uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. tonicimmobility

    Watu wanapotekwa hamuimarishi ulinzi ila siku ya uchaguzi mnasema mtaimarisha ulinzi!

    Kesi za watu waliotekwa na hao watekaji mnayo lists nzima maana wanafahamika ila hamjawahi kuchukua hatua yoyote, watu wanafanyiwa vitendo vya kinyama na wafanya vitendo hivyo mnawafahamu ila hamjawahi kuchukua hatua yoyote. Mnakazana kuwazima watanzania wasizungumzie ukweli, mnawekeza nguvu...
  2. Waufukweni

    GE2025 Samia: Tulipoingia tukamkuta Mzee Nnauye Kamati Kuu, akasema eeh, Karume kaleta haya mapapai! Kwahiyo, ningezubaa kidogo ndiyo hivyo tena

    Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, Septemba 24, 2025 aliwasimulia wananchi wa Mtama, mkoani Lindi, namna alivyoingia Kamati Kuu ya chama hicho baada ya kukutana na baba yake Nape Nnauye. “Lakini mama huyu ana mwanawe anaitwa Nape Nnauye… ngoja niwapeni...
  3. DuaZaMama

    GE2025 Askari wahimizwa kulinda amani wakati wa uchaguzi mkuu

    Mkuu wa Operesheni Mkoa wa Dodoma, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Daniel Bendarugaho, amewataka askari wa vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hususan wakati wa uchaguzi. Amesisitiza kuwa jukumu lao ni...
  4. DuaZaMama

    GE2025 Viongozi wa dini waeleza kuridhishwa na usalama wa nchi

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT), Sheikh Alhad Mussa Salum, amesema kuwa kwa tathmini waliyoifanya viongozi wa dini katika kipindi hiki cha kampeni kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, amani na usalama vimepewa kipaumbele. Amesema viongozi wa dini...
  5. R

    GE2025 Kada wa CCM, Baraka Shamte: CCM lazima imsaidie na kumtetea Rais Samia kwa huu unafiki, usaliti na propaganza zinazoendelea Mitandaoni

    kada wa chama cha mapinduzi (CCM), Baraka shamte amewataka chama kimsaidie Raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hssan katika kumsafisha kwa propaganda zinazotokea kwenye mitandaoo ya kijamii Chanzo: Mnana TV
  6. R

    GE2025 Mwananchi: Kuna umuhimu gani wa kuniambia nijitokeze kupiga kura wakati mtu hana Mpinzani? nchi nzima Mabango ni ya kijani

    Wakuu, Tusipuuze maoni ya Mdau mwenzetu, hili swali lipo wazi kabisa maana hata hivyo vyama vingine vinavyodai kushiriki uchaguzi sijui Kampeni zao zimeishia wapi? Nchi nzima ni 'Kazi na Utu' na rangi ya kijani 'Mitano tano' AAFP. UMD, NLD na CHAUMMA ni muda sasa hatuwasikii
  7. DuaZaMama

    GE2025 Wazazi na walezi wahimizwa kujitokeza kupiga kura Oktoba 29

    Wazazi na walezi wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Dabil, wilayani Babati, mkoa wa Manyara, wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025, ili kuwachagua viongozi wanaowataka kwa mujibu wa haki yao ya kikatiba. Wito huo umetolewa wakati wa...
  8. PAYE

    GE2025 Aliyekuwa Mbunge Viti Maalum CHADEMA, Felista Njau awakusanya Wabebaji Mizigo kumnadi Samia

    Mbunge wa Viti Maalum Mstaafu, Felista Njau, amewataka wabebaji mizigo wa Mji Mdogo wa Mbulu kuungana kumuunga mkono Mgombea wa nafasi ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu ujao, akisema kuwa mafanikio makubwa yaliyopatikana katika sekta za afya, biashara na utalii ni ushahidi wa...
  9. PAYE

    GE2025 Kitila aendelea kusaka Kura nyumba kwa nyumba bila kujali mvua

    Oktoba 7, 2025, Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo, Profesa Kitila Mkumbo, aliendelea na kampeni zake za nyumba kwa nyumba, mtaa kwa mtaa katika mtaa wa Kimara Baruti, uliopo Kata ya Kimara, Ubungo, Dar es Salaam. Pamoja na hali ya mvua, Kitila aliendelea kuwatembelea waajiri wake (wananchi)...
  10. Cute Wife

    GE2025 CHADEMA: Toka Oktoba 1 hadi 9, 2025 wametekwa watu 13! Ni karibu watu wawili kila siku!

