Kada wa CCM Iringa ambaye hapo nyuma alikuwa ni kiongozi wa juu wa chadema ngazi ya mkoa na kanda ajikuta akiishiwa pawa na kuipiga salamu ya “Peopleeeees power” badala ya ile ya “CCM hoyeeee”
Mgombea ubunge Jimbo la Hanang kupitia CCM, Asia Halamga amesema wema alioufanya mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM, Dk Samia Suluhu kwa wananchi wa Hanang utaishi milele.
Aliyewahi kuwa mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Cecilia Paresso amesema lengo la chama cha siasa ni kushika dola kupitia uchaguzi hivyo inapotokea chama kikasusia anadai chama hicho hakifai.
"kama tunavyofahamu malengo makuu ya chama cha siasa ni kushiriki uchaguzi ili kuweza kushika dola...
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Tanga Mjini kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Seif Abalhassan, ameahidi kurejesha heshima ya Jiji la Tanga endapo wananchi watampa ridhaa kwenye uchaguzi ujao.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na Kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe...
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kupitia CCM , Professa Kitila Mkumbo amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutambua kadhia wanayopitia wananchi juu ya usafiri wa mabasi yaendayo haraka (mwendokasi) alielekeza kuharakishwa kwa taratibu za kuondosha mabasi bandarini ili yaanze kazi haraka na...
Geofrey Kiliba, Rais wa Jumuiya ya Taasisi za Wanafunzi wa Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO), amesisitiza kuwa wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu kote nchini watashiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.
Vyama vinavyoshiriki uchaguzi bandia vifutwe , wagombea wote wa vyama hivyo wakamatwe na kuhojiwa hawatufai.
Viongozi wa dini wanao support uchaguzi bandia waondolewe kwenye nafasi zao kushiriki kwenye uovu kwa viongozi hao kunapoteza nafasi ya wao kuendelea kuwaongoza wengine kwenye haki.
"Dkt. Samia Suluhu Hassan ni uthibisho kuwa wanawake wakipewa nafasi taifa limesonga mbele" Paresso
Ameongeza akisema "miaka minne iliyopita Dkt. Samia Suluhu Hassan si kwamba tumemsikia kwa maneno lakini pia tumemshuhidia kwa vitendo vya kimaendeleo" Amesema Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum...
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kujenga gati katika kijiji cha Tumbatu ili kuwaondolea wananchi usumbufu wa kusafiri kufuata huduma nje ya kisiwa chao.
Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa mpira wa...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA John Heche, amesema yeye pamoja na na wenzake hawatojificha na kwamba Watashinda dhidi ya uovu unaopangwa dhidi yao.
Heche ameandika hayo leo baada ya kupokea taarifa kwamba Mahakama ya Tanzania imeombwa kutoa kibali cha kukamatwa...
Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Rahma Mwita amewataka wanaofuatilia siasa mitandaoni kuacha tabia ya kutukana viongozi kwa sababu ni udhalilishaji wa mwanamke na wazazi wao wenyewe.
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha NRA, Khamis Faki, amesema endapo wananchi watampa ridhaa ya kuongoza Zanzibar katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, Serikali yake itaweka sheria itakayowataka vijana wa Kizanzibari kuoa wake zaidi ya mmoja.
Faki ameeleza kuwa kijana yeyote atakayekaidi...
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewaahidi wananchi wa kisiwa cha Tumbatu katika miaka mitano ijayo atahakikisha anaifanya kisiwa hicho kuwa wilaya.
Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza katika mkutano wa kampeni...
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuwa serikali atakayoiunda endapo atachaguliwa itaendelea kwa kasi zaidi katika kutekeleza mpango wa kuboresha maisha ya watu na ustawi wa jamii, kama ambavyo Ilani ya CCM...
Mbunge mstaafu wa Babati Mjini, Pauline Gekul amesema wananchi wa babati hawana deni kwa mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu Hassan kwani ni kama ameipendelea Babati kwa kufanya mambo mengi makubwa.
Gekul ametoa kauli hiyo alipokuwa kwenye mkutano wa kampeni za Samia...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila akizungumza leo Oktoba 4, 2025 Kwenye Kongamano la Mawakili Wanawake kuelekea Uchaguzi Mkuu amesema "Hakuna Taasisi inayokulipa mshahara kwa ajili ya familia yako, mshahara unaolipwa ni kwa ajili yako wewe. Hata ungelipwa Mil 50 bado mshahara huo...
Akizungumza na Wenyeviti wa Mitaa, DC Albert Gasper Msando amewataka viongozi hao kusimamia vizuri makusanyo ili miradi irudi kwao. Huku akisisitiza kuwa wanaojenga bila vibali watachukuliwa hatua, akisema: "Usijenge kipindi hiki cha Uchaguzi bila kibali, ukidhani eti hawafatilii, unajidanganya...
"Nchi yoyote ikiwa haina amani huwezi kuamka asubuhi ukaenda kazini, huwezi kufanya biashara, kwa hiyo duniani kote unakoona jambo la kwanza wanapigania Amani" Deodatus Balile - Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania.
Soma zaidi
Mwenyekiti wa TEF, Balile: Kampeni za mwaka huu zina ustaarabu...
Mgombea Ubunge Jimbo la Makunduchi, Wanu Hafidh Ameir amesema Wananchi wa Kizimkazi wameomba Mashine maaalum za kuchimba Makaburi kutokana na ardhi yao kuwa ngumu ya Mawe hali inayowapa tabu wakati wa kuchimba hivyo kwa kushirikiana na Viongozi wenzake watakwenda kununua Mashine tatu ili kuondoa...
Wakuu, mmesikia huko?
Jeshi la Uhamiaji limeagizwa kuimarisha doria na misako kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025.
===
Jeshi la Uhamiaji limetakiwa kuimarisha doria na misako katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa kuwachagua madiwani, wabunge, na Rais unaotarajiwa kufanyika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.