uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Meja Jenerali Isamuhyo

    GE2025 Kwa mara ya kwanza, wagombea ubunge wanaacha majimbo yao kwenda kumnadi Rais mikoa mingine, michezo hii

    Mara unaona Makonda katoka Arusha kaenda kumnadi mgombea wake wa Urais mikoa ya kanda ya ziwa na Dar es Salaam. Jimboni kwake hayupo kumpiga kampeni🤣 Nape akaacha kujinadi huko jimboni Mtama akaenda zake mikoa ya Kaskazini kumnadi mgombea wake. Jumaa Awesu akaacha kujipigia promo jimboni kwake...
  2. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Polisi Mbeya wawahakikishia Waandishi wa Habari Usalama kipindi cha uchaguzi mkuu

    Tunasubiri kuona, kama itakuwa kweli. Maana tumechoka kusikia mara waandishi wamepokinywa vifaa vyao vya kazi au wamekamatwa =================== Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limewahakikishia wananchi na waandishi wa habari usalama wa kutosha wakati wa utekelezaji wa majukumu yao kuelekea na...
  3. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Cecilia Paresso: Watanzania kapigeni kura kwa usahihi ili kuepuka kura zao kuharibika

    Cecilia naona hela inafanya kazi! Maana unajituma kuzipiga hizo kampeni kwa Samia. Au unautafuta uteuzi? ================= Aliyewahi kuwa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Cecilia Paresso ametoa wito kwa wapiga kura kupiga kura kwa usahihi ili kuepuka kura zao kuharibika. Ametoa wito huo...
  4. Mafyangula

    GE2025 Utafiti wa CIP-Africa: Dkt. Samia aongoza kura za maoni kwa asilimia 84.5 kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Nimeona hii ni mashairi tu yanaendelea kumpendezesha huyu mama Kizimkazi hakuna lolote hapo. Je Lissu angeshiriki ingekuwaje maana na amini kwa asilimia kubwa watu wangempigia kura hizo za maoni bwan Lissu, na je wangetangaza? ================== Kituo cha Sera za Kimataifa-Afrika kwa kiingereza...
  5. Mafyangula

    GE2025 Mgombea urais Chama MAKINI: Nitafanikisha kupanda kwa bei ya zao la Mwani kufika Tsh6,000 kwa kilo

    Wakulima wa mwani visiwani Zanzibar wameahidiwa kupata soko la uhakika na thamani ya zao hilo itakayofikia Shilingi 6,000 kwa kilo iwapo Chama Cha MAKINI kitafanikiwa kushinda Uchaguzi Mkuu. Ahadi hiyo imetolewa na mgombea Urais wa chama hicho, Ameir Hassan Ameir kama inavyoripoti taarifa hii.
  6. Mafyangula

    GE2025 Samia: Daraja la Jangwani fedha ipo tayari, sasa tunataka kuaza kujenga litakuwa na urefu wa mita 390

    Hicho kitu gani kinachokwambisha kuanza ujenzi kama fedha ipo? Ulipaswa kukitaja ili wananchi wakifahamu na wala kutuletea ngonjera. ============== Mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kujenga daraja jipya la Jangwani lenye urefu wa mita...
  7. DuaZaMama

    GE2025 Mgombea urais CCM Samia Suluhu Hassan awatoa hofu wananchi, "tuko salama wakati wowote"

    Mgombea wa kiti Cha Urais Kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Dkt. Samia Suluhu Hassan amewatoa hofu Watanzania Kwa kusema kuwa vyombo vya Ulinzi na usalama vimejipanga vyema wakati wote iwe kwenye uchaguzi na hata baada ya uchaguzi Dkt. Samia ameyasema hayo Leo Oct 22,2025 Kinyerezi Wilayani...
  8. PAYE

    GE2025 ACP John Imori: Maandamano bila kibali ni haramu na hili ndilo Tishio kubwa kabla ya Uchaguzi

    "Wale wanaotamani kuingia barabarani nawakataza, wasithubutu, ni marufuku, wasitoke mtu hata mmoja sababu maandamo bila kibali ni haramu" ACP John Imori.
  9. R

    GE2025 Mgombea ubunge Jimbo la Mtambile Pemba: Oktoba 29 tumemaliza, hakuna Maandamano

    Mgombea ubunge wa Jimbo la Mtambile Pemba kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mohammad Abdallah Kassim ameeleza kuwa katika Jimbo la Mtambile ni sherehe za ushindi za CCM zinaendelea na hakuna dalili za maandamano yoyote Muhammad ameyasema hayo katika mfululizo wa kampeni za CCM katika...
  10. Stuxnet

    GE2025 Urais wa Tanzania ni mpango wa Mungu, kubalini tu Samia amepewa tiki

    Ncha ya Mkuki haipigwi kwenzi! Kuna watu walifikiri Samia ni dhaifu, wangemwendesha kama mwanasesere. Wakajidanganya kwamba hakustahili kuwa Rais. Samia ni Rais kwa Matakwa ya Mungu na atabaki hapo kwa muda mpaka Mungu akipenda na siyo akina Polepole na wahuni wenzie walivyotaka! Kila jambo...
  11. DuaZaMama

    GE2025 Luhaga Mpina achukizwa na ununuzi wa magari kwa wagombea urais 2025, ahoji fedha zimetoka wapi?

