Askofu wa Jimbo Katoliki la Mahenge, Mhashamu Agapiti Ndorobo amesema kuwa kuelekea katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ni vyema kuchagua Kiongozi anayefaa, na anayejali kila mmoja bila kuangalia Dini, rangi, kabila, wala utaifa.
Askofu Ndorobo ameyasema hayo leo Oktoba 3, 2025 wakati akitoa...