Vyombo vya Usalama mkoa wa Tabora vimemkamata na kumshikilia mwanaume mmoja kwa makosa ya kuhamasisha watu wasishiriki uchaguzi mkuu wa Oktoba 29 mwaka huu, akidaiwa kuandika maneno yenye nia hiyo kwenye nyumba za watu, ambapo Mkuu wa Mkoa huo Paulo Chacha ametoa tamko rasmi la kuanza oparesheni...
Mgombea ubunge wa Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema wananchi wana wajibu na haki ya kushiriki uchaguzi utakaofanyika Oktoba 29, 2025 akibainisha kuwa sauti yao inasikika zaidi kupitia kura wanazopiga kuwachagua viongozi wanaowataka.
Akizungumza na wazee katika...
Mgombea urais wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Majalio Kyara ameilalamikia Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) akidai kuwepo kwa changamoto katika uratibu wa ratiba za kampeni, jambo linalosababisha mkanganyiko na migongano katika maeneo ya mikutano...
Ndugu zangu Watanzania,
Hiyo ni Kauli ya Mamlaka iliyotolewa Na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Dar es salaam Mheshimiwa Albert Chalamila kuwaasa wale wote watakao kufanya kujitoa akili au kujizima Data na kutaka kuleta vurugu siku ya uchaguzi.
Amesema ya kuwa...
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kupitia kwa Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Kigoma Mjini, David Rwazo, imetoa onyo kali kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Kigoma baada ya Kamati ya Maadili ya Uchaguzi ya Jimbo hilo kubaini vitendo kadhaa vinavyokiuka maadili ya uchaguzi vinavyofanywa...
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi, ametoa onyo kali kwa watu wote watakaothubutu kuvuruga amani kwa kile alichokiita homa ya uchaguzi akisema Serikali haitamvumilia yeyote atakayehatarisha utulivu katika kipindi hiki kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025
Akizungumza Oktoba 16, 2025...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Fedha na Mipango Zanzibar, Dkt. Saada Mkuya Salum, amewataka Watanzania kushiriki uchaguzi mkuu kwa amani na utulivu, akisisitiza kwamba bima haziwezi kumlinda mtu anayejiletea madhara kwa makusudi kutokana na kushiriki vurugu wakati wa uchaguzi. Akizungumza jijini...
Tatizo la kifedha sio la CHAUMMA pekee yake, tatizo la fedha ni la vyama vyote vya upinzani, kwasababu havina msingi imara wa mapato. Kwahiyo kampeni za vyama vya upinzani zinategemea kwa sehemu kubwa mapato ya mgombea binafsi mfano chama kama CHAUMMA akina ruzuku kinapata , kwahiyo ni nguvu ya...
Kuna tofauti, uchaguzi wa 2020 ulianza changamoto kuanzia kwenye uteuzi watu walienguliwa sana bila sababu watu wengi walikataliwa kupewa hata fomu za serikali, watu wengi pia walikataliwa kurudisha fomu za serikali na waliporudisha walienguliwa bila sababu kitu hicho mwaka huu 2025 akikuwepo...
Kulingana na mijadala iliyojitokeza kuhusiana na Kesi ya Mgombea Urais Chama cha ACT Wazalendo Luhaga Mpina, Kuzuiliwa KUgombea Urais na Tume huru ya Uchaguzi ikidaiwa hana sifa za kuwa mgombea, Chombo cha habari EATV imemuhoji Wakili Maduhu William, wakili wa kujitegemea ambaye alieleza kwamba...
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma IGP (Mst) Balozi Simon Sirro ameongoza mazoezi ya pamoja yaliyohusisha vyombo vya Ulinzi na Usalama mkoani humo na kusisitiza kuwa lengo ni kuonesha kuwa vyombo hivyo vipo imara kutekeleza majukumu yao na wananchi waendelee kutekeleza shughuli zao za Maendeleo kwa Amani na...
Operesheni ofisa mkoa wa Njombe Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Abubakary Kunga Oktoba 17, 2025 ameongoza jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe kufanya mazoezi ya pamoja kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama kwa kufanya matembezi ya pamoja kwa kutembea maeneo mbalimbali mkoani Njombe...
Huko Karagwe, mkoani Kagera, shamrashamra za kampeni za mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, zimevutia siyo tu wakazi wa eneo hilo bali pia wageni kutoka Denmark waliokuwa wakifanya kazi zao maalumu katika eneo hilo.
Ripota wetu ameshuhudia wageni hao wakivutiwa na...
Watanzania wanaoishi nje ya Tanzania na waliosafiri kwa ajili ya biashara na masuala mengine Kimataifa na wenye haki ya kupiga kura hapo Oktoba 29, 2025, wamehimizwa kurejea nchini na kushiriki kikamiifu zoezi la Upigaji wa kura ili kushiriki katika kufanya maamuzi kwa nchi yao kwa kuchagua...
Maombi na dua maalum imefanyika ili kuliombea Taifa katik kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025
Mgombea Udiwani wa kata ya Segerea Robert Manangwa ameongoza Dua/Maombi ya kuliombea Taifa amani
Dua hiyo imefanyika kwa kushirikiana na kamati ya...
Wakati Watanzania wengi wakingoja kutumia haki yao ya kikatiba kwa ajili ya kupiga kura tarehe 29 Oktoba, imeelezwa kuwa wapo wanaopotosha ili wanaowafuatilia walipie maudhui yao (subscription).
Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi, SACP Richard Thadei Mchomvu amesema wanaofanya hivyo...
Ukitazama uchaguzi wa mwaka huu, utagundua kuwa vyombo vyetu vya habari vimekuwa vikiweka msisitizo mkubwa kwenye masuala ya amani na haki. Hili si jambo baya, lakini ni muhimu watambue kwamba, wakati wakihubiri amani, kuna kundi la watu ambalo limekuwa likipaza sauti kuhusu utekaji, upoteaji wa...
Tuna Vyombo vya Ulinzi na Usalama ambavyo suala la Usalama wa Raia kwao siku hizi halionekani kuwa ndo msingi mkuu
Jeshi la wananchi mpaka mmeitwa jeshi la wananchi maana yake mkisema muwatoe wananchi ninyi sio jeshi tena, hamjaitwa jeshi la wanasiasa, hamjaitwa jeshi la serikali, hamjaitwa...
Wakuu,
Hapa hata kama unakuwa huelewi matamko makubwa makubwa, sijui maandiko marefu, hapa unaelewa! Ujumbe unafikishwa kama utani lakini ndio umefika hivyo, na unakaa akilini vizuri.
Kama wanavyotumia sanaa kuhamasisha watu kuachana na maandamano, amani bila haki, na propaganda za kipuuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.