uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Dkt. Saada Mkuya: Ukienda kufanya vurugu siku ya Uchaguzi, bima haitakulinda

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Fedha na Mipango Zanzibar, Dkt. Saada Mkuya Salum, amewataka Watanzania kushiriki uchaguzi mkuu kwa amani na utulivu, akisisitiza kwamba bima haziwezi kumlinda mtu anayejiletea madhara kwa makusudi kutokana na kushiriki vurugu wakati wa uchaguzi. Akizungumza jijini...
  2. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kigaila: Ukata wa fedha ni tatizo kubwa sana kwa vyama vya upinzani

    Tatizo la kifedha sio la CHAUMMA pekee yake, tatizo la fedha ni la vyama vyote vya upinzani, kwasababu havina msingi imara wa mapato. Kwahiyo kampeni za vyama vya upinzani zinategemea kwa sehemu kubwa mapato ya mgombea binafsi mfano chama kama CHAUMMA akina ruzuku kinapata , kwahiyo ni nguvu ya...
  3. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kigaila: Naona uchaguzi 2025 ni huru kuliko chaguzi za mwaka 2020

    Kuna tofauti, uchaguzi wa 2020 ulianza changamoto kuanzia kwenye uteuzi watu walienguliwa sana bila sababu watu wengi walikataliwa kupewa hata fomu za serikali, watu wengi pia walikataliwa kurudisha fomu za serikali na waliporudisha walienguliwa bila sababu kitu hicho mwaka huu 2025 akikuwepo...
  4. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wakili Maduhu William: Mgombea Mwenza Urais wa Mpina hawezi Kugombea

    Kulingana na mijadala iliyojitokeza kuhusiana na Kesi ya Mgombea Urais Chama cha ACT Wazalendo Luhaga Mpina, Kuzuiliwa KUgombea Urais na Tume huru ya Uchaguzi ikidaiwa hana sifa za kuwa mgombea, Chombo cha habari EATV imemuhoji Wakili Maduhu William, wakili wa kujitegemea ambaye alieleza kwamba...
  5. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 RC Simon Sirro: Tumejipanga vizuri Oktoba 29 wananchi watapiga kura kwa usalama

    Mkuu wa Mkoa wa Kigoma IGP (Mst) Balozi Simon Sirro ameongoza mazoezi ya pamoja yaliyohusisha vyombo vya Ulinzi na Usalama mkoani humo na kusisitiza kuwa lengo ni kuonesha kuwa vyombo hivyo vipo imara kutekeleza majukumu yao na wananchi waendelee kutekeleza shughuli zao za Maendeleo kwa Amani na...
  6. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Jeshi la polisi Njombe lafanya mazoezi ya pamoja na vyombo vingine vya ulinzi

    Operesheni ofisa mkoa wa Njombe Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Abubakary Kunga Oktoba 17, 2025 ameongoza jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe kufanya mazoezi ya pamoja kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama kwa kufanya matembezi ya pamoja kwa kutembea maeneo mbalimbali mkoani Njombe...
  7. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hata Wazungu kutoka Denmark wanafurahia kampeni za Samia

    Huko Karagwe, mkoani Kagera, shamrashamra za kampeni za mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, zimevutia siyo tu wakazi wa eneo hilo bali pia wageni kutoka Denmark waliokuwa wakifanya kazi zao maalumu katika eneo hilo. Ripota wetu ameshuhudia wageni hao wakivutiwa na...
  8. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Alawi: Waliosafiri nje ya nchi rudini mpige kura, tutawapokea na kuwapa zawadi kwa kushinda vita ya kutoshiriki uchaguzi

    Watanzania wanaoishi nje ya Tanzania na waliosafiri kwa ajili ya biashara na masuala mengine Kimataifa na wenye haki ya kupiga kura hapo Oktoba 29, 2025, wamehimizwa kurejea nchini na kushiriki kikamiifu zoezi la Upigaji wa kura ili kushiriki katika kufanya maamuzi kwa nchi yao kwa kuchagua...
  9. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Maombi na dua maalum yafanyika kuliombea taifa kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025

    Maombi na dua maalum imefanyika ili kuliombea Taifa katik kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 Mgombea Udiwani wa kata ya Segerea Robert Manangwa ameongoza Dua/Maombi ya kuliombea Taifa amani Dua hiyo imefanyika kwa kushirikiana na kamati ya...
  10. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 SACP Mchomvu: Wengine wanapotosha ili watu walipie 'Subscription', watanzania wengi ni wavivu

    Wakati Watanzania wengi wakingoja kutumia haki yao ya kikatiba kwa ajili ya kupiga kura tarehe 29 Oktoba, imeelezwa kuwa wapo wanaopotosha ili wanaowafuatilia walipie maudhui yao (subscription). Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi, SACP Richard Thadei Mchomvu amesema wanaofanya hivyo...
  11. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Vyombo vya Habari Tanzania Vimepoteza Dira, Watawala Wanalindwa, Wananchi Wananyamazishwa

