uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Judith Kasian: Mimi ningewaasa vijana wasidanganyike, wakidanganyika tutaenda pabaya

    "MIMI ningewaasa vijana wasidanganyike, wakidanganyika tutaenda pabaya, tubaki palepale kwa mwalimu, mwalimu alipenda amani." Judith Kasian mkazi wa Butiama
  2. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwalimu Nyerere hakutaka siasa za matusi

    Vijana wametakiwa kuitunza amani ya taifa na kufuata siasa safi isiyokuwa na matusi ikiwa ni njia ya kumuenzi hayati baba wa taifa Mwalimu Julias Nyerere.
  3. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mufti Mkuu awataka Watanzania kuhubiri na kulinda Amani

    Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar bin Zubeir Ali amewataka Waislamu na Watanzania kwa ujumla kuhubiri na kulinda amani ya nchi, akisisitiza kuwa amani ndiyo msingi wa Uislamu na maendeleo ya taifa. Akizungumza katika mkutano wa viongozi wa dini mjini Makambako, Mufti Abubakar...
  4. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Kibati Kikipasuka, sisi tuko nao, ninayezungumza ni Amirijeshi mkuu, Tokeni mkapige Kura Oktoba 29, 2025

    "Tumedhamiria kufanya kazi. Tumefanya kazi mmeiona na tunajiamini kwamba tutaweza kufanya tena kazi kipindi cha pili cha awamu ya sita, kazi ya kuonekana kwamaana hiyo niombe mtuchague Chama Cha Mapinduzi “Na hapa niseme ndugu zangu ili niwatoe hofu, kuna watu wanatishatisha ili kuwafanya watu...
  5. pulex

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Inasemekana viongozi wa upinzani na watu mashuhuri kukamatwa tarehe 26-28

    Tarehe 26-28 watakamatwa viongozi wote wa Upinzani! Watu wenye influence kwenye Jamii Watafungiwa Kigamboni na Kivule hadi Uchaguzi wao feki uishe! Wanaogopa maandamano, ni maelekezo tayari wametoa. My take: Hawa jamaa wamepanick, kukamata hao watu ni sawa na kwenda kuchochea moto zaidi...
  6. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Familia ya Katibu wa ACT Wazalendo, Kigoma yadai kuvamiwa usiku. TAKUKURU yasema ilikuwa ni upekuzi kwa tuhuma ya rushwa

    Familia ya Katibu wa Chama cha ACT Wazalendo mkoa wa Kigoma ambaye pia ni mgombea udiwani wa kata ya Kibirizi, Yunus Ruhomvya, imedai kuvamiwa na watu wanaodaiwa kuwa askari polisi usiku wa kuamkia Oktoba 9, 2025, katika makazi yao yaliyopo eneo la Kibirizi mkoani Kigoma. Kwa mujibu wa mke wa...
  7. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Cecilia Paresso: Samia na Nchimbi kwa pamoja wanaenda kujenga taifa lenye umoja na mshikamano

    Kada wa Chama cha Mapinduzi CCM Cecilia Paresso ametoa wito kwa wananchi wa Rufiji kumpigia kura mgombea Urais wa chama hicho Dkt. Samia Suluhu Hassan na mgombea Mwenza Dkt. Emmanuel Nchimbi kwani viongozi hao watapochanguliwa watajenga taifa lenye mshikamano, umoja na maendeleo kwa wote...
  8. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 DCP Misime: Askari 3,900 Bara na 388 Zanzibar wamesambazwa kutoa Elimu ya matumizi ya Mitandao

    Jeshi la Polisi kupitia Msemaji wake DCP David Misime amesema wamesambaza askari zaidi ya 3,900 Tanzania Bara na 388 Zanzibar ili kutoa elimu ya Matumizi sahihi ya Mitandao ya kijamii. Soma pia > DCP Misime: Serikali imetuwezesha vifaa vya kuwashughulikia wanaohamasisha uhalifu Amesema wazazi...
  9. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mavunde: Wapuuzwe wanaotaka kutugawa kwa ajili ya maslahi yao binafsi

    DODOMA: MAKAMU Mwenyekiti wa Taasisi ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Peter Mavunde, amewasihi Watanzania kudumisha amani na utulivu wa taifa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu. Ametoa rai hiyo Jijini Dodoma wakati taasisi hiyo ilipotembelea miradi ya kimkakati inayotekelezwa na...
  10. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania Zaidi ya askari 4,000 wasambazwa mtaani kulinda amani ya Tanzania

