uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Just Pray

    GE2025 Esther Matiko: Mimi ni CCM hata kwenye majukwaa sijawahi kusema neno ‘CHADEMA’

    Mgombea wa Ubunge Jimbo la Tarime Mjini Esther Matiko amesema mpango wa kuingia Chama Cha Mapinduzi(CCM)alikuwa nao muda mrefu tangu wa wakati wa Serikali ya awamu ya Nne ya Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho kikwete Matiko ameyasema hayo Musoma Mjini Mkoani Mara wakati akihojiwa na Wasafi Media...
  2. DuaZaMama

    GE2025 Mgombea ubunge Bukoba mjini Amir Hamza amnadi Rais Samia

    Mtia nia wa Ubunge Jimbo la Bukoba Mjini, Amir Hamza, amemnadi Mgombea Urais wa CCM Dkt.Samia Suluhu Hassn, huku akisisitiza umuhimu wa wananchi kutumia haki yao ya Kidemokrasia kuwachagua viongozi bora kuanzia ngazi ya Madiwani, Wabunge hadi Rais, ili kuhakikisha taifa linaendelea kupata...
  3. McLaren

    GE2025 Sheikh Mkuu wa Dar: Hakuna asiyekuwa Mwislamu akafanya maandamano. Sisi sio watu wa maandamano

    Wakuu, Sheikh mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Walid Alhad akizungumza kwenye Maulid ya mtume Temeke Azimio kuhusu umuhimu wa kushukuru na kuuishi uislamu alisema: "Hakuna asiyekuwa muislamu akafanya maandamo, hayupo. Msiende mkapigiwa mpira wa karatasi ndani una jiwe. Usiende, sisi sio watu wa...
  4. McLaren

    GE2025 Kanisa la FPCT latangaza mfungo wa siku tatu kuliombea Taifa kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Makamu Askofu Mkuu wa makanisa ya FPCT nchini Elias Simon ametangaza siku tatu za ibada ya kufunga na kufanya maombi maalumu kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Rais ,Ubunge na Udiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka huu, Huku akiwataka waumini wa madhehebu mbalimbali ya kikristo hapa nchini...
  5. Mafyangula

    GE2025 Othman: Nitasafisha ufisadi uliojengewa mizizi, ili nchi hii iendeshwe kistaarabu

    Mgombea urais wa Zanzibar, kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema endapo akiingia madarakani Oktoba 29, 2025, ataanza kusafisha vitendo vya ufisadi vinavyodaiwa kuwepo visiwani humo. Amesema vitendo vya kifisadi vilivyopo visiwani humo vinasababisha athari mbalimbali ikiwemo...
  6. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Zitto Kabwe: Wasemaji wa Kigoma wakiwa wengi, Bungeni mimi nitapanda juu

    Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ametoa wito kwa wananchi wa jimbo la Buhigwe kumchagu Mgombea ubunge wa jimbo hilo Frank Ruhasha ili mkoa wa Kigoma uwe na wabunge wengi jambo ambalo anaamini litamfanya kuacha kuwaza ubunge badala yake afikirie kugombea Urais mbeleni...
  7. Mafyangula

    GE2025 Judith Kasian: Mimi ningewaasa vijana wasidanganyike, wakidanganyika tutaenda pabaya

    "MIMI ningewaasa vijana wasidanganyike, wakidanganyika tutaenda pabaya, tubaki palepale kwa mwalimu, mwalimu alipenda amani." Judith Kasian mkazi wa Butiama
  8. Mafyangula

    GE2025 Mwalimu Nyerere hakutaka siasa za matusi

    Vijana wametakiwa kuitunza amani ya taifa na kufuata siasa safi isiyokuwa na matusi ikiwa ni njia ya kumuenzi hayati baba wa taifa Mwalimu Julias Nyerere.
  9. Mafyangula

    GE2025 Mufti Mkuu awataka Watanzania kuhubiri na kulinda Amani

    Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar bin Zubeir Ali amewataka Waislamu na Watanzania kwa ujumla kuhubiri na kulinda amani ya nchi, akisisitiza kuwa amani ndiyo msingi wa Uislamu na maendeleo ya taifa. Akizungumza katika mkutano wa viongozi wa dini mjini Makambako, Mufti Abubakar...
  10. Its Tesha

    GE2025 Samia: Kibati Kikipasuka, sisi tuko nao, ninayezungumza ni Amirijeshi mkuu, Tokeni mkapige Kura Oktoba 29, 2025

    "Tumedhamiria kufanya kazi. Tumefanya kazi mmeiona na tunajiamini kwamba tutaweza kufanya tena kazi kipindi cha pili cha awamu ya sita, kazi ya kuonekana kwamaana hiyo niombe mtuchague Chama Cha Mapinduzi “Na hapa niseme ndugu zangu ili niwatoe hofu, kuna watu wanatishatisha ili kuwafanya watu...
  11. pulex

