uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PAYE

    GE2025 Aliyekuwa mgombea wa ACT Wazalendo, Jackson Kangoye, ajiunga na CCM wakati wa kampeni za Samia

    Aliyekuwa mgombea Ubunge kupitia Chama cha ACT Wazalendo Jackson Kangoye amejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakati wa mkutano wa kampenzi za mgombea Urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan zilizofanyika Musoma Mjini Oktoba 9, 2025. Soma: Tarime Mjini; Mgombea wa ACT-Wazelendo, Jackson Kangoye...
  2. DuaZaMama

    GE2025 Samia: Wanawasaidia wagombea wa vyama pinzani ili kuikomoa CCM

    Mgombea wa kiti Cha Urais Kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Kuna watu wanawasaidia wagombea wa vyama vya upinzani ili kuikomoa CCM Dkt. Samia ameyasema hayo Musoma Mjini Mkoani Mara kwenye mwendelezo wa Mikutano yake ya Kampeni za uchaguzi Mkuu 2025...
  3. Waufukweni

    GE2025 CCM waogopa hadi bendera! Mwenyekiti wa CCM aagiza bendera za CHADEMA zishushwe wakati wa ziara ya kampeni ya Samia

    Katika video inayosambaa mitandaoni ikionyesha kundi la wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwa katika harakati za kushusha bendera za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika maeneo mbalimbali ya Musoma. Kwa mujibu wa maelezo yanayosikika kwenye video hiyo, hatua hiyo inadaiwa...
  4. DuaZaMama

    GE2025 Mahakama Kuu Kusoma Hukumu Kesi ya ACT Wazalendo na Mpina Dhidi ya Tume Huru ya Uchaguzi Leo Oktoba 10, 2025

    Hukumu ya kesi iliyofunguliwa na Chama cha ACT Wazalendo chini ya Bodi ya wadhamini pamoja na Luhaga Mpina kupinga uamuzi wa kuenguliwa na Tume Huru ya Uchaguzi kugombea kiti cha Urais,itasomwa leo saa nane Mchana Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma. Waandishi wa Habari mnakaribishwa kuhudhuria...
  5. R

    GE2025 Chid Benz: Naogopa kuchanganya siasa na sanaa yangu, nimetafutwa na Vyama vitatu kwenda kufanya Tamasha

    Msanii wa Bongo Fleva Rashid Makwiro almaarufu Chid Benz akifanya mahojiano na shirika la habari la BBC ameeleza sababu ya yeye kutojihusisha na siasa kama ilivyo sasa wasanii wengi wamejikita huko wakihudhuria na kushiriki Mikutano ya Kampeni za Vyama vya Siasa Chid Benz amesema kwasababu...
  6. Mafyangula

    GE2025 Mchengerwa aomba Rufiji ipande hadhi kuwa Mkoa, ili kurahisisha huduma kwa wananchi

    Mgombea ubunge wa Rufiji wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mohamed Mchengerwa amewasilisha maombi ya wananchi wa jimbo hilo kwa mgombea mwenza wa urais wa chama hicho, Dk Emmanuel Nchimbi la Rufiji kuwa mkoa ili kurahisisha huduma. Mchengerwa ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za...
  7. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Sheikh Alhad Mussa: Maandamano hayatakuwepo na hakuna kijana wa kiislam atakayeshiriki katika maandamano

    Vijana wa Kiislamu mmesikia huko na mnalipi la kumwambia? =============== Vijana wa Kitanzania awawezi kujiingiza katika jambo kama hili la maandamano likawasababishia madhara, maadhara ambayo uyapigii dini yako, kujitia kilema au ukipata matatizo ni mambo ambayo ayakubaliki kwahiyo Maandamano...
  8. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mazinge: Tusubiri maandamano yatakuwepo siku moja tuu, ambapo itakuwa siku ya kiama

    Kuna tetesi tesi kuna watu wanataka kuandamana ili watu wasipige kura, nataka nikuhusieni kama kuna ndugu yake au kijana wake basi amwambie aache kwa sababu haifai, Tusubiri maandamano yatakuwepo siku moja tuu ambapo siku ya kihama tutakuwa na maandamano ya watu wote, yatawahusu Waislam...
  9. Mafyangula

    GE2025 Machifu Simiyu: Wananchi jitokezi kupiga kura Oktoba 29, 2025

    Machifu wa Mkoa wa Simiyu wamewataka Wananchi wenye sifa ya kupiga kura kujitokeza kwa wingi kutimiza haki yao ya kikatiba ya kuchagua Viongozi wanaowataka. Wamesema amani ndiyo msingi wa Taifa la Tanzania, hivyo wananchi wote wanapaswa kuilinda.
  10. Mafyangula

