uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    GE2025 Mgombea Urais NLD, Doyo Hassan aahidi kuondoa mfumo wa Kikokotoo

    Mgombea urais kupitia Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo,alieleza mfumo wa sasa unaotumika kuwapangia wastaafu na watumishi wa umma matumizi ya fedha zao baada ya kustaafu ni dharau na unaowafanyia wastaafu uonevu Akizungumza Oktoba 22,2025 na wananchi wa Wilaya ya Kigamboni kwenye mkutano wa...
  2. R

    GE2025 Orodha za majina ya wapiga kura zabandikwa vituoni wananchi kuhakiki

    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeanza kubandika majina ya wapiga kura walioandikishwa na kuwahimiza wananchi kuhakikisha taarifa zao kupitia kwenye vituo walivyoandikishwa. Chanzo: Azam news
  3. DuaZaMama

    GE2025 DC Nzega: Hatutamvumilia atakayeleta Chokochoko Oktoba 29

    Mkuu wa Wilaya ya Nzega Mkoani Tabora, Naitapwaki Tukai amekutana na Viongozi wa makundi mbalimbali ya Viongozi wa Dini, Mila, Wafanyabiashara akiwaomba watumie nafasi zao kuwahamasisha Wananchi kushiriki uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, kwa amani na utulivu. Naitapwaki, amesema hayo wakati wa kikao...
  4. PAYE

    GE2025 Kimati: Najivua uanachama wa CHAUMMA, narudi CHADEMA

    “NARUDI ZANGU CHADEMA” Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Jimbo la Arusha Mjini, Amani Kimati, ametangaza kujivua rasmi uanachama wa chama hicho na kuhamia CHADEMA, chama ambacho awali alikihudumia katika nyadhifa mbalimbali ikiwemo kuwa Katibu Mwenezi wa Kata ya...
  5. R

    Video: Ukitaka kwenda kutiki Oktoba 29 hiki ndo kitakachokukuta

    Wakuu, Oktoba 29 tunatoka kuanza kazi na hawa jamaa wa baiskeli na tisheti za buku, ni wakati wa kukomboa nchi kama hawajielewi tutawaelesha a
  6. DuaZaMama

    GE2025 Kesi ya Lissu kuendelea leo Oktoba 24, shahidi wa nne wa jamhuri asubiriwa kwa hamu

    Shahidi wa Tatu (3) wa Jamhuri katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu Mkaguzi wa Jeshi la Polisi Samwel Elibariki Kaaya amemaliza kutoa ushahidi wake hapo jana Leo, Ijumaa Oktoba 24.2025, kesi hiyo inayosikilizwa mfululizo kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania...
  7. DuaZaMama

    GE2025 UDSM yailaani UDASA kwa kukosa “Maadili ya Umma” baada ya kulaani uvunjifu wa haki nchini

    Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ni taasisi ya umma, inayozingatia misingi ya kitaaluma, katiba, sheria za nchi, na maadili ya umma, na kujikita katika mijadala yenye tija kwa maendeleo endelevu na mshikamano wa kitaifa. Tunatoa wito kwa Watanzania wote wenye sifa za kisheria kushiriki kikamilifu...
  8. Mindyou

    PreGE2025 Rais Samia: Waganga wa Kienyeji, mgombea akija na fungu, wewe kula; lakini…

    Wakuu, Akizungumza leo kwenye Tamasha la Utamaduni la Bulabo la Kanda ya ZIWA, leo tarehe 21 Juni, 2025, Rais Samia amesema: "Ombi langu hasa kwa viongozi hasa wa kimila, waganga wale wa kienyeji ombi langu, kipindi hiki wanaoomba kupata nafasi mbalimbali watawatembelea na wanapo watembelea...
  9. The Father of All

    GE2025 CCM wanashindana na nani na kwanini watupotezee muda na pesa?

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni chama tawala. Kinashiriki uchaguzi sijui uchakachuaji sijui uchafuzi, wala sijui. Kimelazimisha mgombea wake wa urais hata kwa kuvunja na kuvuruga kanuni zake chenyewe. Kinapoteza fedha na muda kutupigia makelele kwa kisingizio cha kampeni za uongo na vitisho...
  10. Mafyangula

    GE2025 BabaLevo: Samia ametoa zaidi ya Bil. 4 ili kujengwa kwa mifereji ya kutoa maji kata ya Katubuka

    Mgombea ubunge jimbo la Kigoma Mjini Baba Levo amesema kuwa rais Samia ametoa zaidi ya Bil. 4 ili kujengwa kwa mifereji ya kutoa maji kata ya Katubuka.
  11. Mafyangula

