uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mzee Mwanakijiji

    JamiiForums Tanzania GE2025 Swali Kabla ya Oct. 29: Waandamane au Wasusie Kura ya Urais?

    Na. M. M. Mwanakijiji Oktoba 29, 2025 yaweza kuwa siku itakayoamua mwelekeo wa demokrasia katika Tanzania. Siku hiyo inaweza kuamua yale yatakayoendelea kutokea katika nchi yetu kuanzia Oktoba 30 na kuendelea kwa miaka mingi ijayo. Tukio moja limepangwa na huwa linatabirika; Uchaguzi Mkuu wa...
  2. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Sheikh Kabeke: Oktoba 29 hatuendi kuchagua Dini wala Jinsia tunaenda kuchagua kiongozi atakayeiongoza Tanzania

    Akizungumza katika Kongamano la Amani la Viongozi wa Dini mbalimbali linalofanyika Mwanza leo Oktoba 20, 2025 Mwenyekiti wa amani mkoa wa Mwanza, Sheikh Hassana Kabeke amesema kuwa tunapoenda kupiga kura Oktoba 29, 2025 hatuendi kuchagua dini wala jinsia bali tunaenda kuchagua kiongozi...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mzee Mpili: Wanaotaka kufanya maandamano wanatafuta matatizo

    Shabiki wa Klabu ya Yanga, Mzee Mpili amesema kuwa wanaotaka kuandamana Oct 29,2025 wanatafuta Matatizo Mzee Mpili ameyasema hayo Leo Oktoba 20,2025 katika uwanja wa Ujamaa Ikwiriri Wilayani Rufiji Mkoani Pwani Kwenye Mwendelezo wa Mikutano ya Kampeni za uchaguzi Mkuu 2025 ya Mgombea wa kiti...
  4. DodomaTZ

    JamiiForums Tanzania GE2025 DOKEZO Responded Uchaguzi Mkuu wa 2025 na uadilifu wa Vyombo vya Habari Tanzania

    Kwa mujibu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) zimebakia takribani wiki mbili kabla ya Watanzania kushiriki katika Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Hali ya uadilifu wa Vyombo vya Habari Katika jamii ya kidemokrasia, Vyombo vya Habari hutazamwa kama daraja kati ya...
  5. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nyalandu: Tunu ya tafa ni amani upendo na mshikamano

    Jamii hasa vijana, wamekumbushwa kutambua kwamba tunu ya pekee katika taifa ni amani, upendo na mshikamano hasa katika kipindi hiki kuelekea zoezi la kupiga kura na kwamba ni jukumu la kila mmoja kulinda na kuhakikisha uwepo wa amani hiyo. Hayo yamebainishwa leo Oktoba 20, 2025, na aliyewahi...
  6. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Bodaboda na Machinga waahidi kutokuwa chanzo cha kuvunja Amani

    Makundi ya waendesha bodaboda na wamachinga yamezunguka katika mitaa kadhaa ya jiji la Dar es Salaam ikiwemo Posta, Kisutu, Kivukoni, Kariakoo, Karume, na Buguruni, yakihamasisha wananchi kulinda amani na kujitokeza kupiga kura siku ya tarehe 29 Oktoba. Akizungumza na waandishi wa habari...
  7. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 INEC: Kampeni zimeenda kwa utulivu hata Uchaguzi utaenda kwa utulivu

    Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ndugu. Kailima Ramadhani akijibu kuhusu hatua watakazochukua katika kulinda usalama katika vituo vya kupiga kura amesema hatua ya kwanza ni kutoa elimu kwa wapiga kura kufuata masharti elekezi, kuwa na polisi wa kusimamia kituo. Pia...
  8. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Jeshi la Polisi mkoa wa Simiyu lahakikisha amani wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu Kamishna Msaidizi wa Polisi Edith M. Swebe Oktoba 20, 2025 ametoa wito kwa Wananchi na Wakazi wa Mkoa wa Simiyu kuelekea uchaguzi Mkuu kuwa utafanyia kwa amani na utulivu hivyo kila Mwananchi ahakikishe analinda amani. Rai hiyo imetolewa kupitia kituo cha redio...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 DC Msando: Nikigundua anayehamasisha maandamano anatoka Ubungo, nitakula naye Sahani moja

