uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    GE2025 Simba SC wamesaidia kusambaza taarifa ya Maandamano na MO 29 ikimaanisha Maandamano Oktoba 29. Hutaki kula jiwe!

    Wakuu, Kwani jamaa kasema uongo hapa Wakuu? Jezi za Simba zilizoandikwa MO 29 maana yake ni M - Maandamano O - October 29 - Hii haitaji hata tafsiri inajieleza, siku ya tar 29 ndio yenyewe! Simba wameupiga mwingi kuhakikisha Watanzania hata wa Nanjilinji wanapata taarifa kuhusu maandano...
  2. DuaZaMama

    GE2025 Nape aonya vijana kuhusu ushabiki wa uchaguzi, kuna maisha baada ya uchaguzi

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye, amewataka vijana nchini kutanguliza hekima na kujitambua wakati wa uchaguzi, akisisitiza kuwa kuna maisha marefu baada ya kura kupigwa. Amesema si sahihi mtu kujitumbukiza kwenye vurugu au migogoro ya kisiasa kwa sababu ya siku moja ya uchaguzi na...
  3. Waufukweni

    GE2025 Benki Kuu imekanusha taarifa za kuchapisha pesa “Makontena kwa Makontena” kwa ajili ya uchaguzi

    Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imekanusha taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kuchapishwa kwa fedha na kuzisambaza kwa ajili ya uchaguzi, huku baadhi ya watu wakihamasisha wananchi kuondoa fedha zao kutoka mabenki kwa madai ya uhaba wa fedha. BoT imesisitiza kuwa taarifa hizo...
  4. Its Tesha

    GE2025 Maandamano ya Amani ya Watanzania Wanaoishi Marekani kufanyika Leo Oktoba 17, 2025

    Mapema leo nchini Marekani kunatarajiwa kuwa na maandamano ya amani ambayo yatafanywa na watanzania waishio Marekani wakihitaji mambo kadhaa ambayo pia yanaendana na mahitaji ya ya maandamano ya Oktoba 29, 2025. Kesho tutafanya maandamano ya amani mjini Washington DC kwa ajili ya: Demokrasia...
  5. Waufukweni

    GE2025 Wasira: Kuna maswali kuhusu Polepole, alisema ametelekezwa Cuba halafu ghafla ikawa ametekwa Tanzania!

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira amesema "Kupotezwa Watu ni uhalifu na CCM hakina Sera ya kupoteza Watu. Lakini uhalifu ni uhalifu, na uhalifu unabadili sura, na wakati mwingine uhalifu unaweza kufanyika kwa ajili ya kuchonganisha jamii" "Uhalifu siyo ishu ya...
  6. PAYE

    GE2025 RC Jabiri Makame aingia mtaani kuhamasisha wananchi kujitokeza kupiga kura Oktoba 29, 2025

    Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Jabiri Makame, amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29, akisisitiza kuwa maamuzi yao ndiyo yatakayoweka msingi wa ndoto na hatma ya watoto wao walioko shuleni. Makame alitoa wito huo mjini Tunduma wakati wa ziara maalum ya “Operation October 29”...
  7. PAYE

    GE2025 Doyo wa NLD: Mkinichagua, nitapunguza posho za wabunge hadi Tsh 70,000 na mshahara, fedha kuelekeza kwenye afya, ualimu na askari

    Chama cha NLD kimeahidi kupunguza posho za wabunge na badala yake fedha hizo zitaelekezwa katika kuongeza huduma za afya pamoja na kupandisha mishahara ya kada ya ualimu na askari. Ahadi hiyo imetolewa na mgombea Urais wa chama hicho Doyo Hassan Doyo wakati akizungumza na wakazi wa Kibamba, Dar...
  8. DuaZaMama

    GE2025 Manara: Serikali ya CCM inajali elimu, awapatia wanafunzi elfu kumi

    Mgombea Udiwani wa Kata ya Kariakoo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Haji Sunday Manara, amesema kuwa Serikali ya CCM imeendelea kuthibitisha kujali elimu kwa vitendo, kwa kuwekeza kwenye misingi imara iliyopelekea kuzalisha wasomi wengi nchini. Manara alitoa kauli hiyo leo aliposhiriki...
  9. R

    GE2025 Mwenyekiti kampeni ya Mama asemewe: Tunawafahamu wanaofadhili Vijana kuhamasisha chuki kwenye Mitandao ya Kijamii

    Mwenyekiti wa Bodi ya Kampeni ya Kitaifa ya Mama Asemewe Alawi Abdallah amewahakikishia Watanzania kuwa nchi yao ni tulivu na yenye usalama mkubwa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi Mkuu wa Tanzania unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 Alawi amebainisha hayo Mkoani Kagera wakati...
  10. PAYE

