uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PAYE

    GE2025 Wasira: Propaganda mitandaoni hazina ukweli, nchi ipo salama, mkapige Kura

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema nchi ipo salama, wananchi wakumbushwe na kuhamasishawa kuwapigia kura wagombea wenye sifa ambapo kwa upande wa urais ni Dk. Samia Suluhu Hassan anayetokana na CCM. Amesema zipo propaganda chafu katika mitandao...
  2. PAYE

    GE2025 Mgombea urais NRA, Almas Kisabya, aahidi kufuta bili za maji kwa wananchi

    Mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha NRA, Almas Kisabya, ameahidi kutunga sheria kali za kupambana na mmomonyoko wa maadili nchini, sambamba na kufuta bili za maji kwa wananchi, ambapo gharama zote zitabebwa na serikali.
  3. PAYE

    GE2025 Mgombea urais wa AAFP, Kunje Ngombale Mwiru aahidi kujenga kiwanda cha saruji Mwanza

    Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Wakulima (AAFP), Kunje Ngombale Mwiru, amesema endapo atapewa ridhaa ya kuongoza serikali, atahakikisha anajenga kiwanda cha saruji mkoani Mwanza ili kupunguza gharama za ujenzi. Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni wilayani Misungwi, Kunje alibainisha...
  4. PAYE

    GE2025 Angellah Kairuki aahidi kutatua kero ya maji Jimbo la Kibamba

    Mgombea wa ubunge wa Jimbo la Kibamba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Anjelah Kairuki, ameahidi kutatua kero ya maji inayowakabili wananchi katika maeneo mbalimbali ya jimbo hilo, ikiwemo Mpiji Magohe, Msigani na Mbezi Msumi. Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika kata ya Mbezi...
  5. PAYE

    GE2025 CWT yawataka Walimu kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025

    Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kimetoa wito kwa walimu kote nchini kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, sambamba na kutumia nafasi yao muhimu katika jamii kuelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kushiriki zoezi hilo la kidemokrasia. Wito huo umetolewa na Rais wa...
  6. PAYE

    GE2025 Mgombea Urais wa Makini, Kibonde: Niko tayari kuvaa Viatu vya Hayati Magufuli

    Mgombea urais kupitia Chama cha Makini, Coster Jimmy Kibonde, amesema yuko tayari kuvaa viatu vya hayati Dkt. John Pombe Magufuli katika kuwatumikia Watanzania kwa uzalendo, uaminifu na uwajibikaji mkubwa endapo atapewa dhamana ya kuongoza taifa. Soma: Mgombea Urais, Coaster Kibonde: Nikishinda...
  7. M

    GE2025 Kesi ya Lissu kuendelea leo Oktoba 20; Jamhuri kuleta utetezi baada ya Lissu kupinga vielelezo vya ushahidi

    Kesi inayomkabili Mhe. Lissu itaendelea leo Mahakama Kuu kanda ya DSM, Mawakili wa Serikali wataleta utetezi wao baada ya upande wa Mshtakiwa kupinga Vielelezo vilivyoletwa Mahakamani kama Ushahidi kupokelewa na Mahakama kutokana na kutofuata utaratibu wa mwanzo wa ukabidhi. --- Upande wa...
  8. Waufukweni

    GE2025 DC Msando: Hakuna atakayeleta Nyonyonyoo Oktoba 29, halafu tumuangalie tu!

    Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Wakili Albert Msando amewatoa hofu Wafanyabiashara wa Ubungo, Jiji la Dar es Salaam na Tanzania kwa ujumla kuwa tarehe 29 hakuna atakayewasumbua kwa kudai kuwa kuna maandamano badala yake wajiandae kufanya biashara kama kawaida kwani ulinzi na usalama utakuwa wa...
  9. DuaZaMama

    GE2025 DC Msando: Msisubiri hadi Oktoba 29, tokeni leo

    Mkuu wa Wilaya ya Ubungo mkoani Dar es Salaam, Wakili Albert Msando, amewataka wafanyabiashara wilayni humo na Watanzania kwa ujumla kuondoa hofu kuhusu taarifa za kuwepo maandamano Oktoba 29, akisisitiza kuwa siku hiyo kutakuwa na amani na shughuli zitaendelea kama kawaida. Akizungumza Oktoba...
  10. BigTall

    GE2025 Wasira: Kwa miaka minne Samia ameonesha uwezo mkubwa na ujasiri wa kuongoza Nchi

    MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema kazi kubwa aliyoifanya Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kipindi cha miaka minne na nusu aliyoiongoza nchi, ndiyo inayowafanya Watanzania wampe miaka mingine mitano ya kuongoza. Amesema kukamilika kwa miradi mikubwa...
  11. W

