Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 2,975
- 8,159
Wakuu,
Ikiwa zimebaki siku 15 Watanzania tuamue jinsi tutakavyosonga mbele, bado hakuna anayeweza kusema kwa 95% kuwa jambo fulani ndio litajiri. Wanaoingia kwenye uchaguzi hawana uhakika, kwa upande mwingine mwanga unaonekana ila bado pia kusema kwa for sure jambo litakuwa hivi.
ile tar 29 tukipata neno toka kwa tesha, 70% zitakuwa 200%😂😂😂 mambo yatataradadi, afu Gwajima akija kumalizia msumari aaaaaah, mbona vikwazo vyote vitakuwa vimeisha, tena tutaanza usiku huo huo kupiga nduru za mafanikio😂😂 tunahitaji cheche moja tu, mooojaaaaaa tu biashara imeisha.
Bila unafiki unadhani nini kitatokea siku ya uchaguzi? Utafanyika au reforms zitashinda? Lete mkeka huoooo
Ikiwa zimebaki siku 15 Watanzania tuamue jinsi tutakavyosonga mbele, bado hakuna anayeweza kusema kwa 95% kuwa jambo fulani ndio litajiri. Wanaoingia kwenye uchaguzi hawana uhakika, kwa upande mwingine mwanga unaonekana ila bado pia kusema kwa for sure jambo litakuwa hivi.
ile tar 29 tukipata neno toka kwa tesha, 70% zitakuwa 200%😂😂😂 mambo yatataradadi, afu Gwajima akija kumalizia msumari aaaaaah, mbona vikwazo vyote vitakuwa vimeisha, tena tutaanza usiku huo huo kupiga nduru za mafanikio😂😂 tunahitaji cheche moja tu, mooojaaaaaa tu biashara imeisha.
Bila unafiki unadhani nini kitatokea siku ya uchaguzi? Utafanyika au reforms zitashinda? Lete mkeka huoooo
