari la Mgombea Urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalim, mara baada ya kumaliza kunadi sera za chama hicho. Akizungumza na vijana hao akiwa njiani kuelekea Ifakara kuendelea na...
  9. R

    GE2025 Fundi Ally dereva bodaboda: Kiongozi siyo lazima atekeleze ahadi zote, Tujitokeze kupiga kura tusifanye fujo

    Fundi Ally dereva bodaboda anayefanya shughuli zake kila siku Mtwara Mjini amewasihi vijana kujitokeza na kupiga kura Oktoba 29 ili kuchagua kiongozi anayefaa kuongoza pia amewasihi vijana kuepuka fujo hasa wakati wa uchaguzi inaweza kusababisha uvunjifu wa Amani ameyasema hayo leo wakati...
  10. Mafyangula

    GE2025 Prof Mkumbo: CCM inaogopa rushwa, CCM pia inapambana na rushwa

    CCM wanatuletea maigizo matupu kwenye hili suala! Rushwa imeshamiri kila kona ya nchi, halafu bado wanathubutu kudai kwamba wanapambana nayo. Swali la msingi ni: wanapambana kivipi, au wanatuzuga tu? ============= Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Prof. Kitila Mkumbo...
  11. Waufukweni

    GE2025 Mkulima auza tani 11 za mbaazi, kuzunguka kwenye kampeni za Samia

    Mkulima na pia Balozi wa Shina namba 2, Kitongoji cha Mkwajuni, Kijiji na Kata ya Mwenge Mtapika, Wilaya ya Masasi, Nickson Amlima, ametangaza kutumia fedha alizopata kutokana na mauzo ya zao la mbaazi tani 11, kufadhili safari yake ya kuzunguka nchi nzima na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika...
  12. DuaZaMama

    GE2025 Samia: Wanaoshawishi fujo wana pa kwenda, familia zao haziko Tanzania

    Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu ametoa wito kwa Watanzania kutokubali kushawishika na watu wenye nia ovu kuharibu amani ya nchi, kwani wanaofanya hivyo wanapo pakukimbilia
  13. DuaZaMama

    GE2025 Kiduku na Farida waachiwa kwa dhamana, wataendelea kuripoti polisi kila siku

    Wanaharakati wa mitandaoni, Innocent Paul Chuwa maarufu kama Kiduku, na Farida Mikoroti, waliokamatwa kwa tuhuma za makosa ya mtandao, wameachiwa kwa dhamana kutoka Kituo Kikuu cha Polisi cha Kati (Central Police) Dar es Salaam, Jumatano Oktoba 01, 2025. Wawili hao wameshikiliwa kwa takribani...
  14. mwanamwana

    GE2025 Nape Nnauye: Wanaompinga Samia waje na takwimu

    Nape Nnauye, amesema wanaompinga Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wanapaswa kuja na takwimu na si maneno matupu. Nape amesema tangu alipoingia madarakani mwaka 2021, Dkt. Samia ameweka rekodi ya kipekee ya uadilifu katika kusimamia rasilimali za taifa na...
  15. DuaZaMama

    GE2025 Nape: Wale wenye mashaka na Samia waache porojo za barabarani

    Mgombea wa Ubunge Jimbo la Mtama Mkoani Lindi Mhe. Nape Nnauye amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi(CCM)waliangalia rekodi ya Mgombea wa Urais CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan ya uadilifu, uzalendo,Maadili na utu wake katika kusimamia rasilimali za Taifa Nape ameyasema hayo Leo Oct 1,2025 wakati...
  16. W

    GE2025 Msafara wa kumpokea Samia Arusha

    Leo oktoba 01, 2025 Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi, (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan atawasili katika Mkoa wa Arusha Katika Jimbo la Arusha Mjini kuanza Mikutano yake ya Kuomba Kampeni kuomba Kura kwa Wananchi. Kupitia Ujio huo Wadau mbali mbali wa...
  17. DuaZaMama

    GE2025 Kitila: Samia amepunguza gharama za maisha amekuza kipato cha mtanzania

    “Kazi ya serikali ukiacha mambo ya ulinzi na usalama ni kutengeneza fursa kwenye maisha ya watu wake kwa kufungua fursa za wananchi kutengeneza ajira na biashara na katika hili Mama Samia amefanikiwa sana, wakati anaingia madarakani tulikuwa tunasajili miradi 207 tu leo tunasajili zaidi ya...
  18. tonicimmobility

    GE2025 BAZECHA walalamika kupata huduma duni kwenye huduma za afya na mafao ya uzeeni zinazosababishwa na demokrasia duni na uchaguzi usio wa haki

    Katika maadhimisho ya siku ya wazee duniani yanayofanyika leo oktoba 1, 2025, baraza la Wazee Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAZECHA) kanda zote limefanya majadiliano kwa njia ya mtandao kuhusu hali ya wazee katika ushirikishwaji wa mambo ya kisiasa na huduma za kijamii. Katika majadiliano...
  19. DuaZaMama

    GE2025 Nchimbi: Wana CCM wametangaza tarehe 29 Oktoba ni Samia Day

    Mgombea mwenza wa Nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Emmanuel Nchimbi amesema Wana-CCM na Wakazi wa ilala wametangaza kuwa siku ya uchaguzi Oktoba 29 ni samia Day Nchimbi amesema hayo Leo Oktoba 1, 2025 akiwa katika mkutano wa kampeni maeneo ya Machinga Complex jimbo la...
  20. DuaZaMama

    GE2025 Eveline: Mkichagua NCCR-Mageuzi usalama kazini ni uhakika

    Mgombea mwenza wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha NCCR–Mageuzi, Dkt. Eveline Munisi, amesema kuwa endapo wananchi watamchagua mgombea urais wa chama hicho, serikali yao itaweka mazingira bora na salama kwa watumishi wa umma katika kipindi chote watakapokuwa...
Back
Top Bottom