    Kada wa chama cha ACT Wazalendo Luhaga Mpina ambaye pia ni mgombea urais kupitia chama hicho ametoa ya moyoni akihoji namna ambavyo fedha za kununulia magari ya wagombea urais zilivyopatikana akibainisha kuwa kila gari ina thamani ya Tsh. 500 Milioni. Luhaga ambaye pia aligoma kupewa gari hilo...
  12. Waufukweni

    GE2025 Mwigulu: Samia hapendi Sifa, anataka kazi yake ionekane, kiu yake siyo picha kuwekwa katika Noti

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Iramba Magharibi ambaye pia ni Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba ameeleza sababu ya kushindwa kuweka picha ya Dkt. Samia Suluhu Hassan katika fedha aina ya Noti Kwa sababu Dkt. Samia hapendi sifa yeye anataka kazi ndio ionekane na sio picha yake katika fedha...
  13. PAYE

    GE2025 Makonda: Mafanikio ya Bandari ni matokeo ya maamuzi makini ya Rais Samia

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amesema mafanikio makubwa yanayoonekana katika sekta ya bandari nchini ni matokeo ya uongozi makini, wa kisasa na wa kisayansi chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye amefanya maamuzi ya kimkakati...
  14. R

    GE2025 Chid Benz: Inabidi watu watiki, wanaopiga mishale haihusiki na chama

    Rashid Makwiro almaarufu kama Chid Benz Msanii wa Bongo fleva ameonekana akiwa pamoja na Msanii Shetta ambaye pia ni Mgombea Ubunge CCM Kata ya Mchikichi wakiwa katika mkutano wa kampeni za mgombea urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Samia Suluhu...
  15. Waufukweni

    GE2025 Samia: Mahakama, Polisi na vyombo vya Sheria vinasomana, Haki za Watanzania sasa hazipotei, hazichelewi

    Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema sekta ya haki nchini Tanzania imeimarika katika kipindi cha miaka mitano ya serikali ya awamu ya sita, akisema kuundwa kwa Tume mbalimbali za marekebisho...
  16. DuaZaMama

    GE2025 Abbas Mtemvu: DSM hakuna maandamano anayebisha ajaribu

    Ila tumekubaliana wazee walale ndani wasizungumzie hili suala la maandamano. DAR ES SALAAM: MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi( CCM), mkoani Dar es salaam, Abbas Mtemvu amesema kwa pamoja wazee wa mkoa huo wameamua kuwa hawataruhusu maandamano yenye kuchochea vurugu kufanyika mkoani humo...
  17. Waufukweni

    GE2025 Taarifa ya CIP: Asilimia 83 ya Watanzania wapanga kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025

    Leo oktoba 22 kituo cha tafiti za maendeleo na demokrasia (CIP) kimewasilisha taarifa ya utafiti wa kura ya maoni uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 29 Oktoba 2025, Mwaka huu 2025 ni mwaka wa uchaguzi lakini mpaka kufikia tarehe 29 kuna michakato mingi inayofanyika kuelekea uchaguzi mkuu. Vyama...
  18. PAYE

    GE2025 SACP. Benjamin Kuzaga: Waandishi tusaidieni kuelimisha wananchi umuhimu wa amani

    Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya Kamishna msaidizi mwandamizi wa polisi Benjamini Kuzaga, amewaomba waandishi wa habari mkoani humo kutumia kalamu zao kutoa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa amani katika kipindi hiki ambacho taifa linatarajia kufanya uchaguzi mkuu. Kwenye mdahalo wa kuangazia...
  19. R

    GE2025 Mwenyekiti CHADEMA Kanda ya Kusini, Aden Mayala atimkia CCM

    Aliyekuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Kusini wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mjumbe wa Kamati Kuu, Aden Mayala amekihama chama hicho na kutimkia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Oktoba 22, 2025 wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan uliofanyika viwanja...
  20. R

    GE2025 Mussa Zungu: Rais Samia ametoa Bilioni 200 ujenzi Mfumo mpya wa maji taka Ilala

    Hawa wazee wa CCM wakubali tu wamechoka maana wakienda bungeni watajikuta wanasaini mikataba ya kutuuza kabisa Zungu jamani kweli ndo kuzuia maji taka kuua samaki barabarani au ndo mradi mpya wa CCM wa makazi mapya ya samaki:confused: waachieni wenye afya na nguvu imara ya kuongoza nchi mkalee...
Back
Top Bottom