    Salam Wakuu, Hali imezidi kuwa mbaya nchini aisee! Yaani kila siku wanatekwa watu wawili, tumekuwa nchi ya ajabu sana! Na hawa ni wale wanaorekodiwa, halafu kuna wale ambao wanapotea kimyakimya taarifa hazifiki mtandaoni! Tuendelee kuchukua tahadhari na kujilinda huku tukikosoa yanayofanyika...
  11. R

    SI KWELI Sugu: CHADEMA imekimbia kupiga kura, inashambulia Upinzani

    Wakuu, Huu ni ujumbe wa Sugu kweli?
  12. DuaZaMama

    SI KWELI Zitto: CHADEMA hawataki wenyewe kushiriki uchaguzi basi waache chokochoko

    Wakuu Ni kweli kauli hii imetolewa Zitto Kabwe "CHADEMA hawataki wenyewe kushiriki uchaguzi basi waache chokochoko"
  13. PAYE

    GE2025 Chief Kipenye wa Wamwera: Wananchi wa Ruangwa jitokezeni kwa wingi kupiga Kura Oktoba 29, 2025

    Chief Kipenye wa kabila la Wamwera ametoa wito kwa wananchi wa Ruangwa kujitokeza kwa wingi kushiriki kupiga kura Oktoba 29, 2025, akisisitiza kuwa kila kura ni sauti ya maendeleo na umoja wa taifa letu.
  14. Waufukweni

    GE2025 DC Magoti: Kama unataka kuzeeka ukiwa Kiwete andamana, ntawapiga mpaka Sura iwe kama Nyama Choma ya Porini

    Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti, ametoa onyo kali kupitia comment yake Instagram dhidi ya mwananchi aliyeahidi kuandamana wilayani humo. Kupitia comment yake Instagramo kwenye post ya operesheni ya kuteketeza mashamba ya bangi katika maeneo ya mpakani mwa Kisarawe, Mafizi, Dololo na...
  15. PAYE

    GE2025 Nchimbi: Serikali ya CCM itatilia mkazo kilimo cha umwagiliaji kuinua uchumi wa wakulima

    Mgombea mwenza wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),Balozi Dk.Emmanuel Nchimbi amesema katika kipindi cha miaka mitano ijayo serikali za CCM zitatilia mkazo wa kuinua kilimo cha umwagiliaji. Amesema ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2025/30...
  16. PAYE

    GE2025 Nchimbi: CCM kitaendelea kusimamia usalama wa kila mwananchi

    Yaani ukisikia wanavyohubiri hiyo amani hawa CCM, unabaki unashangaa tu! Kila siku wimbo ni uleule, ila kukemea utekaji uliokithiri aaah! Hivi usalama gani mnaoongelea?
  17. PAYE

    GE2025 Mussa Zungu: Maandamano yaliyopangwa kufanyika Oktoba 29, hayatofanyika hawana ubavu huo

    Mgombea Ubunge jimbo la Ilala Mussa Azzan Zungu amewahimiza wafanyabiashara kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29 akihimiza kuwa maandamano yaliyopangwa kufanyika siku hiyo hayatofanyika kwani hawana ubavu huo.
  18. Luca Paguro

    GE2025 Msanii wa Vichekesho, Ramso atekwa na 'watu wasiojulikana'. Aliposti video akimtaka Samia ajiuzulu

    Kuna kijana anaitwa Ramso, alipost hii video Tiktok, alikuwa anaomba Samia ajiuzulu atuachie nchi Huyu ni kijana mdogo tu alikuwa anatoa maoni yake ya kisiasa kuhusu utendaji kazi mbovu wa Rais Samia Lakini leo tarehe 8 October kuna video hii inasambaa kuwa kijana anatafutwa, haonekani alipo...
  19. Mafyangula

    GE2025 Aisha Madoga: Nikiwa mbunge wa Dodoma Mjini nitalitatua tatizo la ajira kwa vijana

    Mgombea ubunge wa Jimbo la Dodoma Mjini kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA), Bi. Aisha Madoga, amesema kuwa endapo atapewa ridhaa na wananchi, atahakikisha anashughulikia tatizo la ajira kwa vijana kwa kuongeza tija na thamani ya mazao, ikiwemo zao la zabibu. Akizungumza katika mikutano...
  20. Mafyangula

    GE2025 Kibonde: Nikiingia ikulu nitanunua Bombadia 70 ili kila Mtanzania apande ajisikie raha

    Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Makini, Coaster Kibonde, amefika mkoani Tabora kunadi sera za chama hicho, akisema kuwa endapo watapewa ridhaa ya kuongoza nchi, wataimarisha sekta mbalimbali ikiwemo afya na miundombinu ya usafiri wa anga ili...
Back
Top Bottom