uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mwanamwana

    GE2025 Said Mohamed na wenzake wataka viongozi CHADEMA kukamatwa kwa kukiuka amri ya mahakama

    Ameandika Hilda Newton kupitia mtandao wa X TAARIFA KWA UMMA Kuna Maombi Madogo ya kesi ambayo Said Issa Mohamed na Wenzake wamefungua kwa hati ya dharula dhidi ya 1. Mhe. John Heche 2. ⁠Mhe. John Mnyika 3. ⁠Hilda Newton 4. ⁠Twaha Mwaipaya 5. ⁠Board ya Wadhamini ya Chadema. Maombi hayo...
  2. Waufukweni

    GE2025 Bwege: ACT Wazalendo wanataka nifukuzwe, wamenitoa kwenye Group mtandaoni

    Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kilwa Kusini kwa vipindi viwili mfululizo, Selemani Said Bungara maarufu kama Bwege, amesema kuna juhudi za baadhi ya wanachama wa ACT Wazalendo kutaka afukuzwe kutokana na ukosoaji anaoufanya ndani ya chama hicho, na kufichua kuwa tayari ameondolewa kwenye kundi la...
  3. PAYE

    GE2025 Dkt. Tulia azama Gereji kunadi sera, mafundi waibuka na ufinyu wa eneo la kazi

    Mgombea ubunge jimbo la Uyole, jijini Mbeya, Dkt. Tulia Ackson, ameahidi kumalizia kazi aliyoianza ya kufanikisha upatikanaji wa maeneo kwaajili ya mafundi wa magari ambao hufanya shughuli zao maeneo ya magerejini kata ya Mwakibete. Akiendelea na kampeni zake za kata kwa kata Dkt. Tulia amesema...
  4. Lord Denning

    Tarehe 29 Oktoba ni siku ya kuifuta CCM na kulikomboa Taifa

    Kama upo karibu na Ofisi yeyote ya CCM iwe ya Mtaa, Kata au Wilaya kazi kubwa ni kuhakikisha hiyo Ofisi inafutika Kama upo jirani na Kiongozi yeyote wa CCM kazi iliyobaki ni kuhakikisha nyumba yake inafutika Kama upo jirani na Ofisi za Taasisi zinazojulikana kwa kukandamiza raia kama Mahakama...
  5. Mafyangula

    GE2025 Baba Levo: Naenda Dubai kuzungumza na taasisi, kufufua soko la ujiji

    Mtu unakwenda kwaajili ya Starehe zake anasingizia kutafuta wafadhili:3Heading: hata ubunge ujaupata =============== Miongoni mwa sababu kubwa zinazo mpeleka Dubai ni pamoja na kuzungumza na baadhi ya Taasisi kwa ajili ya uwekezaji mkubwa katika Soko la Ujiji liliopo Jimbo la Kigoma Mjini...
  6. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Wanu: Mimi ni mwanafunzi wa Rais samia wasiwe na wasi wasi, atakavyotiki kwake na kwangu wakatiki

    “Nimewasikia watani wetu katika mkutano wako kuwa wao hawana shida na Rais Samia lakini wanashida na mimi, niwatoe hofu kuwa mimi ni mwanafunzi wa Dkt Samia kama watakavyotiki kwake na kwangu wakatiki nikawaonyesha maaana ya uongozi” alisema Wanu ambae ni mtoto wa Rais Samia na Mgombea Ubunge...
  7. Mafyangula

    GE2025 Dk Tulia Ackson nitahakikisha Barabara ya Lami kutoka Uyole-Ilemi inajengwa

    Mgombea ubunge wa Uyole kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Tulia Ackson amesema atahakikisha barabara ya Juhudi mpaka Ilemi inajengwa kiwango cha lami ili kuondoa adha kwa wananchi katika msimu wa mvua. Dk Tulia amesema hayo leo Ijumaa Oktoba 3, 2025 katika mkutano wa kampeni wa...
  8. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Hanang wamchangia Rais Samia kwaajili ya kununua mafuta yatakayosaidia katika kampeni zake

    Ila uchawa umefika kiwango kisichokubalika! CCM tayari wameshakusanya bilioni 100, basi michango mingine hiyo ni gani tena? Uchawa huu mwingie hauna tija yoyote. Ingekuwa bora kama pesa hizo zingeelekezwa kwa wale wenye uhitaji maalum =============== Chifu wa Wilaya ya Hanang Jemsi Gejaru...
  9. Tajiri wa kinyankole

    GE2025 Hali inazidi kuwa mbaya kwa yule mama yule mgombea wa kiti cha Urais chama kile cha hadaa

    Kuelekea tarehe 29.10.2025 itakuwa ni birthday ya mwamba yule anaye sadikika kuwa alufanyiwa figisu Morogoro na wana mtandao kisha kukatisha uhai wake. Jamii baada ya kutonywa na yule kijana mjanja wa shule ya uongozi wananchi wameapa kutoshiriki haramu tarehe tajwa ,siku hiyo wengi itakuwa ni...
  10. Mafyangula

    GE2025 Salum Mwalimu alivyowasili Mbagala kunadi sera, alijiona kama kashakuwa rais wa Tanzania

