Leo Oktoba 22, 2025 na Mkuu wa Wilaya ya Moshi Godfrey Mnzava kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro wakati akifungua Semina ya Amani iliyokutanisha viongozi wa dini mbalimbali Kanda ya Kaskazini inayoongozwa na kauli mbiu "Kupiga kura ni haki yetu na Amani ya Taifa letu ni wajibu wetu"...
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Ruangwa, George Mbesigwe, amevitaka vyombo vya habari kufuata sheria, kanuni na maadili ya taaluma zao wakati wa kipindi cha uchaguzi, akisisitiza kuwa ni muhimu kutoa taarifa kwa ufasaha, uwiano na bila upendeleo.
Akizungumza leo Oktoba 22 katika kipindi cha...
Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Shaban Mlewa, amesema hakuna amani ya kweli inapokosekana haki na usalama wa uhai na mali, akisema kuua mtu mmoja ni kuondoa amani kwa jamii nzima.
Ametoa kauli hiyo leo Oktoba 22,2025 Mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, katika Semina ya Amani iliyokutanisha...
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika akizungumzia tukio la kukamatwa kwa Makamu Mwenyekiti, Bara wa chama hicho, John Heche, leo Asubuhi Mahakamani alipofika kwa ajili ha kusikiliza shauri la uhaini linalomkabili Tundu Lissu.
"Kama kukamatwa kwake John Heche...
Aliyekuwa mgombea ubunge wa viti maalumu kupitia Umoja wa Wazazi wa CCM, Olivia Chagula, amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi Oktoba 29 kushiriki uchaguzi mkuu kwa kupiga kura bila hofu akisisitiza kuwa usalama umehakikishwa kama alivyoeleza Amiri Jeshi Mkuu, Rais Samia Suluhu Hassan...
Mgombea ubunge jimbo la Moshi Mjini, Ibrahim Mohammed Shayo amehimiza wananchi kuendeleza utulivu na mshikamano kabla na baada ya uchaguzi uliopo kwani sio desturi ya watu wa Kilimanjaro kuandamana bali ni kutafuta pesa na kuinuka kiuchumi.
Ni kweli, lakini uchaguzi wa mwaka huu umejaa dosari mapema sana!
Ukitizama hata mgombea wa chama tawala ndani ya chama chao utaratibu ulivunjwa kumpitisha, lakini wakakaza fuvu! Tunasema uchaguzi huu ni batili
=====================
Mkurugenzi wa Everlasting Legal Aid Foundation, Dokta Khamis...
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, ACP Gallus Hyera amesema kuwa Jeshi la Polisi mkoani humo limejipanga kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa amani kama ulivyopangwa kwa mujibu wa sheria.
Akizungumza na waandishi wa habari leo, ACP Gallus ameonya kwa yeyote atakayefanya uhalifu au kutotii sheria...
Nimeshangaa sana
Hiki ni nini? Eti hata kama huna kadi ya mpiga kura usihofu.
Mtu utaweza kupiga kura yya Urais 2025 kwa kutumia leseni ya udereva na namba ya nida🤣
Kulikuwa na haja gabu ya kujiandikisha?
Nchi yetu imeshanajisiwa..
Mtume Mohammed alishatoa maelekezo kuhusu nani anafaa kuwa...
Kauli aliyoitoa leo Samia Oktoba 21, 2025 pale Kinondoni yakusema Mimi ndio Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi, Oktoba 29 maandamano pekee yatakayotokea ni ya kwenda kupiga kura, naona imewapa viburi zaidi polisi na vyombo vya ulizi na usalama kwa ujumla.
Yani kauli yake ni oda kubwa kwamba kila...
Samia anapenda kupita na upepo wa jambo fulani ili azipate hizo kura.
================
"Tukapomaliza barabara zote, ni fursa muhimu kwa sekta binafsi kupata kazi ya kubeba abiria na kurudisha, kazi hiyo kwa kiasi hatutaki kuifanya sisi serikali bali sekta binafsi wataingiza mabasi yao na...
Mawakili wa Mpina leo wamechochea moto tena!
Ni kweli kabisa kwanini watu wengine wasiojiwe na wanadai wenyewe Tanzania ni nchi inayongozwa Kidomokrasia lakini kumbe inaendeleshwa kimabavu.
Lakini Mawakili hao wamesema kwamba hata mchakato ulifanyika kumuondoa Luhaga Mpina kwenue kinyanganyiro...
Lets be real and logical, kinavunwa kilichopandwa, matokeo bila planning ni sawa na kupanda mbegu ya maboga usubiri mavuno ya mchele,
Hadi sasa nje ya Instagram, X na matangazo katika kuta za mitaani yaliyowekwa usiku wa manane, kuna cha ziada ?
Hakuna magroup rasmi ya kujipanga katika ngazi...
Mwenezi wa Itikadi, Siasa na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, Saipulani Ramsey, amekutana na zaidi ya waendesha bodaboda 300 jijini Arusha na kuwasihi kutoshiriki maandamano yanayodaiwa kuratibiwa kupitia mitandao ya kijamii tarehe 29 Oktoba, akisisitiza umuhimu wa kulinda...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe limewataka Wananchi wa Mkoa wa Njombe kuwa huru na kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe Oktoba 29,2025 bila hofu yoyote
Akizungumza na Vyombo vya habari Oktoba 20,205 Kamanda "amesema mtu yoyote ambaye atakikuka sheria za nchi ya Tanzania Jeshi la Polisi...
Kada wa wa zamani wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA Ezekia Wenje amesema kuwa wapinzani wa ndio waliochelesha upatikanaji wa katiba mpya, wenje ameyasema hayo wakati akizungumza katika kampeni za chama cha mapinduzi CCM leo Oktoba 21, 2025 Jijini Dar Es Salaam
“Waliochelewesha...
Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema matusi anayotukanwa anayabeba kwa niaba ya wananchi.
Pia, amesema maandamano yatakayokuwepo ni ya kwenda kupiga kura na siyo maandamano mengine.
Samia amesema hayo leo Oktoba 21, 2025 kwenye mwendelezo wa kampeni...
Wiki kadhaa zilizopita niliwataja Mange Kimambi, Humphrey Polepole na Luhaga Mpina kama watu ambao sijaamini dhamira ya maneno na matendo yao ya kisiasa. Haya maneno niliyasema siku kadhaa kabla taarifa za kupotea kwa Polepole hazijatoka.
Niliwahi kusema master plan ya siasa za CCM ni kuwa...
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wafuasi wa chama hiko kujitokeza kupiga kura siku ya Oktoba 29, 2025, na kuwahakikishia kuwa hakutakuwa na maandamano zaidi ya maandamano ya kwenda vituoni kupiga kura.
"Niwahakikishie tarehe 29...
Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni kupitia CCM, Abbas Tarimba amesema hawezi kukaa kimya atakapoona kuna watu wanamkosea heshima kiongozi wa nchi.
Soma: Tarimba: Wananchi ndio wenye mamlaka yakutoa viongozi
Tarimba ametoa kauli hiyo leo Oktoba 21, kwenye mkutano wa kampeni za mgombea urais wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.