    GE2025 Nassibu Kitabu: Samia ni lulu, msitishike na kitu chochote dola ipo, mkapige Kura

    Mgombea Udiwani wa Kata ya Jangwani, Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Nassibu Hassan Kitabu, ametoa wito kwa wananchi wa kata hiyo kutoogopa vitisho vinavyoenezwa na baadhi ya watu wanaopanga kuzuia Uchaguzi Mkuu kupitia maandamano. Akizungumza...
  11. PAYE

    GE2025 Dkt. Mwinyi: CCM itaendelea kulinda Amani na Umoja wa Zanzibar

    Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema chama hicho kitaendelea kusimamia na kulinda misingi ya amani, umoja na mshikamano ambayo imeiwezesha Zanzibar kufikia mafanikio makubwa ya maendeleo katika miaka mitano iliyopita. Akizungumza...
  12. R

    GE2025 Devotha Minja: CHADEMA, CUF na ACT tuungane adui yetu ni CCM

    Haina utofauti na UKAWA ambayo bado ilishindwa na hicho kichama cha Mafisadi CCM, hivyo siyo tu kuungana bali mikakati makini inahitajika kumnyanganya mtu tonge wakati na yeye ana njaa ni kipengele Huyu Devotha mwenyewe kakimbia Chadema kwenda Chaumma alafu tena anataka waungane kwa nini...
  13. PAYE

    GE2025 Dkt. Mwinyi: Sera ya CCM ni kuinua vijana kupitia sekta ya utalii Zanzibar

  14. R

    GE2025 Zitto: Tutakata rufaa kupigania haki yetu ya kuwa na Mgombea Urais

    Kamati ya Uongozi ya chama cha ACT Wazalendo imesema itakata rufaa kupiga uamuzi wa Mahakama kuu Masijala ya Dodoma, kuitupilia mbali kesi ya mgombea Urais wa Chama hicho, Luhaga Mpina aliyepinga kuondolewa kwenye kinyang’anyiro hicho Mahakama hiyo ilisema haina mamlaka ya kuingilia maamuzi ya...
  15. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Afande Sele: Wanaotaka kuandamana wana hoja zenye nguvu sana lakini Kwanini uandamane siku ya kupiga kura?

    Msanii wa muziki wa Hip Hop Selemani Msindi maarufu Afande Sele amesema kundi la watu wanaotaka kuandamana siku ya Oktoba 29 wana hoja zenye nguvu,mashiko na hoja za msingi na huwezi kuzipuuza lakini zimekuja katika wakati ambao sio sahihi, amesema hata CCM katika ilani yao wana kipengele cha...
  16. Mafyangula

    GE2025 Insp. Canatus: Wananchi, msikubali kudanganywa na kuvuruga amani ya nchi yetu

    “Wananchi, msikubali kudanganywa na kuvuruga amani ya nchi yetu katika kipindi hiki cha uchaguzi mkuu.” — Insp. Canatus, Polisi wa Kata ya Dutwa, Bariadi, akizungumza na wananchi
  17. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Dkt Mwinyi: Nchi yetu ina amani, ina umoja, mshikamano, na hata tuna maridhiano ya kisiasa

    Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema chama hicho kitaendelea kusimamia na kulinda misingi ya amani, umoja na mshikamano ambayo imeiwezesha Zanzibar kufikia mafanikio makubwa ya maendeleo katika miaka mitano iliyopita. Akizungumza leo...
  18. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Makonda: Mgambo wa jiji mjipange, sitokubali kuona wakinamama na vijana wananyanyaswa kwenye biashara zao

    Anawajaza upepo? au atafanya kweli? Ila kwa upande mwingine sina mashaka naye sana katika utendaji wake na kujitoa kwa namna fulani kwa wananchi Tusubiri muda ufike tuone! ================ Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha mjini kupitia chama cha Mapinduzi (CCM) Paul Makonda amesema kuwa...
  19. Sir John Deere

    GE2025 Shahidi wa Jamhuri asema Isingewezekana Mpina kupata Haki kwakua majaji ni wateule wa Rais

    Mambo mengine ni kama Mungu kaamua kuwaumbua watesi wa Lissu hadharani. Leo katika hali ya kushangaza shahidi wa upande wa serikali baada ya kuulizwa je bwana Luhaga Mpina angeweza kupata Haki yake kikatiba ya kugombea urais hasa ukizingatia watoa maamuzi ni majaji walioteuliwa na Rais ? Bwana...
  20. Mafyangula

    GE2025 Rais Samia aahidi Kukamilisha Ujenzi wa Tawi la UDSM Kagera

    Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kusimamia kukamilika kwa ujenzi wa tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) mkoani Kagera, ambalo limefikia asilimia 70 ya utekelezaji. Amesema, iwapo ataendelea kuaminiwa...
Back
Top Bottom