    GE2025 Sheikh: Wale wahuni wanaotaka kuandamana wakaombe kibali Serikalini

    Ndugu Shekhe mishipa imemsimama kuzungumzia maandamano! Kwahiyo kutakuwa na maandamano ya upande wanaiunga mkono serikali na wale wanaopiga uchaguzi! Hayaaa!! =============== Wale wahuni wanaotaka kuandamana wakaombe kibali Serikalini huo ndio utaratibu wa maandamano kwa Tanzania na Dunia...
  11. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Kunje Ngombale Mwiru: Kwa takribani siku 40 za kampeni, nina uhakika wa kushinda kwa asilimia 75 Urais wa Tanzania

    Mgombea Urais wa Chama cha Wakulima (AAFP), Kunje Ngombale Mwiru, amesema baada ya takribani siku 40 za kampeni, anadhani katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, kuna uwezekano wa kushinda kwa asilimia 75. Kauli hii aliitoa mkoani Dar es Salaam katika mkutano na waandishi wa habari.
  12. Mafyangula

    GE2025 Mkomi: Watumishi wa umma tujitokeze kwa wingi siku ya Oktoba 29 kwenda kupiga kura

    Hapa naweza kusema ni kama imetoka oda fulani kwa watumishi wote wa Umma. Na kuwaza kwa ndani kabisa inawezekana ikawekwa lokoo watakapiga kura na wasio piga kura halafu wasiopiga kura kitawalamba! ================= Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora...
  13. Mafyangula

    GE2025 Mkulima: Tukicheza na Amani tutavuna maumivu mazito na hakuna atakayebaki salama

    Haya mkulima! Hodari ================ “Tukicheza na Amani tutavuna maumivu mazito na hakuna atakayebaki salama, tusishawishike, tusirubuniwe, hakuna mbadala wa amani yetu, amani yetu ni tunu. Sote tunapaswa kuilinda kwa wivu mkubwa “-Mkulima kutoka Mwanza.
  14. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Sheikh Mkuu wa Tanzania Dr Abubakar: Oktoba 29 jitokezeni kwa wingi kupiga kura

    Sheikh uchaguzi huu hadi sasa ni haramu, je unalifahamu hilo. Lakini hali si nzuri watu wanatekwa sana sijasikia ukilisemea au halina umuhimu kabisa? ==================== Waumini wa dini ya Kiislamu kutoka Halmashauri ya mji wa Makambako wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi mkuu...
  15. Mafyangula

    GE2025 Vijana waonywa kuepuka matusi mitandaoni kipindi hiki cha uchaguzi

    Kufuatia uwepo wa baadhi ya vijana kutumia vibaya mitandao ya kijamii wakati huu wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais kwa kutoa lugha za matusi, vijana hao wameonywa kuacha tabia hiyo kwa kuwa kuna maisha baada ya uchaguzi na kukumbuka uwepo wa sheria ya matumizi mabaya ya...
  16. Mafyangula

    GE2025 Mgombea Mwenza NCCR-Mageuzi: Wakulima watapanga bei ya mazao yao bila kuwepo bei elekezi

    Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha NCCR-Mageuzi, Evaline Munisi, ameahidi kuwa serikali itakayoundwa na chama hicho itawapa wakulima uhuru wa kujipangia bei ya mazao yao, bila kuwepo kwa bei elekezi kutoka serikalini. Akizungumza leo Oktoba 9, 2025...
  17. Mafyangula

    GE2025 Profesa Kitila: Wakati wa uchaguzi kama huu, maneno maneno lazima yawepo, lakini mama Samia yupo imara

    "Wakati wa uchaguzi kama huu, maneno maneno lazima yawepo, lakini mama yupo imara, amestahimili, kwa dua zenu Mungu pia hatamuacha, atasimama naye na tutavuka salama tarehe 29 Oktoba na nchi yetu itasonga mbele" -Prof. Kitila ‎Prof. Kitila ameeleza hayo Oktoba 09.2025, kwenye kongamano la dua...
  18. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Lissu: Leo mumeniangusha hamjaijaza Mahakama

    Huyu jamaa anaga kupinda yani anapasua hapo hapo! Inawezekana pia watu wengine wanaogopa kupigwa na hao polisi ambao wamegeuka maadui kwa Watanzania =================== Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu wakati akitoka katika kizimbani cha Mahakama Kuu...
  19. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Samia: Reli ya SGR na kuupanua uwanja wa ndege wa Mara, kutaleta mageuzi ya kiuchumi

    Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema ikiwa atapewa nafasi ya kuunda serikali kupitia uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, atauendeleza na kuupanua uwanja wa ndege wa Mara ili kuufanya kuwa na uwezo...
  20. tonicimmobility

    GE2025 Mkoba wa CHADEMA atambulishwa rasmi kuwa mwanachama wa CCM, asema ''siko tayari kuongoza jeshi la watu walemavu''

    Aliyekuwa Katibu wa Chadema Mkoa wa Mwanza Bw. Boniface Paul Mkobe Nzagamba amekihama chama hicho na kujiunga na chama cha mapinduzi CCM leo Oktoba 08,2025 katika mkutano wa kampeni za Mgombea nafasi ya Urais kupitia chama hicho uliofanyika jijini Mwanza Dkt. Samia amempokea Mwanasiasa huyo...
Back
Top Bottom