    Mkuu wa Wilaya ya Ubungo mkoani Dar es Salaam, Wakili Albert Msando, amewataka wananchi wa wilaya hiyo na Watanzania kwa ujumla kuondoa hofu kuhusu taarifa za uwepo wa maandamano Oktoba 29, akisisitiza kuwa siku hiyo kutakuwa na amani na shughuli zitaendelea kama kawaida. Soma: DC Msando...
  10. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 RC Babu: Jitokezeni kupiga Kura mliojiandikisha

    Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama ya Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, ametoa wito kwa wananchi wa mkoa huo waliojiandikisha kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29, 2025, bila kuwa na hofu yoyote. Babu ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, ameyasema hayo mjini Moshi, alipokuwa akizungumza...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tundu Lissu akiwa kizimbani: Wasalimieni, waambie nakuja

    "Habari za kitaa, wasalimieni waambie nakuja, nafanyaje? nakuja" Maneno ya Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu Tundu Lissu leo Oktoba 20, 2025 baada ya kupanda kizimbani alipokuwa amefikishwa katika chumba Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar Es Salaam inapoendelea kesi ya uhaini...
  12. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kamanda Polisi Shinyanga: Kuna chokochoko nyingi sasa, Tutahakikisha tunalinda amani

    Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga limewahakikishia wananchi wa mkoa huo Amani na Utulivu siku ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025, na kuwataka wajitokeze kwa wingi kutumia haki yao ya kikatiba kupiga kura ili kuwachagua viongozi wanaowataka Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga SACP...
  13. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Dkt. Mwinyi aahidi mitaji mikubwa kwa wajasiriamali Zanzibar

  14. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wasira: Propaganda mitandaoni hazina ukweli, nchi ipo salama, mkapige Kura

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema nchi ipo salama, wananchi wakumbushwe na kuhamasishawa kuwapigia kura wagombea wenye sifa ambapo kwa upande wa urais ni Dk. Samia Suluhu Hassan anayetokana na CCM. Amesema zipo propaganda chafu katika mitandao...
  15. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea urais NRA, Almas Kisabya, aahidi kufuta bili za maji kwa wananchi

    Mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha NRA, Almas Kisabya, ameahidi kutunga sheria kali za kupambana na mmomonyoko wa maadili nchini, sambamba na kufuta bili za maji kwa wananchi, ambapo gharama zote zitabebwa na serikali.
  16. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea urais wa AAFP, Kunje Ngombale Mwiru aahidi kujenga kiwanda cha saruji Mwanza

    Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Wakulima (AAFP), Kunje Ngombale Mwiru, amesema endapo atapewa ridhaa ya kuongoza serikali, atahakikisha anajenga kiwanda cha saruji mkoani Mwanza ili kupunguza gharama za ujenzi. Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni wilayani Misungwi, Kunje alibainisha...
  17. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Angellah Kairuki aahidi kutatua kero ya maji Jimbo la Kibamba

    Mgombea wa ubunge wa Jimbo la Kibamba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Anjelah Kairuki, ameahidi kutatua kero ya maji inayowakabili wananchi katika maeneo mbalimbali ya jimbo hilo, ikiwemo Mpiji Magohe, Msigani na Mbezi Msumi. Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika kata ya Mbezi...
  18. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 CWT yawataka Walimu kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025

    Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kimetoa wito kwa walimu kote nchini kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, sambamba na kutumia nafasi yao muhimu katika jamii kuelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kushiriki zoezi hilo la kidemokrasia. Wito huo umetolewa na Rais wa...
  19. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea Urais wa Makini, Kibonde: Niko tayari kuvaa Viatu vya Hayati Magufuli

    Mgombea urais kupitia Chama cha Makini, Coster Jimmy Kibonde, amesema yuko tayari kuvaa viatu vya hayati Dkt. John Pombe Magufuli katika kuwatumikia Watanzania kwa uzalendo, uaminifu na uwajibikaji mkubwa endapo atapewa dhamana ya kuongoza taifa. Soma: Mgombea Urais, Coaster Kibonde: Nikishinda...
  20. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kesi ya Lissu kuendelea leo Oktoba 20; Jamhuri kuleta utetezi baada ya Lissu kupinga vielelezo vya ushahidi

    Kesi inayomkabili Mhe. Lissu itaendelea leo Mahakama Kuu kanda ya DSM, Mawakili wa Serikali wataleta utetezi wao baada ya upande wa Mshtakiwa kupinga Vielelezo vilivyoletwa Mahakamani kama Ushahidi kupokelewa na Mahakama kutokana na kutofuata utaratibu wa mwanzo wa ukabidhi. --- Upande wa...
Back
Top Bottom