uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    GE2025 Rais Samia usiwasikilize washauri wako, ahirisha uchaguzi tuwe na maridhiano

    So called washauri wako wanatetea matumbo yao. Ahirisha uchaguzi, tufanye maridhiano, tusonge mbele kama taifa! Msikilize ushauri wa Askofu Bagonza. Nakutakia matashi mema
  2. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Viongozi wa sungusungu watakiwa kuwaongoza vijana kulinda amani

    Viongozi wa Sungusungu na wazee maarufu Kitongoji cha Maimba Kata ya Chamalendi wametakiwa kuwa mfano wa kuigwa katika kuwaongoza vijana kulinda amani na kuachana na vitendo vya uchochezi vinavyopelelea uvunjifu wa amani. Wito huo umetolewa Octoba 19, 2025 na Polisi Kata ya Chamalendi Mkaguzi...
  3. Mafyangula

    GE2025 Charles Gabriel: Jitokeze mapema kuhakiki majina yako kabla ya kufika siku ya kupiga kura Oktoba 29

    Wananchi wa Jimbo la Ushetu, wilayani Kahama, mkoani Shinyanga, wametakiwa kujitokeza mapema kuhakiki majina yao katika vituo 565 vya kupigia kura vilivyoandaliwa, huku waliopoteza vitambulisho vya kura wakiruhusiwa kutumia hati za kusafiria, leseni za udereva au vitambulisho vya Taifa (NIDA)...
  4. Mafyangula

    GE2025 Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Salum: Kila raia ana wajibu wa kutumia haki yake ya kikatiba kupiga kura

    Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Salum Nyamwese amewahimiza wananchi wa wilaya hiyo kujitokeza kwa wingi kushiriki katika zoezi la kupiga kura litakalofanyika Oktoba 29, 2025, akisisitiza kuwa kila raia ana wajibu wa kutumia haki yake ya kikatiba badala ya kutegemea wengine wawapigie kura. Nyamwese...
  5. Mafyangula

    GE2025 Samia: Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, vimejipanga vyema, na tumevijengea uwezo wa kutosha

    Bi mkubwa anaendelea kuwatisha watanzania ambao wapo tayari kutetea nchi yao. Ila hivi vitisho vina mwisho wake kwa wale wote wanajiona ni bora zaidi kuliko watanzania wengine. ========== "Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ndani ya Taifa hili vimejipanga vyema, tumevijengea uwezo wa...
  6. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Polisi Katavi wahimiza wanafunzi kuwa wazalendo na kutojihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani

    Polisi wameamua! Kila kundi walipa semina ya bure kabisa katika kipindi hichi cha uchaguzi. Yani uchaguzi wa mwaka huu umekuwa kama vita maana hizi elimu ni kama vile kuna vita vinakuja hivi ============== Wanafunzi Shule ya Sekondari Mazwe Kata ya Ipwaga Wilaya ya Tanganyika Mkoa wa Katavi...
  7. Mafyangula

    GE2025 Polisi Tarime: Bodaboda dumisheni na kuilinda amani ya nchi hii

    Miongoni mwa kundi lililopewa elimu na jeshi la polisi kipindi hichi cha uchaguzi basi ni bodaboda. Yani sijuwi wameona kwamba ni rahisi kutumika na wanasiasa au vipi? ================= Afisa Mnadhimu Mkoa wa Polisi Tarime Rorya Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Joswam Kaijanante amewataka...
  8. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Victoria Shembilu: Wananchi tuzeni, kulinda na kuimarisha amani na utulivu katika maeneo yao

    Wananchi wa Kijiji cha Minazi Mikinda, Kata ya Ruvu Stesheni, Wilaya ya Kipolisi Mlandizi, Mkoa wa Pwani wamekumbushwa kutunza, kulinda na kuimarisha amani na utulivu katika maeneo yao. Akizungumza na wananchi kijijini hapo, Oktoba 21, 2025 Kaimu Mkuu wa Polisi Jamii, Wilaya ya Kipolisi...
  9. Mafyangula

    GE2025 Kamanda Mchunguzi: Wananchi dumisheni umoja, amani na utulivu katika kipindi hiki cha kuelekea siku ya kupiga kura

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Almachius Mchunguzi, ametoa wito kwa wananchi wa Mkoa wa Tanga kuendelea kudumisha umoja, amani na utulivu katika kipindi hiki cha kuelekea siku ya kupiga kura. Ametoa wito huo leo tarehe 21 Oktoba 2025 kupitia kipindi maalum...
  10. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Maafisa usafirishaji watakiwa kudumisha amani wakati na baada ya uchaguzi

    Wasafirishaji abiria wanaotumia pikipiki maarufu Bodaboda na Bajaji Mkoani Katavi wametakiwa kuwa mstari mbele kudumisha amani na kamwe wasiruhusu kushawishiwa kujiingiza katika vitendo vya uvunjifu wa amani. Wito huo umetolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi Kamishna Msaidizi Mwandamizi...
  11. Mafyangula

    GE2025 Bodaboda, bajaji waaswa kuwa mabalozi wa amani na kupinga ukatili

    Madereva wa bodaboda na bajaji wa Wilaya na Mkoa wa Singida wametakiwa kuwa mstari wa mbele kuhubiri amani na utulivu, hasa kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025, kwa kutambua kuwa shughuli zao hutegemea uwepo wa usalama na utulivu nchini. Wito huo umetolewa Oktoba 17, 2025 na Mkuu wa...
  12. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Polisi mbona mnatishia wananchi na hayo magari yenu kama mpo vitani? Au ndio dawa imewaingia kuelekea Oktoba 29?

