Mara unaona Makonda katoka Arusha kaenda kumnadi mgombea wake wa Urais mikoa ya kanda ya ziwa na Dar es Salaam. Jimboni kwake hayupo kumpiga kampeni🤣
Nape akaacha kujinadi huko jimboni Mtama akaenda zake mikoa ya Kaskazini kumnadi mgombea wake.
Jumaa Awesu akaacha kujipigia promo jimboni kwake...
Tunasubiri kuona, kama itakuwa kweli. Maana tumechoka kusikia mara waandishi wamepokinywa vifaa vyao vya kazi au wamekamatwa
===================
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limewahakikishia wananchi na waandishi wa habari usalama wa kutosha wakati wa utekelezaji wa majukumu yao kuelekea na...
Cecilia naona hela inafanya kazi! Maana unajituma kuzipiga hizo kampeni kwa Samia. Au unautafuta uteuzi?
=================
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Cecilia Paresso ametoa wito kwa wapiga kura kupiga kura kwa usahihi ili kuepuka kura zao kuharibika.
Ametoa wito huo...
Nimeona hii ni mashairi tu yanaendelea kumpendezesha huyu mama Kizimkazi hakuna lolote hapo.
Je Lissu angeshiriki ingekuwaje maana na amini kwa asilimia kubwa watu wangempigia kura hizo za maoni bwan Lissu, na je wangetangaza?
==================
Kituo cha Sera za Kimataifa-Afrika kwa kiingereza...
Wakulima wa mwani visiwani Zanzibar wameahidiwa kupata soko la uhakika na thamani ya zao hilo itakayofikia Shilingi 6,000 kwa kilo iwapo Chama Cha MAKINI kitafanikiwa kushinda Uchaguzi Mkuu.
Ahadi hiyo imetolewa na mgombea Urais wa chama hicho, Ameir Hassan Ameir kama inavyoripoti taarifa hii.
Hicho kitu gani kinachokwambisha kuanza ujenzi kama fedha ipo? Ulipaswa kukitaja ili wananchi wakifahamu na wala kutuletea ngonjera.
==============
Mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kujenga daraja jipya la Jangwani lenye urefu wa mita...
Mgombea wa kiti Cha Urais Kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Dkt. Samia Suluhu Hassan amewatoa hofu Watanzania Kwa kusema kuwa vyombo vya Ulinzi na usalama vimejipanga vyema wakati wote iwe kwenye uchaguzi na hata baada ya uchaguzi
Dkt. Samia ameyasema hayo Leo Oct 22,2025 Kinyerezi Wilayani...
"Wale wanaotamani kuingia barabarani nawakataza, wasithubutu, ni marufuku, wasitoke mtu hata mmoja sababu maandamo bila kibali ni haramu" ACP John Imori.
Mgombea ubunge wa Jimbo la Mtambile Pemba kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mohammad Abdallah Kassim ameeleza kuwa katika Jimbo la Mtambile ni sherehe za ushindi za CCM zinaendelea na hakuna dalili za maandamano yoyote
Muhammad ameyasema hayo katika mfululizo wa kampeni za CCM katika...
Ncha ya Mkuki haipigwi kwenzi! Kuna watu walifikiri Samia ni dhaifu, wangemwendesha kama mwanasesere. Wakajidanganya kwamba hakustahili kuwa Rais. Samia ni Rais kwa Matakwa ya Mungu na atabaki hapo kwa muda mpaka Mungu akipenda na siyo akina Polepole na wahuni wenzie walivyotaka!
Kila jambo...
Kada wa chama cha ACT Wazalendo Luhaga Mpina ambaye pia ni mgombea urais kupitia chama hicho ametoa ya moyoni akihoji namna ambavyo fedha za kununulia magari ya wagombea urais zilivyopatikana akibainisha kuwa kila gari ina thamani ya Tsh. 500 Milioni.
Luhaga ambaye pia aligoma kupewa gari hilo...
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Iramba Magharibi ambaye pia ni Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba ameeleza sababu ya kushindwa kuweka picha ya Dkt. Samia Suluhu Hassan katika fedha aina ya Noti Kwa sababu Dkt. Samia hapendi sifa yeye anataka kazi ndio ionekane na sio picha yake katika fedha...
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amesema mafanikio makubwa yanayoonekana katika sekta ya bandari nchini ni matokeo ya uongozi makini, wa kisasa na wa kisayansi chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye amefanya maamuzi ya kimkakati...
Rashid Makwiro almaarufu kama Chid Benz Msanii wa Bongo fleva ameonekana akiwa pamoja na Msanii Shetta ambaye pia ni Mgombea Ubunge CCM Kata ya Mchikichi wakiwa katika mkutano wa kampeni za mgombea urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Samia Suluhu...
Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema sekta ya haki nchini Tanzania imeimarika katika kipindi cha miaka mitano ya serikali ya awamu ya sita, akisema kuundwa kwa Tume mbalimbali za marekebisho...
Ila tumekubaliana wazee walale ndani wasizungumzie hili suala la maandamano.
DAR ES SALAAM: MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi( CCM), mkoani Dar es salaam, Abbas Mtemvu amesema kwa pamoja wazee wa mkoa huo wameamua kuwa hawataruhusu maandamano yenye kuchochea vurugu kufanyika mkoani humo...
Leo oktoba 22 kituo cha tafiti za maendeleo na demokrasia (CIP) kimewasilisha taarifa ya utafiti wa kura ya maoni uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 29 Oktoba 2025, Mwaka huu 2025 ni mwaka wa uchaguzi lakini mpaka kufikia tarehe 29 kuna michakato mingi inayofanyika kuelekea uchaguzi mkuu.
Vyama...
Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya Kamishna msaidizi mwandamizi wa polisi Benjamini Kuzaga, amewaomba waandishi wa habari mkoani humo kutumia kalamu zao kutoa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa amani katika kipindi hiki ambacho taifa linatarajia kufanya uchaguzi mkuu.
Kwenye mdahalo wa kuangazia...
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Kusini wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mjumbe wa Kamati Kuu, Aden Mayala amekihama chama hicho na kutimkia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Oktoba 22, 2025 wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan uliofanyika viwanja...
Hawa wazee wa CCM wakubali tu wamechoka maana wakienda bungeni watajikuta wanasaini mikataba ya kutuuza kabisa
Zungu jamani kweli ndo kuzuia maji taka kuua samaki barabarani au ndo mradi mpya wa CCM wa makazi mapya ya samaki:confused: waachieni wenye afya na nguvu imara ya kuongoza nchi mkalee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.