    GE2025 Samia: Wachagueni Madiwani wa CCM, mkiwachanganya na wa vyama vingine mtajicheleweshea Maendeleo

    Akiomba kura kwa wagombea wa nafasi za udiwani na ubunge kwenye majimbo na Kata za Mkoa wa Rukwa leo Jumapili Oktoba 19, 2025, mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan amewaomba wananchi kuwachagua wagombea hao na kutowachanganya na wengine, ili iwe...
  12. W

    GE2025 Makonda: Tuishi katika Misingi Imara ya Kiroho na maadili mema

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, leo ameshiriki ibada maalum na waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Ngarenaro, lililopo katika Kata ya Ngarenaro, Jimbo la Arusha Mjini. Katika ibada hiyo ya...
  13. W

    GE2025 Mgombea Udiwani Ilala: Atakayemkwamisha Samia tutaanza naye kabla yake

    Mgombea udiwani wa kata ya ilala Saady Khimji( Home Boy) amesema Chama Cha Mapinduzi, CCM Kinafanya jitihada kubwa ya kuinadi ilani yake kupitia majukwaa na Kampeni mbambali zinazofanywa na Wagombea wa Chama hicho Akizungumza Leo Oktoba 18, 2025 katika Mkutano wa kuwatambulisha na kuwanadi...
  14. Its Tesha

    GE2025 Mwigulu: Serikali ya Samia imevunja rekodi ya kuajiri vijana wengi zaidi

    Mgombea wa nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Iramba Magharibi Mkoani Singida kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amesema katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Serikali ya Awamu ya Sita imeweka rekodi ya...
  15. DuaZaMama

    GE2025 Wenje: Sikuwahi kujua kuwa CCM ni Chama chenye ushawishi Mkubwa Barani Afrika

    Aliyewahi kuwa Mbunge wa Nyamagana na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Victoria, Ezekia Wenje ameeleza sababu ya yeye kuhamia Chama Cha Mapinduzi(CCM)ambapo amesema kuwa hakuwahi kujua kuwa CCM ni Chama chenye ushawishi Mkubwa Barani Afrika Akizungumza na Wasafi Media katika uwanja wa Shule ya...
  16. Cute Wife

    GE2025 Kwanini tunasema kuna mtu mwingine anaendesha nchi? Hatuamini Samia anaweza kuwa ndio msimamia shoo mwanzo mwisho?

    Wakuu, Kumekuwa na hizi assumption kutoka pande mbalimbali kwamba Samia yupo tu kama geresha na nyuma yake ndio kuna mtu ambaye hasaaa ameshika usukani na kuamrisha kete zipelekwe kule ambako anataka yeye zifike! Hivi ni kwanini tunafikiria haya, kwanini tunaona kama Samia hawezi kuwa...
  17. DuaZaMama

    GE2025 Mwinyi: Hatutawaacha nyuma waendesha Bajaji na Boda Boda

    Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kujenga masoko katika kila wilaya na mkoa ili kuandaa mazingira bora zaidi kwa wajasiriamali nchini...
  18. DuaZaMama

    GE2025 Mwanza: Kamanda Mutafungwa awatoa hofu wananchi. Asema ulinzi umeimarishwa kila kona

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza,Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Wilbrod Mutafungwa, amewahakikishia wananchi usalama na kuwataka kushiriki shughuli za kisiasa bila hofu yoyote, kwani Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama limeimarisha ulinzi katika maeneo yote...
  19. DuaZaMama

    GE2025 JWTZ na Polisi Morogoro wafanya mazoezi ya pamoja kujiimarisha kiulinzi na usalama

    Majeshi ya Ulinzi na Usalama mkoani Morogoro Oktoba 18, 2025, yamefanya mazoezi ya pamoja yenye lengo la kuimarisha mshikamano, ushirikiano na utayari wa kulinda usalama wa wananchi na mali zao. Akizungumza wakati wa mazoezi hayo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, SACP Alex Mkama, amesema...
  20. DuaZaMama

    GE2025 Video: Mgombea ubunge jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa akipokea zawadi mbalimbali kutoka kwa wapiga kura wake

    Innocent Bashungwa Mgombea ubunge jimbo la Karagwe kupitia ukurasa wake wa Instagram anaandika...... "Rugera - Karagwe Upendo wa Wanakaragwe ni wa kipekee, kila ninapokutana na mwananchi mmoja mmoja au makundi mbalimbali, nimeendelea kushuhudia upendo, imani na mshikamano mkubwa, hususan...
Back
Top Bottom