    Nimeitazama hii video ya Mgombe urais kupitia CHAUMMA Salum Mwalimu nikabaki kucheka fulani hivi Maana jamaa amejiona tayari ameshakuwa Rais, yani ulinzi mwingi bwebwe kibao, Kweli madaraka matamu na hivi wanatembelea gari za bure basi balaa tupu!
  11. R

    GE2025 DC Petro Magoti: Oktoba 29 mkapige kura, wale wanaotaka kuandamana mtuachie sisi, hakuna hata mtu atasema fyoo

    Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Petro Magoti amewahimiza wananchi kutoka Oktoba 29, 2025 kwenda kupiga kura, pia ametoa onyo kwa wale wanaodai kuandamana siku hiyo kuwa watashughulikiwa akisisitiza kwenye Wilaya yake ya Kisarawe hakuwezi kuwepo maandamano "Hakuna hata mtu atasema fyoo tarehe 29...
  12. Waufukweni

    GE2025 Makonda aeleza Schwarzenegger atakavyoinufaisha Arusha

    Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini, Paul Makonda amefafanua namna ahadi yake ya kumleta Arnold Schwarzenegger jijini Arusha itakavyotimia na Arusha kunufaika. Soma: Makonda: Nikishinda Ubunge ntamleta Schwarzenegger mwaka mpya Arusha Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni za mgombea urais kwa...
  13. Waufukweni

    GE2025 UWT yasema uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 utakuwa mwepesi kwa CCM, yaeleza sababu

    Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT), Zainab Khamis Shomari, amesema kuwa uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29 mwaka huu utakuwa mwepesi kwa chama hicho kutokana na maendeleo makubwa yaliyoletwa na Serikali. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni...
  14. DuaZaMama

    GE2025 Askofu Ndorobo: Uchaguzi unakuja ni lazima tuchague mtu anayetufaa

    Askofu wa Jimbo Katoliki la Mahenge, Mhashamu Agapiti Ndorobo amesema kuwa kuelekea katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ni vyema kuchagua Kiongozi anayefaa, na anayejali kila mmoja bila kuangalia Dini, rangi, kabila, wala utaifa. Askofu Ndorobo ameyasema hayo leo Oktoba 3, 2025 wakati akitoa...
  15. mwanamwana

    GE2025 CCM yawatoa Waadzabe porini na kuwavalisha sare za Chama kwenye Mkutano Karatu

    Wananchi wa kabila la Wahadzabe, jamii ya asili yenye historia ya kipekee, wameonekana katika viwanja vya Madani wilayani Karatu mkoa wa Arusha wakiwa wamevalia sare za CCM na kuimba nyimbo za asili. Hivi hawa, serikali ya CCM haijauza ardhi yao kweli kwa waarabu? -- Sema CCM wakorogaji...
  16. DuaZaMama

    GE2025 Samia: Kaskazini haikuwa jicho la watawala, sasa tutaitazama

    Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewahakikishia wakazi wa Kanda ya Kaskazini kuwa Mkoa wa Arusha utapewa kipaumbele cha kipekee endapo ataaminiwa kuunda serikali baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025...
  17. DuaZaMama

    GE2025 CCM yalaani waliochana mabango ya mgombea urais Samia

    Chama Cha Mapinduzi CCM Jimbo la Musoma Mjini kimelaani tukio la watu wanaotajwa kikundi cha vijana waliochana na kutoboatoboa mabango ya mgombea wao wa urais Dkt.Samia Suluhu Hassan ambayo yamebandikwa maeneo mbalimbali ya Mji wa Musoma na kudai kitendo hicho hakikubaliki. Hayo yamejiri ikiwa...
  18. Waufukweni

    GE2025 Katalyeba: Wananchi wa Buchosa tumetosheka na kasi ya maendeleo, hatuhijaji Siasa za Ubwabwa

    Katika uzinduzi wa kampeni za udiwani Kata ya Nyakaliro, Jimbo la Buchosa mkoani Mwanza, Mjumbe wa Kamati ya Siasa Wilaya ya Sengerema na mmoja wa wasimamizi wa kampeni Jimbo la Buchosa, Comrade Boniphace Katalyeba, amewasihi wananchi wa Buchosa kuendelea kuiunga mkono Serikali ya Awamu ya Sita...
  19. DuaZaMama

    GE2025 Bodaboda Mwanza wajipanga kumpokea Samia kwa kishindo

    Waendesha bodaboda jiji la Mwanza wamefanya maandamano ya amani ikiwa ni maandalizi ya kumpokea mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM DKT. Samia Suluhu Hassan. Wakizungumza Jijini Mwanza na waandishi wa habari, baadhi ya bodaboda hao akiwemo Mwenyekiti wa Umoja wa Bodaboda...
  20. DuaZaMama

    GE2025 Kigogo wa CHADEMA adaiwa kukamatwa, RPC anafuatilia

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Viktoria kupitia kwa Katibu wake Zacharia Obadi kimedai kuwa Makamu Mwenyekiti wake wa Kanda Khalid S. Hussein amekamatwa na Jeshi la Polisi Oktoba 02.2025 Taarifa za madai ya kukamatwa kwa kiongozi huyo zilianza kusambaa kwenye mitandao ya...
Back
Top Bottom