    GE2025 Baba Levo: Naahidi vitu vichache ambavyo naweza kuvipata

    Miongoni mwa wagombea ubunge wa CCM walinivutia na hoja zake moja wake ni huyu jamaa Babalevo licha ya uchawa lakini unaona hoja zake zinaweza kutekelezeka kabisa. ================ Mgombea ubunge jimbo la Kigoma Mjini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Baba Levo amesema kuwa yeye ataahidi vitu...
  12. Mafyangula

    GE2025 Paresso: Watanzania twendeni tukaweke historia kwa kumchagua Rais wa kwanza mwanamke anayetokana na kura za Watanzania

    Watu wakapige kura kwaajili ya maendeleo au kwaajili ya kuweka historia ya mtu? Huu ni ushamba mwingi bhana unachekesha sana. Uchawa uchawa uchawa tuuuu! ============== "kura yako ya ndiyo ni yenye thamani kubwa kwa Dkt. Samia Suluhu Hassan tumpe ahsante kwa kazi kubwa aliyoifanya kwa kipindi...
  13. DuaZaMama

    GE2025 Ngombale Mwiru awavaa wakuu wa mikoa wanaoonya kuhusu maandamano, asema wanatafuta teuzi

    Mgombea Urais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Kunje Ngombale Mwiru AAFP ameendelea na kampeni katika Mkoa wa Tabora ndani ya Wilaya ya Nzega. Mgombea Urais huyo wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kunje Ngombale Mwiru amewavaa wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya ambao wanatishia wananchi...
  14. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Askofu Jacob Kahemele: Kugombana siyo kukomaa kisiasa, nendeni mkapige kura

    Mimi sikatai kuna mambo watu wanaona si sawa hatuwezi kubisha, si wewe unavyoona na mimi ni nanvyoona na mimi nikiona mambo si sawa nitasema mambo hako sawa. Lakini hatua gani nachukua baada ya kuona mambo si sawa ni majadiliano na kuzungumza ili niweze kuwasilisha hoja yangu kwamba mambo haya...
  15. Mafyangula

    GE2025 Samia: Kama unakaa pazuri, unakula vizuri, afya nzuri, maji unayapata maana yake furaha ipo tu

    Hapo kwanza nichekee! Samia kumbuka kuna familia hawajui wapi walipo ndugu zao, wametekwa ============= Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema katika eneo la furaha na uhuru kwa Watanzania, serikali...
  16. R

    GE2025 Mjadala wa wasanii na Machawa kusifia Viongozi wa serikali kuonekana kama usaliti kwa vijana na Taifa

    Ripoti ya Shirika la habari la DW inaeleza namna wimbi jipya la wasanii, wanamuziki, na watu maarufu pamoja machawa wamekuwa wakisifia serikali na viongozi kwa nyimbo, kelele na majigambo mitandaoni na hata maigizo wakionyesha kuridhishwa na hali ya maendeleo ya uongozi unaomaliza muda wake...
  17. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Samia: Vijana wa Kitanzania, msidanganywe. Ukichukua Afrika Mashariki, pengine na kusini kidogo na kati, Tanzania ni pepo

    Jamani njooni mmsikie mama kizimkazi, Mama anabwebwe huyu za mdomoni. Kama kweli Tanzania ni pepo mbona shida zipo nyingi, utekaji umeshamili, ufisadi ndio maisha ya vigogo. Embu tuache kidogo. ============ “Lakini vijana wa Kitanzania, msidanganywe. Ukichukua Afrika Mashariki, pengine na...
  18. PAYE

    GE2025 Muhammad Kassim: Oktoba 29 tumemaliza, hakuna maandamano

    Mgombea ubunge wa Jimbo la Mtambile Pemba kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Muhammad Abdallah Kassim ameeleza kuwa katika Jimbo la Mtambile ni sherehe za ushindi za chama hicho zinaendelea na hakuna dalili za maandamano yoyote. Muhammad ameyasema hayo katika mfululizo wa kampeni za...
  19. PAYE

    GE2025 Makonda: Wana Feri msikubali kuiondoa amani, tukapige Kura

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia CCM, Paul Christian Makondaameendelea na kampeni zake za kumuombea kura Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia ambapo leo Oktoba 23, amefika katika Soko la Ferri lililopo Kigamboni, Dar es Salaam.
  20. Mafyangula

    GE2025 Awadh Said: Jeshi la Polisi simamieni ipasavyo Sheria ili kuhakikisha zoezi la Uchaguzi Mkuu linafanyika kwa amani

    Jeshi la Polisi limesisitizwa kusimamia ipasavyo Sheria ili kuhakikisha zoezi la Uchaguzi Mkuu linafanyika kwa amani, usalama na kuaminika katika jamii kwani wao ni wadau wakubwa katika kufanikisha zoezi hilo. Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Mhe.Awadh A. Said, aliyasema hayo...
Back
Top Bottom