uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia: Kwa sasa Umeme ni Saa 24 Dar es Salaam

    Mgombea wa uraisi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan amesema awali katika Mkoa wa Dar es Salaam kulikuwa kunachangamoto ya umeme lakini kutokana na kazi kubwa iliyofanyika, hadi kufikia sasa katika mkoa huo nishati ya umeme inapatikana kwa saa 24 “Si muda mrefu uliopita...
  2. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Makonda : Mlinde Amani mkiwa nchi kavu na Baharini

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, ametoa wito kwa wavuvi wa samaki katika kata ya Kivukoni, jijini Dar es Salaam, kuendelea kulinda amani ya nchi na kutokubali kushawishiwa kuvuruga hali hiyo ya utulivu iliyopo Nchini. Akizungumza na wavuvi...
  3. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wagombea Urais wa CUF na CCK ana kwa ana

    Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Gombo Samandito Gombo alipokutana ana kwa ana na mgombea urais kupitia chama cha Kijamii CCK David Daud Mwaijojele, walipokutana ana kwa ana na kujibu nai kati yao atashinda urais?
  4. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 SACP Safia Jongo: Vyombo vya dola vimejipanga kuhakikisha usalama wa wapiga kura Oktoba 29

    Vyombo vya ulinzi na usalama mkoani Geita vimeendelea kuimarisha ulinzi na usalama ili kuhakikisha amani, usalama na utulivu kabla, wakati na baada ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani utakaofanyika Oktoba 29, 2025. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya...
  5. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu: Sitataka wabunge machawa wa kunisifia

    Mgombea urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, amesema akiingia Ikulu atarejesha hadhi ya Bunge madhubuti lenye hoja, usimamizi na uwajibishaji wa serikali, badala ya kuwa la kusifia. Amesema hataki kuona bunge la “machawa” wanaomsifia rais muda wote badala ya kuikosoa...
  6. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea Udiwani kupitia Chama cha National League for Democracy (NLD) adaiwa kutoweka

    Mgombea Udiwani kupitia Chama cha National League for Democracy (NLD) katika Kata ya Kinyerezi, Halmashauri ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, Seleman Shimbi, anadaiwa kutoweka na hajulikani alipo kwa zaidi ya siku sita sasa. Katibu Mkuu wa chama hicho, ambaye pia ni Mgombea Urais, Doyo...
  7. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samandito: Rushwa yaiumiza CUF, wapo waliojitoa baada ya kurubuniwa fedha

    Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Gombo Samandito, amesema kuwa tatizo la rushwa limekikumba chama chake baada ya baadhi ya wagombea na mawakala kujitoa dakika za mwisho, hali inayotishia uhalali wa ushindani wa kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29 mwaka huu...
  8. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Aden Mayala: Nimeishi CHADEMA kwa Manyanyaso, nimevutiwa na ilani ya CCM, hakuna Maandamano tukapige kura

    Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kanda ya Kusini na Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Aden Mayala Oktoba 22, 2025 alijiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM), akisema amechoshwa na manyanyaso ndani ya kilichokuwa chama chake Akizungumza Oktoba 22, 2025 katika...
  9. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Viongozi wa dini Kaskazini waonyana kuelekea uchaguzi mkuu

    Zikiwa zimebaki siku sita kufanyika uchaguzi mkuu, zaidi ya viongozi 200 wa dini wa mikoa ya kanda ya kaskazini wameonyana, asitokee wa kuvuruga amani ya nchi. Akizungumza Oktoba 22, 2025 katika semina ya amani iliyofanyika Moshi Mjini, ikiwahusisha viongozi wa dini mbalimbali wa mikoa ya...
  10. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 SP Raphael Ganchira: Amani inapopotea, waathirika wakuu ni watoto, wanawake, wazee na Watu wenye ulemavu

    Mratibu wa Polisi Jamii Wilaya ya Ukerewe, Mkoani Mwanza, SP Raphael Ganchira, ametoa elimu kwa wananchi wa Kata ya Bwilo kuhusu umuhimu wa kutunza amani. Akizungumza katika mkutano huo uliofanyika Oktoba 21, 2025, katika kisiwa cha Bwilo, SP Ganchira alisema lengo la elimu hiyo ni kuhamasisha...
  11. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polisi na wanajeshi wapinga tizi zito Kinondoni