    Ukitazama uchaguzi wa mwaka huu, utagundua kuwa vyombo vyetu vya habari vimekuwa vikiweka msisitizo mkubwa kwenye masuala ya amani na haki. Hili si jambo baya, lakini ni muhimu watambue kwamba, wakati wakihubiri amani, kuna kundi la watu ambalo limekuwa likipaza sauti kuhusu utekaji, upoteaji wa...
  12. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania Inauma sana vijana wadogo wanauawa kikatili na Polisi akili zao zipo kulinda wanasiasa na si raia

    Tuna Vyombo vya Ulinzi na Usalama ambavyo suala la Usalama wa Raia kwao siku hizi halionekani kuwa ndo msingi mkuu Jeshi la wananchi mpaka mmeitwa jeshi la wananchi maana yake mkisema muwatoe wananchi ninyi sio jeshi tena, hamjaitwa jeshi la wanasiasa, hamjaitwa jeshi la serikali, hamjaitwa...
  13. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania GE2025 Jinsi comedy inavyotumika kufikisha ujumbe wakati huu wa Uchaguzi. Ukishindwa kote hapa huwezi kukwama kuelewa

    Wakuu, Hapa hata kama unakuwa huelewi matamko makubwa makubwa, sijui maandiko marefu, hapa unaelewa! Ujumbe unafikishwa kama utani lakini ndio umefika hivyo, na unakaa akilini vizuri. Kama wanavyotumia sanaa kuhamasisha watu kuachana na maandamano, amani bila haki, na propaganda za kipuuzi...
  14. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania GE2025 Simba SC wamesaidia kusambaza taarifa ya Maandamano na MO 29 ikimaanisha Maandamano Oktoba 29. Hutaki kula jiwe!

    Wakuu, Kwani jamaa kasema uongo hapa Wakuu? Jezi za Simba zilizoandikwa MO 29 maana yake ni M - Maandamano O - October 29 - Hii haitaji hata tafsiri inajieleza, siku ya tar 29 ndio yenyewe! Simba wameupiga mwingi kuhakikisha Watanzania hata wa Nanjilinji wanapata taarifa kuhusu maandano...
  15. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nape aonya vijana kuhusu ushabiki wa uchaguzi, kuna maisha baada ya uchaguzi

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye, amewataka vijana nchini kutanguliza hekima na kujitambua wakati wa uchaguzi, akisisitiza kuwa kuna maisha marefu baada ya kura kupigwa. Amesema si sahihi mtu kujitumbukiza kwenye vurugu au migogoro ya kisiasa kwa sababu ya siku moja ya uchaguzi na...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Benki Kuu imekanusha taarifa za kuchapisha pesa “Makontena kwa Makontena” kwa ajili ya uchaguzi

    Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imekanusha taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kuchapishwa kwa fedha na kuzisambaza kwa ajili ya uchaguzi, huku baadhi ya watu wakihamasisha wananchi kuondoa fedha zao kutoka mabenki kwa madai ya uhaba wa fedha. BoT imesisitiza kuwa taarifa hizo...
  17. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania GE2025 Maandamano ya Amani ya Watanzania Wanaoishi Marekani kufanyika Leo Oktoba 17, 2025

    Mapema leo nchini Marekani kunatarajiwa kuwa na maandamano ya amani ambayo yatafanywa na watanzania waishio Marekani wakihitaji mambo kadhaa ambayo pia yanaendana na mahitaji ya ya maandamano ya Oktoba 29, 2025. Kesho tutafanya maandamano ya amani mjini Washington DC kwa ajili ya: Demokrasia...
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wasira: Kuna maswali kuhusu Polepole, alisema ametelekezwa Cuba halafu ghafla ikawa ametekwa Tanzania!

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira amesema "Kupotezwa Watu ni uhalifu na CCM hakina Sera ya kupoteza Watu. Lakini uhalifu ni uhalifu, na uhalifu unabadili sura, na wakati mwingine uhalifu unaweza kufanyika kwa ajili ya kuchonganisha jamii" "Uhalifu siyo ishu ya...
  19. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 RC Jabiri Makame aingia mtaani kuhamasisha wananchi kujitokeza kupiga kura Oktoba 29, 2025

    Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Jabiri Makame, amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29, akisisitiza kuwa maamuzi yao ndiyo yatakayoweka msingi wa ndoto na hatma ya watoto wao walioko shuleni. Makame alitoa wito huo mjini Tunduma wakati wa ziara maalum ya “Operation October 29”...
  20. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Doyo wa NLD: Mkinichagua, nitapunguza posho za wabunge hadi Tsh 70,000 na mshahara, fedha kuelekeza kwenye afya, ualimu na askari

    Chama cha NLD kimeahidi kupunguza posho za wabunge na badala yake fedha hizo zitaelekezwa katika kuongeza huduma za afya pamoja na kupandisha mishahara ya kada ya ualimu na askari. Ahadi hiyo imetolewa na mgombea Urais wa chama hicho Doyo Hassan Doyo wakati akizungumza na wakazi wa Kibamba, Dar...
Back
Top Bottom