    Mungu akunyime chochote ila si akili! Sasa hapa wanawatishia wapiga kura watakosa hata wale wa kuzuga! Walioamua kuandamana hawawezi kutishiwa na magari haya maana hata Nepal waliyatoa ila hayakuwa na msaada! Hii dalili nzuri - wamechanganyikiwa!
  13. Mafyangula

    GE2025 Kamanda Suleiman: Vurugu na machafuko hayatatui migogoro

    Kuna wakati kama haki hakuna na wanapaswa kutoa haki awazitoi hizo haki ni lazima itumike nguvu ya ziada ili haki ipatikane. Kwahiyo msiseme ni machafuko ni katika harakati za kutafuta haki na usawa. ==================== Wazazi Mkoani Mtwara wametakiwa kuzungumza na vijana wao juu ya umuhimu wa...
  14. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Polisi: Wananchi dumisheni amani wakati na baada ya uchaguzi

    Jeshi la Polisi limewahimiza wananchi wote wenye sifa na waliojiandikisha kupiga kura kujitokeza kwa wingi kushiriki uchaguzi kwa amani na utulivu, kisha kurejea majumbani mwao kuendelea na shughuli zao za kijamii na kiuchumi. Kauli hiyo imetolewa Oktoba 22, 2025 na Maafisa wa Pllisi kutoka...
  15. Genius Man

    GE2025 Tutazuia uchaguzi fake kwa nguvu nyingi, kuzuia uchaguzi fake sio kosa ni ushujaa

    Tutazuia uchaguzi fake kwa nguvu nyingi, kuzuia uchaguzi fake sio kosa ni ushujaa, Wahuni wasifikiri sisi tutaenda kuremba remba, tutakula nao sahani moja jiwe kwa jiwe mpaka mabadiliko. Hakuna uchaguzi utakao fanyika
  16. Mafyangula

    GE2025 CP Kombo: Asakri fanyeni kazi kwa weledi na kuhakikisha usalama na amani wakati wa zoezi la upigaji kura

    Kamanda umetoa hoja nzuri. Ila naona utakuwa mgumu kutekelezeka maana mnaendeshwa kwa mihemko na mkifika kwa wanachi mnabadilika na kutoenyesha uweledi wa kutupiga na kutuumiza. ================== Kamishna wa Polisi Zanzibar CP KOMBO KHAMIS KOMBO amekutana na kuzungumza na Askari wa vyeo...
  17. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Bodaboda watakiwa kulinda Amani Ili kuendeleza shughuli zao kwa Uhuru na Ufanisi

    Kama mnavyowapa elimu hii kipindi cha uchaguzi kwa nguvu kubwa, basi mafanye hivyo pia kuwapa elimu ya usalama barabarani katika kufuata sheria. Maana kila siku visa vya bodaboda kupata ajali vimekuwa vingi. =================== Waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda wametakiwa kutunza na...
  18. Mafyangula

    GE2025 Jeshi la polisi, wadau watoa elimu ya usimamizi wa uchauguzi kwa vyombo vingine vya ulinzi Manyara

    Kipindi hiki mafunzo yamekuwa mengi sana, ujakaa sawa unasikia polisi na wanajeshi wamefanya mazoezi ya pamoja. Hizi bwebwe zote za nini jamani? =================== Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na maafisa uchaguzi jimbo la Babati Mjini na Vijiji Mkoani humo Oktoba 21, 2025...
  19. Mafyangula

    GE2025 Simon Ngilisho: Nitajenga masoko ya kisasa yatakayokidhi mahitaji ya wafanyabiashara na wananchi

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Makini, Simon Ngilisho, ameendelea na kampeni zake za kuomba kura kwa wananchi wa jimbo hilo huku akiahidi kuboresha miundombinu ya biashara na usafiri ndani ya jiji la Arusha. Akizungumza leo Oktoba 22, 2025, katika eneo la Stendi Kuu...
  20. Meja Jenerali Isamuhyo

    GE2025 Kwa mara ya kwanza, wagombea ubunge wanaacha majimbo yao kwenda kumnadi Rais mikoa mingine, michezo hii

    Mara unaona Makonda katoka Arusha kaenda kumnadi mgombea wake wa Urais mikoa ya kanda ya ziwa na Dar es Salaam. Jimboni kwake hayupo kumpiga kampeni🤣 Nape akaacha kujinadi huko jimboni Mtama akaenda zake mikoa ya Kaskazini kumnadi mgombea wake. Jumaa Awesu akaacha kujipigia promo jimboni kwake...
Back
Top Bottom