    Mkoa wa Kipolisi Kinondoni kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama vilivyopo ndani ya Mkoa huo umefanya mazoezi ya pamoja Oktoba 3, 2025. Mazoezi hayo yaliyofanyika katika viwanja vya Jeshi la Wananchi Mwenge – Kikosi cha Bendi, yalihusisha matembezi mafupi (route match) pamoja na...
  12. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Bodaboda, Bajaji waaswa kuwa mabalozi wa amani na kupinga ukatili

    Madereva wa bodaboda na bajaji wa Wilaya na Mkoa wa Singida wametakiwa kuwa mstari wa mbele kuhubiri amani na utulivu, hasa kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025, kwa kutambua kuwa shughuli zao hutegemea uwepo wa usalama na utulivu nchini. Wito huo umetolewa Oktoba 17, 2025 na Mkuu wa...
  13. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wavuvi mwahango waaswa kudumisha amani na kuepuka vikundi vya uchochezi

    Akizungumza na wavuvi wa Bwawa la Tambuko katika Kijiji cha Mwahango, Kata ya Ilongero, Oktoba 17, 2025, INSP Asajile Mwatujobe aliwahimiza kudumisha utulivu na amani katika maeneo yao. Amesisitiza umuhimu wa kuepuka kushiriki au kuunga mkono vikundi vyenye malengo ya uchochezi, hasa katika...
  14. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mkoa wa Kipolisi Kinondoni wafanya mazoezi ya pamoja na Vyombo vya Ulinzi na Usalama

    Mkoa wa Kipolisi Kinondoni kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama vilivyopo ndani ya Mkoa huo wamefanya mazoezi ya pamoja Oktoba 04, 2025 Ikiwa ni pamoja na matembezi mafupi (Route match) na mazoezi mbalimbali ya mwili, katika viwanja vya Jeshi la Qananchi Mwenge Kikosi cha Bendi.
  15. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nchi yoyote inayotaka kupiga hatua kimaendeleo lazima iwe na amani, utulivu na usalama

    Mkuu wa Dawati la Jinsia Mkoa wa Singida, Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP) Theresia Mdendemi, amesema kwamba maendeleo ya nchi hayawezi kufikiwa bila uwepo wa amani, utulivu na usalama. Alieleza kuwa hali hiyo huwapa wananchi nafasi ya kufanya shughuli zao za kijamii na kiuchumi bila bugudha...
  16. R

    JamiiForums Tanzania Simba SC wamshukuru Rais Samia kwa kitita cha Milioni 15

    Kupitia ukurasa wa Mtandao wa Instagram ya timu ya Simba sports club wameandika kumshukuru Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwapa kitita cha Millioni 15 kama zawadi kwa mabao matatu waliyofunga timu ya Nsingizini Hotspurs ya Eswatini "Asante Mhe. Rais...
  17. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polisi: Tumieni fursa mlizonazo kulinda amani ya nchi

    Hayo yamesemwa na Watendaji wa Dawati la Jinsia na Watoto wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro Stesheni Sajenti Mkunde pamoja na Koplo Asumta wakati wakitoa elimu kwa wafanyabiashara wa soko la nguo za mitumba wilayani humo ambapo wamewataka kukumbushana juu ya umuhimu wa amani. Sambamba na...
  18. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Bodaboda Tarime wahimizwa kudumisha amani

    Afisa Mnadhimu Mkoa wa Kipolisi Tarime Rorya Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Joswam Kaijanante amewataka maafisa usafirishaji maarufu kama Bodaboda wa wilayani Tarime kudumisha na kuilinda amani ya nchi hii. Ametoa wito huoOktoba 17, 2025 katika kikao cha Jeshi la Polisi Tarime Rorya na...
  19. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polisi: Msitumike kama chanzo cha uchochezi na uvunjivu wa amani wa taifa

    Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani wa Wilaya ya Ileje, Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP) Kisbert Kapondo, ametoa elimu kwa waendesha bodaboda wa Kata ya Itumba Wilaya ya Ileje Mkoani Songwe akiwataka kuepuka kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani. Akizungumza Oktoba 19, 2025 na...
  20. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Viongozi wa Sungusungu watakiwa kuwaongoza vijana kulinda amani

    Viongozi wa Sungusungu na wazee maarufu Kitongoji cha Maimba Kata ya Chamalendi wametakiwa kuwa mfano wa kuigwa katika kuwaongoza vijana kulinda amani na kuachana na vitendo vya uchochezi vinavyopelelea uvunjifu wa amani. Wito huo umetolewa Octoba 19, 2025 na Polisi Kata ya Chamalendi Mkaguzi...
Back
Top Bottom