uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    GE2025 Nondo: Kumekuwa na mfululizo wa Matukio ya utekaji lakini serikali na bunge ipo kimya, hakuna uchunguzi

    Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo Taifa, ambaye pia ni Meneja wa Kampeni wa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Zitto Kabwe, Abdul Nondo, amesema miaka mitano iliyopita ya uongozi nchini imeshuhudia ongezeko la matukio ya utekaji watu bila hatua madhubuti kuchukuliwa, huku...
  2. DuaZaMama

    GE2025 Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limeufungia wimbo wa TEREMSHA BUNDUKI wa Roma Mkatoliki

    Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limeufungia wimbo mpya wa msanii wa Hip Hop, Roma Mkatoliki, uliopewa jinala “Teremsha Bunduki”, ikiwa ni siku chache tangu ulipotoka rasmi. Taarifa ya BASATA ya leo Oktoba 21, 2025, imesema wimbo huo umevunja kanuni za Baraza, na kwa hivyo umezuiliwa...
  3. DuaZaMama

    GE2025 Samia anachukizwa na shida za wananchi na umaskini lakini hachukizwi na utekaji wa raia unaoendelea

    Mgombea wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Kibamba Mkoani Dar Es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Angellah Kairuki amesema katika kipindi kifupi alichofanya kazi chini ya Rais wa awamu ya sita na Mgombea Urais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amekuwa shahidi wa huruma, imani na kujali kwa...
  4. Matovu Godfrey

    GE2025 Amnesty International yaitaka Serikali ya Tanzania kusitisha ukandamizaji dhidi ya Upinzani Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025

    Tanzania inaamua Rais wa Tanzania Suluhu ashtakiwa kwa kuwafungia washindani nje ya kinyang'anyiro siku chache kabla ya uchaguzi ------------- Shirika la Kimataifa la Amnesty International limetoa taarifa ikieleza kuwa mamlaka za Tanzania zimeongeza ukandamizaji dhidi ya wapinzani wa kisiasa...
  5. Its Tesha

    GE2025 Hivi wanaelewa hata maana ya maandamano, 'Malaigwanani wakemea maandamano ya Oktoba 29'

    Viongozi wa jamii ya Kimaasai nchini Tanzania, maarufu kama Malaigwanani, wametoa tamko rasmi la kuunga mkono kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025, huku wakipinga vikali wito wa maandamano unaosambazwa katika maeneo mbalimbali nchini. Tamko hilo limetolewa katika eneo la Donyomorwak...
  6. Its Tesha

    GE2025 Jeshi la polisi Mbeya wafanya doria ya miguu na Mbwa, maeneo yote ya mkoa

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Benjamin Kuzaga Oktoba 20, 2025 amewaongoza Maafisa, Wakaguzi na Askari wa vyeo mbalimbali kufanya doria ya Magari, Miguu na Mbwa wa Polisi kuzunguka maeneo mbalimbali ya Mkoa huo. Akizungumza mara baada ya doria...
  7. PAYE

    GE2025 Hemed Suleiman: Wananchi chagueni CCM kwa maendeleo

    Mgombea wa Uwakilishi Jimbo la Kiwani, Hemed Suleiman Abdulla, amesema wakati umefika kwa wananchi wa Kiwani kuchagua viongozi wanaoweza kuwatumikia na kuwaletea maendeleo jimboni humo. Ameyasema hayo kwa nyakati tofauti alipozungumza na kuomba kura kwa wananchi wa vijiji vya Kendwa...
  8. W

    GE2025 Malaigwanan Kilimanjaro: Tunalaani wote wanaohamasisha maandamano

    Malaigwanan Kilimanjaro waahidi kuwachagua walinda amani na mshikamano wa Taifa_ Viongozi wa Jamii ya Kimasai nchini Tanzania maarufu kama (Malaigwanan) wametoa tamko lao rasmi kwa nchi nzima, la kuunga Mkono kufanyika kwa uchaguzi Mkuu wa Tanzania wa Oktoba 29, 2025, wakilaani uwepo wa hamasa...
  9. R

    GE2025 Sheikh: Nawasomea dua Mange Kimambi na Recho na hamtowasikia wakimtukana tena Rais Samia

    Wakuu, Sheikh Sharifu Firdaus Al qadiri anatema cheche, lakini ajabu ameshindwa kukemea namna ambavyo Serikali imekaa kimya kwa Matukio maovu ya utekaji na watu kuuliwa pamoja na ufisadi unaofichuliwa na wakina Mange dhidi ya Serikali ya huyo Samia, yeye amekazia matusi na Maadii ya Kitanzania...
  10. R

    GE2025 Kamanda wa Polisi Tanga: Anayefikiri kuweza kuvunja amani asijidanganye na asijaribu, Tutawashughulikia

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Almachius Mchunguzi, amewahimiza wananchi wa Mkoa wa Tanga kujitokeza kwa wingi kushiriki katika uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani utakaofanyika tarehe 29 Oktoba 2025, akibainisha kuwa hakuna tishio lolote la amani...
  11. PAYE