    Tetesi: Inasemekana viongozi wa upinzani na watu mashuhuri kukamatwa tarehe 26-28

    Tarehe 26-28 watakamatwa viongozi wote wa Upinzani! Watu wenye influence kwenye Jamii Watafungiwa Kigamboni na Kivule hadi Uchaguzi wao feki uishe! Wanaogopa maandamano, ni maelekezo tayari wametoa. My take: Hawa jamaa wamepanick, kukamata hao watu ni sawa na kwenda kuchochea moto zaidi...
  12. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Familia ya Katibu wa ACT Wazalendo, Kigoma yadai kuvamiwa usiku. TAKUKURU yasema ilikuwa ni upekuzi kwa tuhuma ya rushwa

    Familia ya Katibu wa Chama cha ACT Wazalendo mkoa wa Kigoma ambaye pia ni mgombea udiwani wa kata ya Kibirizi, Yunus Ruhomvya, imedai kuvamiwa na watu wanaodaiwa kuwa askari polisi usiku wa kuamkia Oktoba 9, 2025, katika makazi yao yaliyopo eneo la Kibirizi mkoani Kigoma. Kwa mujibu wa mke wa...
  13. Mafyangula

    GE2025 Cecilia Paresso: Samia na Nchimbi kwa pamoja wanaenda kujenga taifa lenye umoja na mshikamano

    Kada wa Chama cha Mapinduzi CCM Cecilia Paresso ametoa wito kwa wananchi wa Rufiji kumpigia kura mgombea Urais wa chama hicho Dkt. Samia Suluhu Hassan na mgombea Mwenza Dkt. Emmanuel Nchimbi kwani viongozi hao watapochanguliwa watajenga taifa lenye mshikamano, umoja na maendeleo kwa wote...
  14. PAYE

    GE2025 DCP Misime: Askari 3,900 Bara na 388 Zanzibar wamesambazwa kutoa Elimu ya matumizi ya Mitandao

    Jeshi la Polisi kupitia Msemaji wake DCP David Misime amesema wamesambaza askari zaidi ya 3,900 Tanzania Bara na 388 Zanzibar ili kutoa elimu ya Matumizi sahihi ya Mitandao ya kijamii. Soma pia > DCP Misime: Serikali imetuwezesha vifaa vya kuwashughulikia wanaohamasisha uhalifu Amesema wazazi...
  15. tonicimmobility

    GE2025 Mavunde: Wapuuzwe wanaotaka kutugawa kwa ajili ya maslahi yao binafsi

    DODOMA: MAKAMU Mwenyekiti wa Taasisi ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Peter Mavunde, amewasihi Watanzania kudumisha amani na utulivu wa taifa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu. Ametoa rai hiyo Jijini Dodoma wakati taasisi hiyo ilipotembelea miradi ya kimkakati inayotekelezwa na...
  16. tonicimmobility

    Zaidi ya askari 4,000 wasambazwa mtaani kulinda amani ya Tanzania

    Jeshi la Polisi Tanzania limeimarisha maandalizi ya kuhakikisha amani na usalama kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, likionya dhidi ya uchochezi, uzushi na usambazaji wa taarifa zisizo sahihi kwenye mitandao ya kijamii. Msemaji wa Jeshi hilo, DCP David Misime, amesema zaidi ya askari 4,000...
  17. DuaZaMama

    GE2025 Samia: Tanzania tutaijenga wanawake na wanaume, acheni ubaguzi

    Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan amesisitiza suala la mshikamano na umoja miongoni mwa watanzania pamoja na kuachana na imani, tamaduni na mila zenye kuwakandamiza wanawake na kuamini kuwa hawafai...
  18. tonicimmobility

    GE2025 Samia asisitiza katiba mpya itakamilika awamu ya sita

    Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesisitiza kuwa mchakato wakupata Katiba mpya utakaika katika kipindi cha awamu ya sita. Soma pia: Samia: Tutaendeleza mchakato wa Katiba Mpya kama ilivyo katika ilani yetu ya CCM “Pamoja...
  19. tonicimmobility

    GE2025 Samia: Tunajenga uwanja wa ndege Serengeti kukuza utalii

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan ameahidi kujenga Uwanja wa ndege Mugumu Serengeti kama sehemu ya kutimiza adhma ya Chama Cha Mapinduzi ya kufikisha idadi ya watalii Milioni nane wanaoitembelea Tanzania kwa mwaka kufikia...
  20. PAYE

    GE2025 Jokate Mwegelo: Vijana wenzangu, hatuna Tanzania nyingine zaidi ya hii. Oktoba 29 tumrejeshe Samia Suluhu

    "Vijana wenzangu, hatuna Tanzania nyingine zaidi ya hii. Oktoba 29 ni siku ya kufanya maamuzi ya kumleta tena Dkt Samia Suluhu" — Jokate Mwegelo
Back
Top Bottom