"Hakuna Kitabu Chochote Cha Dini kinachoonesha Kiongozi wa dini anapingana na Serikali, bali Vitabu Vinaonesha kuwa hata Yesu alitoka kilomita nyingi kwenda kuhesabiwa"- amesema Kiongozi wa Dini kwenye Kongamano la Amani Nyanda za Kusini
Soma pia GE2025 - Viongozi wa Dini Mwanza: Serikali...
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Benno Malisa amewataka wananchi wa mkoani hapo waliojiandaa kufanya vurugu zinazohamasishwa kwenye mitandao ya kijamii siku ya uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025, wajionye kabla hawajaonywa na vyombo vya ulinzi na usalama
Malisa amesema hayo wakati akitoa tamko mahususi kwa...
Nchi hii ukidai haki unaitwa Muhuni kisha kuna kikundi kitakwambia wanakushughulikia alafu Mkuu wao anamaliza kwa kusema anaongoza kwa kutumia 4R, hakutakuwa na nywinywi wala nywi nywinywi :FeelsWeirdMan:
---------------
Rais wa Jumuiya ya wanafunzi wa elimu ya Juu Tanzania TAHLISO ambaye pia...
Akizungumza katika mahojiano ya kipindi cha Clouds 360, Kamanda wa Polisi Kinondoni, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Mtatiro Kitinkwi ameeleza kuwa Jeshi la Polisi limejipanga vizuri kwa ajili ya uchaguzi kuhakikisha usalama na kuwa uchaguzi unafanyika kwa amani
"Na yote hii ni...
Jumuiya ya wanataaluma wa chuo kikuu cha Dar es salaam (UDASA) na UDSM wameendelea kumenyana kuelekea uchaguzi Mkuu. Baada ya UDSM kutoka na tamko linalopinga tamko la UDASA, ambapo pamoja na mengine lilisema kuwa tamko la UDASA si msimamo wa UDSM na viongozi wake.
UDAWA nao wamekuja kujibu...
Akizungumza katika mahojiano ya kipindi cha Clouds 360, Kamanda wa Polisi Kinondoni, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Mtatiro Kitinkwi ameeleza kuwa yeyote atakayevunja sheria Jeshi la Polisi litahakikisha anashugulikiwa kwa mujibu wa sheria
Aidha ameonya kuwa sheria ifuatwe na...
Kamanda wa Polisi Kinondoni SACP, Mtatiro Kitinkwi akizungumza kupitia Clouds TV, amesema; atashughulikiwa kwa mujibu wa sheria kutokana na kosa alilolitenda
Soma: SACP Kitinkwi: Jeshi la polisi ndiyo linawajibu wa kuruhusu na kuzuia maandamano, na yale ya Oktoba 29 yamezuiliwa
Serikali kupitia Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Ndugu Gerson Msigwa amewataka watanzania wajitokeze kupiga kura katika uchaguzi Mkuu ambao unatarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka.
Akizungumza na waandishi wa habari Msegwa amesema kuwa...
Akizungumza na kituo cha Clouds Redio Kamanda wa polisi mkoa wa kipolisi kinondoni amesema kuwa Jeshi ndiyo linawajibu wa kuruhusu na kuzuia maandamano kamanda huyo amesema kuwa jeshi limezuia maandamano yanayotarajiwa kufanyika Oktoba 29 kutokana na kusudi lake. (SACP), Mtatiro Kitinkwi
Sheikh Ramadhan Twawilu ametoa wito kwa viongozi wa dini kutumia nyumba za ibada kukemea wote wenye mipango ya kufanya vurugu na kuhatarisha amani katika kipindi hiki cha uchaguzi akisisitiza kuwa watu hao ni waumini ambao wapo katika nyumba hizo za ibada.
Sheikh Twawilu ambaye ni Katibu wa...
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, ACP Mkama, amewataka wananchi kupuuza wito wa maandamano unaosambazwa mitandaoni kwa kueleza kuwa ni kinyume cha sheria na unaweza kuvuruga amani ya nchi.
Kauli hiyo imetolewa Oktoba 24, 2025 wakati wa hitimisho la mazoezi ya pamoja ya majeshi yote ya ulinzi...
Mwalimu Uzima Mkufunzi wa masuala ya amani kutokea Baraza Kuu la Waislama Tanzania (BAKWATA) amewakumbusha viongozi wa dini na wananchi juu ya uzalendo wa mtanzania ni kupiga kura huku akipita kwenye vitabu vya dini na maandiko matakatifu hakuna kitabu kilionekana kikipingana na serikali hivyo...
Mkuu wa Polisi Wilaya ya Nyamagana Mrakibu Mwandamizi(OCD), SSP Virginia Sodoka, amewataka wananchi wa wilaya ya Nyamagana kuendelea kulinda amani na usalama kwa kushiriki katika shughuli nzima za ulinzi wa amani katika maeneo yao.
Wito huo umetolewa Oktoba 23.2025 katika Soko kuu la...
Maafisa na Askari wa vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama wakiwa kwenye matembezi ya pamoja yaliyofanyika leo Oktoba 24, 2025 katika manispaa na mkoa wa Tabora.
Lengo la matembezi hayo ni kuweka utimamu wa mwili, kuimarisha mshikamano, nidhamu na ushirikiano baina ya majeshi husika pamoja...
Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu imehairishwa leo, Ijumaa Oktoba 24.2025 hadi Novemba 03.2025
Kesi hiyo imehairishwa kufuatia ombi la Jamhuri lililowasilishwa Mahakamani hapo likieleza kuwa, leo...
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Daniel Shilla, amesema licha ya Jeshi la Polisi kuimarisha ulinzi na usalama katika maeneo yote ya Mkoa huo wakati wa zoezi la upigaji kura, pia wananchi wanapaswa kuchukua tahadhari na kudumisha ulinzi jirani...
Wakuu,
Ezekiah Wenje, Kwenye kampeni za Chama Cha Mapinduzi CCM kwenye Viwanja vya CCM Buza, Temeke Mkoani Dar Es Salaam Oktoba 23, 2025 alisema:
Leo nataka niwakere, uongozi unaanza kwenye familia, ukiona baba wa familia yupo gerezani zaidi ya miezi mitatu na mke hajawahi kwenda kumuona wala...
Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani wananchi wamehimizwa kutunza na kulinda amani katika maeneo yao ili waendelee kufanya shughuli zao za kiuchumi kwa utulivu na usalama. Hayo yamesemwa Oktoba 23, 2025 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Salim Morcase...
Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Hussein Ali Mwinyi akilisha njiwa katika eneo la Darajani, mara baada ya kumaliza ziara yake ya kuzungumza na wafanyabiashara na kunadi sera za maendeleo kwa Zanzibar yenye amani na umoja.
TAARIFA KWA UMMA
Kama inavyofahamika, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza siku ya Jumatano tarehe 29 Oktoba, 2025 kuwa siku ya kupiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2025.
Aidha, kwa madhumuni ya kuwawezesha wananchi wenye sifa stahiki wakiwemo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.