uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kamanda wa Polisi Dodoma: Mtu atakayefanya uhalifu au kutotii sheria bila shuruti siku ya kupiga kura atachukuliwa hatua

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, ACP Gallus Hyera amesema kuwa Jeshi la Polisi mkoani humo limejipanga kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa amani kama ulivyopangwa kwa mujibu wa sheria. Akizungumza na waandishi wa habari leo, ACP Gallus ameonya kwa yeyote atakayefanya uhalifu au kutotii sheria...
  2. figganigga

    JamiiForums Tanzania GE2025 INEC: Walipoteza vitambulisho wa kura, watatumia leseni ya udereva, NIDA na Pasipoti

    Nimeshangaa sana Hiki ni nini? Eti hata kama huna kadi ya mpiga kura usihofu. Mtu utaweza kupiga kura yya Urais 2025 kwa kutumia leseni ya udereva na namba ya nida🤣 Kulikuwa na haja gabu ya kujiandikisha? Nchi yetu imeshanajisiwa.. Mtume Mohammed alishatoa maelekezo kuhusu nani anafaa kuwa...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kauli ya Samia kusema hakuna atakaeandamana, na kusisitiza kwa kusema mimi ni Amiri Jeshi Mkuu wa nchi, imezidi kuwapa nguvu polisi kufanya maovu

    Kauli aliyoitoa leo Samia Oktoba 21, 2025 pale Kinondoni yakusema Mimi ndio Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi, Oktoba 29 maandamano pekee yatakayotokea ni ya kwenda kupiga kura, naona imewapa viburi zaidi polisi na vyombo vya ulizi na usalama kwa ujumla. Yani kauli yake ni oda kubwa kwamba kila...
  4. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Kuanzia Januari, 2026 kutakuwa na mageuzi makubwa ya utoaji wa huduma kwenye mwendokasi

    Samia anapenda kupita na upepo wa jambo fulani ili azipate hizo kura. ================ "Tukapomaliza barabara zote, ni fursa muhimu kwa sekta binafsi kupata kazi ya kubeba abiria na kurudisha, kazi hiyo kwa kiasi hatutaki kuifanya sisi serikali bali sekta binafsi wataingiza mabasi yao na...
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wakili wa Mpina: Mungu pekee ndio ahojiwi, lakini wengi wote lazima tuwahoji

    Mawakili wa Mpina leo wamechochea moto tena! Ni kweli kabisa kwanini watu wengine wasiojiwe na wanadai wenyewe Tanzania ni nchi inayongozwa Kidomokrasia lakini kumbe inaendeleshwa kimabavu. Lakini Mawakili hao wamesema kwamba hata mchakato ulifanyika kumuondoa Luhaga Mpina kwenue kinyanganyiro...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ukifeli kujipanga, jiandae kufeli, Hayo maandamano ya 29 Oktoba yatafeli sana, hadi sasa maandamano hayana magroup rasmi, sehemu za makutano, n.k

    Lets be real and logical, kinavunwa kilichopandwa, matokeo bila planning ni sawa na kupanda mbegu ya maboga usubiri mavuno ya mchele, Hadi sasa nje ya Instagram, X na matangazo katika kuta za mitaani yaliyowekwa usiku wa manane, kuna cha ziada ? Hakuna magroup rasmi ya kujipanga katika ngazi...
  7. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwenezi CCM Arusha, Saipulani Ramsey: Uchaguzi ni jambo la kupita, asijitokeze mwanasiasa yeyote kuwaambia bodaboda muandamane

    Mwenezi wa Itikadi, Siasa na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, Saipulani Ramsey, amekutana na zaidi ya waendesha bodaboda 300 jijini Arusha na kuwasihi kutoshiriki maandamano yanayodaiwa kuratibiwa kupitia mitandao ya kijamii tarehe 29 Oktoba, akisisitiza umuhimu wa kulinda...
  8. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polisi Njombe: Wananchi wajitokeze Oktoba 29 kupiga kura bila hofu yeyote, tumejipanga vizuri kwa atakayekiuka sheria

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe limewataka Wananchi wa Mkoa wa Njombe kuwa huru na kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe Oktoba 29,2025 bila hofu yoyote Akizungumza na Vyombo vya habari Oktoba 20,205 Kamanda "amesema mtu yoyote ambaye atakikuka sheria za nchi ya Tanzania Jeshi la Polisi...
  9. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ezekiel Wenje: Wapinzani wamechelewasha Katiba Mpya

    Kada wa wa zamani wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA Ezekia Wenje amesema kuwa wapinzani wa ndio waliochelesha upatikanaji wa katiba mpya, wenje ameyasema hayo wakati akizungumza katika kampeni za chama cha mapinduzi CCM leo Oktoba 21, 2025 Jijini Dar Es Salaam “Waliochelewesha...
  10. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Kila kitu kipo ni kuheshimisha utu wa Mtanzania, sina uchungu nabeba matusi yote yanayotolewa

    Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema matusi anayotukanwa anayabeba kwa niaba ya wananchi. Pia, amesema maandamano yatakayokuwepo ni ya kwenda kupiga kura na siyo maandamano mengine. Samia amesema hayo leo Oktoba 21, 2025 kwenye mwendelezo wa kampeni...
  11. Keynez

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mange Kimambi anaweza kuwa ni "Double agent" anayewasaidia anaowasema 'vibaya' kila siku

    Wiki kadhaa zilizopita niliwataja Mange Kimambi, Humphrey Polepole na Luhaga Mpina kama watu ambao sijaamini dhamira ya maneno na matendo yao ya kisiasa. Haya maneno niliyasema siku kadhaa kabla taarifa za kupotea kwa Polepole hazijatoka. Niliwahi kusema master plan ya siasa za CCM ni kuwa...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Mimi ndio Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi, Oktoba 29 maandamano pekee yatakayotokea ni ya kwenda kupiga kura

    Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wafuasi wa chama hiko kujitokeza kupiga kura siku ya Oktoba 29, 2025, na kuwahakikishia kuwa hakutakuwa na maandamano zaidi ya maandamano ya kwenda vituoni kupiga kura. "Niwahakikishie tarehe 29...
  13. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tarimba: Kiongozi wa nchi lazima aheshimiwe, asidharauliwe, sisi tupo kumlinda

    Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni kupitia CCM, Abbas Tarimba amesema hawezi kukaa kimya atakapoona kuna watu wanamkosea heshima kiongozi wa nchi. Soma: Tarimba: Wananchi ndio wenye mamlaka yakutoa viongozi Tarimba ametoa kauli hiyo leo Oktoba 21, kwenye mkutano wa kampeni za mgombea urais wa...
  14. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nondo: Kumekuwa na mfululizo wa Matukio ya utekaji lakini serikali na bunge ipo kimya, hakuna uchunguzi

    Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo Taifa, ambaye pia ni Meneja wa Kampeni wa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Zitto Kabwe, Abdul Nondo, amesema miaka mitano iliyopita ya uongozi nchini imeshuhudia ongezeko la matukio ya utekaji watu bila hatua madhubuti kuchukuliwa, huku...
  15. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limeufungia wimbo wa TEREMSHA BUNDUKI wa Roma Mkatoliki

    Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limeufungia wimbo mpya wa msanii wa Hip Hop, Roma Mkatoliki, uliopewa jinala “Teremsha Bunduki”, ikiwa ni siku chache tangu ulipotoka rasmi. Taarifa ya BASATA ya leo Oktoba 21, 2025, imesema wimbo huo umevunja kanuni za Baraza, na kwa hivyo umezuiliwa...
  16. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia anachukizwa na shida za wananchi na umaskini lakini hachukizwi na utekaji wa raia unaoendelea

    Mgombea wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Kibamba Mkoani Dar Es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Angellah Kairuki amesema katika kipindi kifupi alichofanya kazi chini ya Rais wa awamu ya sita na Mgombea Urais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amekuwa shahidi wa huruma, imani na kujali kwa...
  17. Matovu Godfrey

    JamiiForums Tanzania GE2025 Amnesty International yaitaka Serikali ya Tanzania kusitisha ukandamizaji dhidi ya Upinzani Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025

    Tanzania inaamua Rais wa Tanzania Suluhu ashtakiwa kwa kuwafungia washindani nje ya kinyang'anyiro siku chache kabla ya uchaguzi ------------- Shirika la Kimataifa la Amnesty International limetoa taarifa ikieleza kuwa mamlaka za Tanzania zimeongeza ukandamizaji dhidi ya wapinzani wa kisiasa...
  18. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hivi wanaelewa hata maana ya maandamano, 'Malaigwanani wakemea maandamano ya Oktoba 29'

    Viongozi wa jamii ya Kimaasai nchini Tanzania, maarufu kama Malaigwanani, wametoa tamko rasmi la kuunga mkono kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025, huku wakipinga vikali wito wa maandamano unaosambazwa katika maeneo mbalimbali nchini. Tamko hilo limetolewa katika eneo la Donyomorwak...
  19. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania GE2025 Jeshi la polisi Mbeya wafanya doria ya miguu na Mbwa, maeneo yote ya mkoa

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Benjamin Kuzaga Oktoba 20, 2025 amewaongoza Maafisa, Wakaguzi na Askari wa vyeo mbalimbali kufanya doria ya Magari, Miguu na Mbwa wa Polisi kuzunguka maeneo mbalimbali ya Mkoa huo. Akizungumza mara baada ya doria...
  20. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hemed Suleiman: Wananchi chagueni CCM kwa maendeleo

    Mgombea wa Uwakilishi Jimbo la Kiwani, Hemed Suleiman Abdulla, amesema wakati umefika kwa wananchi wa Kiwani kuchagua viongozi wanaoweza kuwatumikia na kuwaletea maendeleo jimboni humo. Ameyasema hayo kwa nyakati tofauti alipozungumza na kuomba kura kwa wananchi wa vijiji vya Kendwa...
Back
Top Bottom