    GE2025 Mgombea Urais ACT Zanzibar, Othman Masoud asema ushindi upo katika Kura

    Mgombea Urais wa ACT Wazalendo ahitimisha Kampeni Pemba Kwa hamasa na shangwe Mgombea Urais wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, Oktoba 20, 2025 ameanza wiki ya mwisho ya kuhitimisha rasmi kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu wa tarehe 29 Oktoba. Mamia ya wanachama, wapenzi na viongozi wa...
  12. DuaZaMama

    GE2025 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita Awataka Askari Kuimarisha Uadilifu na Usalama Kabla ya Uchaguzi Mkuu

    Picha mbalimbali zikimuonesha Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, SACP Safia Jongo, akikagua gwaride na kuzungumza na Maafisa, Wakaguzi na Askari wa vyeo mbalimbali katika viwanja vya Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) Geita, Oktoba 20, 2025. Ukaguzi huo ni sehemu ya tathmini ya mifumo ya utendaji...
  13. Mafyangula

    GE2025 RC Kagera: Kuna watu wanasema nasapoti ACT Wazalendo niseme wasiwadanganye. Nimezaliwa CCM nitafia CCM

    Mimi kaniacha hoi baada ya kusema hadi mwanae kama akihama chama cha CCM na kwenda upinzani basi yeye hatohusika naye! Yani kisa chama kweli kabisa unaikataa damu yako? ================ MKUU wa Mkoa wa Kagera, Hajat Fatma Mwassa, amekanusha madai ya kushiriki siasa katika Jimbo la Bukoba...
  14. DuaZaMama

    GE2025 Wakati huu wa uchaguzi wanaitwa maafisa usafirishaji ila baada ya uchaguzi madereva Bajaji

    Mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Mhe. Hassan Bomboko amefanya ziara ya kuwatembelea na kuzungumza na maafisa wasafirishaji (waendesha bodaboda na Bajaj) Wilayani humo na baadae alipata nafasi ya kuhudhuria mkutano mkuu wa Umoja wa Bajaj uliohudhuriwa na zaidi ya madereva bajaji 650...
  15. Mafyangula

    GE2025 INEC tutamtangaza mshindi wa kiti cha Urais ndani saa 72

    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imesema itamtangaza mshindi wa kiti cha Urais ndani ya muda usiozidi saa 72, baada ya zoezi la upigaji wa kura kumalizika Oktoba 29 mwaka huu, na washindi wa nafasi ya Ubunge na Udiwani, wakitarajiwa kutangazwa wakati wowote baada ya kujumlisha idadi ya...
  16. L

    Hakuna Mtanzania Hata mmoja atakayeandamana hata kuzunguka Uwanja wake tu. Wote watakwenda kumpigia kura Mama Samia

    Ndugu zangu Watanzania, Napenda kuwaambieni ya Kuwa hakuna Mtanzania hata mmoja ambaye ataandamana hata kuzunguka tu uwanja wake au sebuleni kwake au chumbani kwake au nyumbani kwake siku ya uchaguzi. Watanzania wote wamejiandaa kikamilifu kabisa kushiriki uchaguzi . Na kikubwa zaidi ni shauku...
  17. The Burning Spear

    GE2025 Kwa nini sitapiga kura Octoba 29 hizi hapa ndiyo sababu zangu

    GT Ivi unaanzaje kupoteza mda kwenda kumchagua Samia.Wenye mtindio wa ubongo pekee ndiyo watapiga kura 1.Kauza Bandari na Rasilimali zingine nyingi tu 2.Kafukuza wamasai Ngorongoro kwa uonevu mkubwa. 3. Deni la Taifa Tr107 bila maendleo ya kuonekana 4. Muuaji na mtesaji.Mkubwa huyu hana...
  18. Mafyangula

    GE2025 Steve Nyerere: Watanzania wamenituma, wameniambia Nyerere tunatoka kwenda kupiga kura

    Jamani njooni msikilizeni mzee wa protokali Steve Nyerere! Hapo kashapata posho yake ya kifisadi basi ananguvu zote za kutanua mdomo wake =============== Watanzania wamenituma, wameniambia Nyerere tunatoka kwenda kupiga kura tunatoka kwenda kutiki, wamama wa Tanzania wamenitumia meseji Nyerere...
  19. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Rais Samia: Serikali Kuboresha Vijiji kupunguza wimbi la Vijana kukimbilia Mijini

    Kwahiyo ukiboresha maeneo ya vijiji ndio suluhu la vijana kuyasaka maisha mijini? Hizo ni sera za uongo hakuna kitachofanikiwa! Na katika utafuta wa maisha ni maono ya mtu tu ndio maana kuna wanaotoka mjini kwenda vijijini na wakafanikiwa so kila mtu anauhuru wa kutafuta maisha popote pale...
  20. Idugunde

    GE2025 Chama makini kinachojali wananchi kisingetumka gharama kubwa namna kwenye Uchaguzi usio na upinzani

    Maendeleo ya Tanzania bado ni duni sana. Shule nyingi vijijini zimechoka hazina vyoo, madarasa,. Zahanati nyingi vijijini zimechoka. Alafu mgombea wa Chama tawala anazunguka na wasanii, mabasi 200, wafuasi na chawa wa chama zaidi ya 10000 kwa gharama kubwa. Kwa nini hizo pesa zisitumike kwa...
Back
Top Bottom