Kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe akimwombea kura mgombea Ubunge wa jimbo la Kasulu mjini kupitia Chama hicho, Martina Mturano, kutoka kwa wafanyabishara wa soko kuu la mjini wa Kasulu, Kigoma leo Oktoba 08, 2025.
Soma pia: Tazama mwitikio wa wananchi wa Kasulu katika kongamano la...
Naona kama Samia anawatisha wapinzani wake! Hata hao wapinzani wanauwezo wa kuongeza nchi na kupata uzoefu na kuleta maendeleo makubwa kwenye nchi
Mbona wale CHADEMA mnawaletea figisu kila kukicha? Kama nyinyi mnajiona mnauzoefu, wekeni mpira kati kila mtu ashinde mechi zake sasa...
Mkwe wa Samia naona anavyoendelea kuwaada wananchi wa Rufiji
============
Mgombea Ubunge wa Rufiji kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)Mohamed Mchengerwa ameweka wazi kuwa Wananchi wa Rufiji wanakwenda kwenye Uchaguzi bila hofu kutokana na Maendeleo yaliyofanyika Jimboni humo.
Mchengerwaameeleza...
"Nasimama mbele yenu ndugu zangu kwa heshima na taadhima naombeni kura zenu zote kwa Mama yetu Samia Suluhu Hassan, ni mwanamke aliyetuheshimisha wanawake. Mama Samia sio fisadi, Mama Samia sio mwizi na ndio maana wanawake wa Mkoa wa Mara tunathubutu kusema mitano tena inakustahili Mama.
...
Kuelekea kwenye Zoezi la uchaguzi Mkuu wa Tanzania Jumatano ya Oktoba 29, 2025, Viongozi wa dini, kijamii pamoja na wananchi wa Mkoa wa Dodoma wameungana pamoja kuhimiza amani, wakiitaja kama rasilimali muhimu kwa maendeleo ya Kijamii, kiuchumi, Viongozi wa dini wakisema amani ndiyo Neema muhimu...
Mgombea Ubunge Jimbo la Mwibara kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Kangi Lugola amesema kuwa wanaodhani kuwa Mgombea wa kiti Cha Urais Kwa Tiketi ya CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan sio Nguvu ya soda katika Maendeleo ya wananchi
Kangi ameyasema hayo Leo kwenye mwendelezo wa Mikutano ya Kampeni...
Kumbe kwao mambo safi! Au uchawa wa kupewa 2000 wanajiona wamemaliza shida zao?
====================
Wananchi wilayani Busega wameeleza kuwa wanafahamu kazi kubwa iliyofanywa na mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM), Dk Samia Suluhu Hassan hivyo hawadanganyiki na...
Akiwa katika Mahojiano na The Chanzo Mjumbe wa Sekretarieti ya Ilani ya Chama cha ACT-Wazalendo Jasper Sabuni ameelezea maono yake juu ya uelekeo wa ACT- Wazalendo baada ya Uchaguzi Oktoba 29, 2025
" Naiona ACT ikiunganisha nguvu na vyama vingine hususani Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
Vituko vinaendelea huko! Pesa zinasakwa jamani kwa kila njia
Yani unajidhalilisha kisa mtu ambae akitoka hapo akukumbuki tena. Ni Huzuni kwa kweli
===========================
Wanawake wa Rufiji wakigaragara chini kwa furaha wakati wa mapokezi ya mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Dkt...
Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kwa miaka mitano iliyopita, serikali ya awamu ya sita imefanikiwa kuongeza pato la Wavuvi kutoka Shilingi Bilioni tisa na Milioni mia nne hadi kufikia Shilingi...
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi wa Wilaya ya Bunda kutafakari kwa makini kabla ya kufanya maamuzi ya kisiasa, akisisitiza kwamba uongozi wa nchi unahitaji uzoefu na uwezo wa kusimamia masilahi ya...
Mgombea ubunge wa Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amesema endapo atashinda uchaguzi na kuingia bungeni, ataweka nguvu kubwa katika kumsaidia Rais Samia Suluhu Hassan kutekeleza Ilani ya CCM ya mwaka 2025–2030.
Makonda amesema anatarajia kutumia nafasi hiyo...
Ila Sheikh amejua kushusha na kupangilia dua na kuzingatia maslahi, amesahau tu kusema watekaji na mafisadi nao wachukuliwe na Shetani waende motoni 😂 😂 😂
-------------
Sehemu ya dua kutoka kwa Sheikh Hassan Kabeke wakati wa mkutano wa Kampeni za Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)...
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Stephen Wasira, amesema wanaofanya chokochoko si wananchi wote, bali ni watu wachache wanaotumia vibaya mitandao ya kijamii. Amesema Rais Samia ametekeleza majukumu yake kwa muda mfupi kwa mafanikio makubwa, na kumsihi asibabaishwe na kile alichokiita “chokochoko...
"Anzeni kuandaa submission za no case to answer, hakuna kesi hapa" Mwenyekiti Taifa, Tundu Lissu akiwaambia mawakili wake leo baada ya mapumziko mafupi mchana wa leo.
Wakuu
Mikakati ya Jeshi la Polisi na Amiri Mkuu wa Jeshi mmeielewa?
-------------
Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, DCP David Misime, amesema jeshi hilo limejiandaa vizuri kuhakikisha katika mchakato mzima wa uchaguzi, linakuwa na mikakati thabiti ya kuhakikisha amani, utulivu na usalama...
Mjumbe wa halmshauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (Wazazi) - MNEC na mgombea ubunge wa Jimbo la Kibaha vijijini, Hamoud Abuu Jumaa akionyesha umahiri wake wa kufanya mazoezi ya kuruka kamba kwa wananchi
Tukio hilo ni moja ya sehemu ya kufurahi pamoja na wananchi na wanachama wa chama cha...
Charles Masalakulangwa ambaye ni Kiongozi wa Wazee wa Mkoa wa Mwanza amewataka Wananchi wenye nia ya kuharibu Uchaguzi kuacha kufanya hivyo badala yake wawape fursa wananchi kuiweka madarakani Serikali wanayoitaka.
Aidha, amesema nchi yetu inahitaji amani na mshikamano, hivyo kuwataka wananchi...
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigamboni kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Yericko Nyerere, amefanya kampeni za aina ya kipekee alizozitaja kuwa “Mobile Campaign”, akiwafuata wananchi walipo na kuhutubia mikutano ya hadhara akiwa njiani bila kutumia jukwaa rasmi, huku akipata...
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) hapa mmefumba macho hamjaona kilichotokea ila kazi ni kushinda kutuma tu meseji kwa wananchi kupambana na rushwa, ajabu hadi Polisi wapo hapo wanachekelea kwenye picha wamesahau wajibu wao :FeelsWeirdMan:
--------------
Mgombea Ubunge Jimbo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.