Wakuu,
Kwani jamaa kasema uongo hapa Wakuu? Jezi za Simba zilizoandikwa MO 29 maana yake ni
M - Maandamano
O - October
29 - Hii haitaji hata tafsiri inajieleza, siku ya tar 29 ndio yenyewe!
Simba wameupiga mwingi kuhakikisha Watanzania hata wa Nanjilinji wanapata taarifa kuhusu maandano...
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye, amewataka vijana nchini kutanguliza hekima na kujitambua wakati wa uchaguzi, akisisitiza kuwa kuna maisha marefu baada ya kura kupigwa. Amesema si sahihi mtu kujitumbukiza kwenye vurugu au migogoro ya kisiasa kwa sababu ya siku moja ya uchaguzi na...
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imekanusha taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kuchapishwa kwa fedha na kuzisambaza kwa ajili ya uchaguzi, huku baadhi ya watu wakihamasisha wananchi kuondoa fedha zao kutoka mabenki kwa madai ya uhaba wa fedha.
BoT imesisitiza kuwa taarifa hizo...
Mapema leo nchini Marekani kunatarajiwa kuwa na maandamano ya amani ambayo yatafanywa na watanzania waishio Marekani wakihitaji mambo kadhaa ambayo pia yanaendana na mahitaji ya ya maandamano ya Oktoba 29, 2025.
Kesho tutafanya maandamano ya amani mjini Washington DC kwa ajili ya:
Demokrasia...
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira amesema "Kupotezwa Watu ni uhalifu na CCM hakina Sera ya kupoteza Watu. Lakini uhalifu ni uhalifu, na uhalifu unabadili sura, na wakati mwingine uhalifu unaweza kufanyika kwa ajili ya kuchonganisha jamii"
"Uhalifu siyo ishu ya...
Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Jabiri Makame, amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29, akisisitiza kuwa maamuzi yao ndiyo yatakayoweka msingi wa ndoto na hatma ya watoto wao walioko shuleni.
Makame alitoa wito huo mjini Tunduma wakati wa ziara maalum ya “Operation October 29”...
Chama cha NLD kimeahidi kupunguza posho za wabunge na badala yake fedha hizo zitaelekezwa katika kuongeza huduma za afya pamoja na kupandisha mishahara ya kada ya ualimu na askari.
Ahadi hiyo imetolewa na mgombea Urais wa chama hicho Doyo Hassan Doyo wakati akizungumza na wakazi wa Kibamba, Dar...
Mgombea Udiwani wa Kata ya Kariakoo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Haji Sunday Manara, amesema kuwa Serikali ya CCM imeendelea kuthibitisha kujali elimu kwa vitendo, kwa kuwekeza kwenye misingi imara iliyopelekea kuzalisha wasomi wengi nchini.
Manara alitoa kauli hiyo leo aliposhiriki...
Mwenyekiti wa Bodi ya Kampeni ya Kitaifa ya Mama Asemewe Alawi Abdallah amewahakikishia Watanzania kuwa nchi yao ni tulivu na yenye usalama mkubwa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi Mkuu wa Tanzania unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025
Alawi amebainisha hayo Mkoani Kagera wakati...
Mgombea Udiwani wa Kata ya Jangwani, Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Nassibu Hassan Kitabu, ametoa wito kwa wananchi wa kata hiyo kutoogopa vitisho vinavyoenezwa na baadhi ya watu wanaopanga kuzuia Uchaguzi Mkuu kupitia maandamano.
Akizungumza...
Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema chama hicho kitaendelea kusimamia na kulinda misingi ya amani, umoja na mshikamano ambayo imeiwezesha Zanzibar kufikia mafanikio makubwa ya maendeleo katika miaka mitano iliyopita.
Akizungumza...
Haina utofauti na UKAWA ambayo bado ilishindwa na hicho kichama cha Mafisadi CCM, hivyo siyo tu kuungana bali mikakati makini inahitajika kumnyanganya mtu tonge wakati na yeye ana njaa ni kipengele
Huyu Devotha mwenyewe kakimbia Chadema kwenda Chaumma alafu tena anataka waungane kwa nini...
Kamati ya Uongozi ya chama cha ACT Wazalendo imesema itakata rufaa kupiga uamuzi wa Mahakama kuu Masijala ya Dodoma, kuitupilia mbali kesi ya mgombea Urais wa Chama hicho, Luhaga Mpina aliyepinga kuondolewa kwenye kinyang’anyiro hicho
Mahakama hiyo ilisema haina mamlaka ya kuingilia maamuzi ya...
Msanii wa muziki wa Hip Hop Selemani Msindi maarufu Afande Sele amesema kundi la watu wanaotaka kuandamana siku ya Oktoba 29 wana hoja zenye nguvu,mashiko na hoja za msingi na huwezi kuzipuuza lakini zimekuja katika wakati ambao sio sahihi, amesema hata CCM katika ilani yao wana kipengele cha...
“Wananchi, msikubali kudanganywa na kuvuruga amani ya nchi yetu katika kipindi hiki cha uchaguzi mkuu.”
— Insp. Canatus, Polisi wa Kata ya Dutwa, Bariadi, akizungumza na wananchi
Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema chama hicho kitaendelea kusimamia na kulinda misingi ya amani, umoja na mshikamano ambayo imeiwezesha Zanzibar kufikia mafanikio makubwa ya maendeleo katika miaka mitano iliyopita.
Akizungumza leo...
Anawajaza upepo? au atafanya kweli? Ila kwa upande mwingine sina mashaka naye sana katika utendaji wake na kujitoa kwa namna fulani kwa wananchi
Tusubiri muda ufike tuone!
================
Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha mjini kupitia chama cha Mapinduzi (CCM) Paul Makonda amesema kuwa...
Mambo mengine ni kama Mungu kaamua kuwaumbua watesi wa Lissu hadharani.
Leo katika hali ya kushangaza shahidi wa upande wa serikali baada ya kuulizwa je bwana Luhaga Mpina angeweza kupata Haki yake kikatiba ya kugombea urais hasa ukizingatia watoa maamuzi ni majaji walioteuliwa na Rais ? Bwana...
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kusimamia kukamilika kwa ujenzi wa tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) mkoani Kagera, ambalo limefikia asilimia 70 ya utekelezaji. Amesema, iwapo ataendelea kuaminiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.