Viongozi wa Sungusungu na wazee maarufu Kitongoji cha Maimba Kata ya Chamalendi wametakiwa kuwa mfano wa kuigwa katika kuwaongoza vijana kulinda amani na kuachana na vitendo vya uchochezi vinavyopelelea uvunjifu wa amani.
Wito huo umetolewa Octoba 19, 2025 na Polisi Kata ya Chamalendi Mkaguzi...
Wananchi wa Jimbo la Ushetu, wilayani Kahama, mkoani Shinyanga, wametakiwa kujitokeza mapema kuhakiki majina yao katika vituo 565 vya kupigia kura vilivyoandaliwa, huku waliopoteza vitambulisho vya kura wakiruhusiwa kutumia hati za kusafiria, leseni za udereva au vitambulisho vya Taifa (NIDA)...
Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Salum Nyamwese amewahimiza wananchi wa wilaya hiyo kujitokeza kwa wingi kushiriki katika zoezi la kupiga kura litakalofanyika Oktoba 29, 2025, akisisitiza kuwa kila raia ana wajibu wa kutumia haki yake ya kikatiba badala ya kutegemea wengine wawapigie kura.
Nyamwese...
Bi mkubwa anaendelea kuwatisha watanzania ambao wapo tayari kutetea nchi yao.
Ila hivi vitisho vina mwisho wake kwa wale wote wanajiona ni bora zaidi kuliko watanzania wengine.
==========
"Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ndani ya Taifa hili vimejipanga vyema, tumevijengea uwezo wa...
Polisi wameamua! Kila kundi walipa semina ya bure kabisa katika kipindi hichi cha uchaguzi.
Yani uchaguzi wa mwaka huu umekuwa kama vita maana hizi elimu ni kama vile kuna vita vinakuja hivi
==============
Wanafunzi Shule ya Sekondari Mazwe Kata ya Ipwaga Wilaya ya Tanganyika Mkoa wa Katavi...
Miongoni mwa kundi lililopewa elimu na jeshi la polisi kipindi hichi cha uchaguzi basi ni bodaboda.
Yani sijuwi wameona kwamba ni rahisi kutumika na wanasiasa au vipi?
=================
Afisa Mnadhimu Mkoa wa Polisi Tarime Rorya Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Joswam Kaijanante amewataka...
Wananchi wa Kijiji cha Minazi Mikinda, Kata ya Ruvu Stesheni, Wilaya ya Kipolisi Mlandizi, Mkoa wa Pwani wamekumbushwa kutunza, kulinda na kuimarisha amani na utulivu katika maeneo yao.
Akizungumza na wananchi kijijini hapo, Oktoba 21, 2025 Kaimu Mkuu wa Polisi Jamii, Wilaya ya Kipolisi...
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Almachius Mchunguzi, ametoa wito kwa wananchi wa Mkoa wa Tanga kuendelea kudumisha umoja, amani na utulivu katika kipindi hiki cha kuelekea siku ya kupiga kura.
Ametoa wito huo leo tarehe 21 Oktoba 2025 kupitia kipindi maalum...
Wasafirishaji abiria wanaotumia pikipiki maarufu Bodaboda na Bajaji Mkoani Katavi wametakiwa kuwa mstari mbele kudumisha amani na kamwe wasiruhusu kushawishiwa kujiingiza katika vitendo vya uvunjifu wa amani.
Wito huo umetolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi Kamishna Msaidizi Mwandamizi...
Madereva wa bodaboda na bajaji wa Wilaya na Mkoa wa Singida wametakiwa kuwa mstari wa mbele kuhubiri amani na utulivu, hasa kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025, kwa kutambua kuwa shughuli zao hutegemea uwepo wa usalama na utulivu nchini.
Wito huo umetolewa Oktoba 17, 2025 na Mkuu wa...
Mungu akunyime chochote ila si akili!
Sasa hapa wanawatishia wapiga kura watakosa hata wale wa kuzuga! Walioamua kuandamana hawawezi kutishiwa na magari haya maana hata Nepal waliyatoa ila hayakuwa na msaada!
Hii dalili nzuri - wamechanganyikiwa!
Kuna wakati kama haki hakuna na wanapaswa kutoa haki awazitoi hizo haki ni lazima itumike nguvu ya ziada ili haki ipatikane. Kwahiyo msiseme ni machafuko ni katika harakati za kutafuta haki na usawa.
====================
Wazazi Mkoani Mtwara wametakiwa kuzungumza na vijana wao juu ya umuhimu wa...
Jeshi la Polisi limewahimiza wananchi wote wenye sifa na waliojiandikisha kupiga kura kujitokeza kwa wingi kushiriki uchaguzi kwa amani na utulivu, kisha kurejea majumbani mwao kuendelea na shughuli zao za kijamii na kiuchumi.
Kauli hiyo imetolewa Oktoba 22, 2025 na Maafisa wa Pllisi kutoka...
Tutazuia uchaguzi fake kwa nguvu nyingi, kuzuia uchaguzi fake sio kosa ni ushujaa,
Wahuni wasifikiri sisi tutaenda kuremba remba, tutakula nao sahani moja jiwe kwa jiwe mpaka mabadiliko.
Hakuna uchaguzi utakao fanyika
Kamanda umetoa hoja nzuri. Ila naona utakuwa mgumu kutekelezeka maana mnaendeshwa kwa mihemko na mkifika kwa wanachi mnabadilika na kutoenyesha uweledi wa kutupiga na kutuumiza.
==================
Kamishna wa Polisi Zanzibar CP KOMBO KHAMIS KOMBO amekutana na kuzungumza na Askari wa vyeo...
Kama mnavyowapa elimu hii kipindi cha uchaguzi kwa nguvu kubwa, basi mafanye hivyo pia kuwapa elimu ya usalama barabarani katika kufuata sheria.
Maana kila siku visa vya bodaboda kupata ajali vimekuwa vingi.
===================
Waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda wametakiwa kutunza na...
Kipindi hiki mafunzo yamekuwa mengi sana, ujakaa sawa unasikia polisi na wanajeshi wamefanya mazoezi ya pamoja. Hizi bwebwe zote za nini jamani?
===================
Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na maafisa uchaguzi jimbo la Babati Mjini na Vijiji Mkoani humo Oktoba 21, 2025...
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Makini, Simon Ngilisho, ameendelea na kampeni zake za kuomba kura kwa wananchi wa jimbo hilo huku akiahidi kuboresha miundombinu ya biashara na usafiri ndani ya jiji la Arusha.
Akizungumza leo Oktoba 22, 2025, katika eneo la Stendi Kuu...
Mara unaona Makonda katoka Arusha kaenda kumnadi mgombea wake wa Urais mikoa ya kanda ya ziwa na Dar es Salaam. Jimboni kwake hayupo kumpiga kampeni🤣
Nape akaacha kujinadi huko jimboni Mtama akaenda zake mikoa ya Kaskazini kumnadi mgombea wake.
Jumaa Awesu akaacha kujipigia promo jimboni kwake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.