    Jeshi la Polisi Tanzania limeimarisha maandalizi ya kuhakikisha amani na usalama kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, likionya dhidi ya uchochezi, uzushi na usambazaji wa taarifa zisizo sahihi kwenye mitandao ya kijamii. Msemaji wa Jeshi hilo, DCP David Misime, amesema zaidi ya askari 4,000...
  11. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Tanzania tutaijenga wanawake na wanaume, acheni ubaguzi

    Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan amesisitiza suala la mshikamano na umoja miongoni mwa watanzania pamoja na kuachana na imani, tamaduni na mila zenye kuwakandamiza wanawake na kuamini kuwa hawafai...
  12. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia asisitiza katiba mpya itakamilika awamu ya sita

    Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesisitiza kuwa mchakato wakupata Katiba mpya utakaika katika kipindi cha awamu ya sita. Soma pia: Samia: Tutaendeleza mchakato wa Katiba Mpya kama ilivyo katika ilani yetu ya CCM “Pamoja...
  13. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Tunajenga uwanja wa ndege Serengeti kukuza utalii

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan ameahidi kujenga Uwanja wa ndege Mugumu Serengeti kama sehemu ya kutimiza adhma ya Chama Cha Mapinduzi ya kufikisha idadi ya watalii Milioni nane wanaoitembelea Tanzania kwa mwaka kufikia...
  14. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Jokate Mwegelo: Vijana wenzangu, hatuna Tanzania nyingine zaidi ya hii. Oktoba 29 tumrejeshe Samia Suluhu

    "Vijana wenzangu, hatuna Tanzania nyingine zaidi ya hii. Oktoba 29 ni siku ya kufanya maamuzi ya kumleta tena Dkt Samia Suluhu" — Jokate Mwegelo
  15. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Makonda apita vijiweni Simiyu kutoa elimu umuhimu wa amani

    Wakuu, Sasa wameona iwe ni mwendo wa kuzunguka kwenye Vijiwe kutoa elimu ya umuhimu wa kulinda amani ya nchi,, kumbe inawaumiza kichwa tuendelee kukaza waku hadi kieleweke wamezoea sana hawa CCM Tusirudi nyuma mpaka haki ipatikane kwenye nchi hii
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 DCP Misime: Serikali imetuwezesha vifaa vya kuwashughulikia wanaohamasisha uhalifu

    Msemaji wa Jeshi la Polisi, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) David Misime, amesema kuwa Serikali imeviwezesha vyombo vya ulinzi na usalama vifaa vya kutosha na vya kisasa kwa ajili ya kukabiliana na watu wanaopanga au kuhamasisha vitendo vya uhalifu nchini. Soma: DCP Misime: Tuwakemee...
  17. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Chifu Wanzagi: Tumeridhishwa na uchapakazi wa Rais Samia

    Chifu wa kabila la Wazanaki na Mwenyekiti wa Ukoo wa Burito ulio Ukoo wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere amesema kwaniaba ya Machifu wenzake na Ukoo wa Berito wanaridhika na uchapakazi wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kipindi...
  18. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wilson Mahera: Samia ametimiza maono ya Mwalimu Nyerere, Butiama

    Mgombea wa nafasi ya Ubunge kwenye Jimbo la Butiama Mkoani Mara kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Dkt. Wilson Mahera amesema Dkt. Samia Suluhu Hassan ametekeleza ndoto na maono ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa kujenga Chuo cha Kilimo Butiama Mkoani Mara ambapo takribani...
  19. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Hakuna majaribio ya kuiongoza nchi msidanganyike, mkiwapa wengine Serikali watawapoteza

    Kuelekea uchaguzi mkuu unaofanyika oktoba 29, 2025, Mgombea nafasi ya urais kupitia Chama cha Mapinduzi (#CCM) Samia Suluhu Hassan siku ya jana oktoba 9, 2025 akiendelea na kampeni za kusaka kura Mkoani Mara amesisitiza kuwa wananchi wasidanganyike, hakuna majaribio ya kuiongoza nchi. Ameongeza...
  20. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania Wakuu Kikwete hajambo huko? Anaendeleaje? Mbona kimya kimetanda sana?

    Wakuu tangu majuzi siku ya tarehe 07 Oktoba, 2025 siku ambayo Jakaya Kikwete amezaliwa kumeibuka ukimyaa sana kuhusu yeye, hatumuoni tena kwenye mikutano ya kampeni za CCM zinazoendelea za kusaka kura kama alivyokuwa akionekana awali kwenye mikutano hiyo. Sasa tuhesabu nini hapo, Mola anataka...
Back
Top Bottom