Baada ya mbunge wa Siha aliyemaliza muda wake na mtia nia kupitia chama cha mapinduzi CCM kudai kuwa mke wake amatekwa na gari lake kuchomwa moto mdau ameandika.......
"Leo nimeamka Kwa furaha kubwa Sana. Ndiyo FURAHA haswa. Mke wa Godwin Mollel Dr Mollel ambaye ni Naibu Waziri wa afya...
https://www.youtube.com/watch?v=9D6yvt12c8o
Updates
Ramadhan Kailima: Vyombo vya habari visipendelee chama cha siasa kuelekea Uchaguzi
Akizungumza wakati akifungua mafunzo kwa wanahabari wa vyombo mbalimbali vya habari leo Agosti 4, 2025 Mkurugenzi wa Uchaguzi Tume Huru ya Uchaguzi (INEC)...
Wakati wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kata wakijiandaa kupiga kura kwa watiania wa ubunge na udiwani leo Jumatatu, Agosti 4, 2025, hali ni tofauti kwa Siza Mwita, mtiania wa udiwani wa Ganyange mkoani Mara, ambaye zimepita siku saba hajulikani alipo.
Hata hivyo, Jeshi la Polisi mkoani...
Wananchi wilayani Mbulu, mkoani Manyara, wamelalamikia hatua ya baadhi ya watia nia wa nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Mbulu vijijini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuenguliwa katika kinyang`anyiro hicho akiwemo aliyekua Mbunge wa Jimbo hilo, Bw. Flatei Gregory licha ya kukubalika na...
Gari la mtia nia udiwani nafasi ya Udiwani Kata ya Igwachanya Wilaya ya Wanging'ombe Anthony Mawata - CCM imechomwa moto na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo.
Wajumbe na mabalozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Njombe Mjini wakiwa tayari kwa ajili ya kupiga kura za maoni kuchagua diwani wa Kata ya Njombe Mjini na Mbunge wa Jimbo la Njombe Mjini.
Leo Jumatatu Agosti 4, 2025 wajumbe wa CCM wanapiga kura za maoni kuwachagua wabunge na madiwani...
Wakati zoezi la kuomba kura za maoni ndani ya CCM likiendelea katika Majimbo mbalimbali Nchini ili kumpta mtu mmoja atakaye peperusha bendera ya chama hicho kwa kila Jimbo, Charles Kimei ambaye anatetea kiti chake kwenye Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro, amekabiliwa na maswali kuhusu ahadi zake...
Katibu Mkuu Mstaafu wa Wizara ya Ujenzi, Archtect Elius Mwakalinga leo amehitimisha safari ya kuomba kura kwa Wajumbe wa Kata mbalimbali ndani ya Jimbo la Kyela Mkoani Mbeya anakotarajia kugombea Ubunge endapo atapata ridhaa ya wajumbe kumpitisha.
Zoezi hilo lilianza baada ya majina yao...
Mgombea ubunge wa Jimbo la Same Magharibi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fatuma Kange, amewataka wananchi wa jimbo hilo kufanya mabadiliko ya kihistoria kwa kumchagua mwanamke mwenye maono, uthubutu, na dhamira ya kweli ya kuleta maendeleo kwa watu wote.
Akizungumza katika mikutano ya...
Biteko, “Mimi sitaweka mawakala katika vituo vya kupigia kura kwa sababu sina mashaka na nyinyi watu wema wa Bukombe bali mawakala wangu mtakuwa ninyi wananchi wenyewe wa Bukombe”.
Doto Biteko ambaye pia ni mbunge wa Bukombe aliyemaliza muda wake na Naibu waziri mkuu, amesema hayo leo Agosti 3...
Mtia nia wa ubunge wa jimbo la Makambako Deo Sanga,akizungumza na wajumbe wa kata ya Makambako akiwaomba wamchague, zikiwa zimesalia saa chache kwa wajumbe kuchagua watakao beberusha bendera ya chama cha mapainduzi CCM kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
Chanzo: Elolama Fm
Mtia nia wa Ubunge Jimbo la Moshi vijijini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Halmashauri anayemaliza Muda wake Morris Makoyi amejikuta akizomewa na wananchi wa Kata ya Mabogini katika zoezi la Kujinadi lililomalizika jana Jioni
Chanzo: Bongo 5
Zikiwa zimebaki saa chache kabla ya wajumbe kufanya uchaguzi wa kupitisha jina moja la kuwania ubunge katika majimbo yote hapa nchini, katika jimbo la Siha mvutano umekua mkali baada ya mke wa aliyekua mbunge wa jimbo hilo kuvamiwa na kupigwa huku gari lake likivunjwa kioo.
Akizungumza leo na...
Saa chache kabla ya kufanyika kwa zoezi la Uchaguzi wa Madiwani, vurugu zimetokea katika Kata la Upanda Magharibu Jijini Dar es Salaam ambapo mmoja wa Watia Nia amedaiwa kwenda kufanya vurugu kwa mpinzani wake.
Video inayosambaa Mtandaoni inamuonesha Mgombea Udiwani Khallil Karim akiwa anadaia...
Mtia nia nafasi ya Ubenge Kigoma Mjini kupitia CCM, Clayton Revocatus Chipando almaarufu kama Baba Levo amesema wananchi wa Kigoma Mjini wanajisikia raha sana linapotajwa jina la Rais Samia kwani kuna vitu vingi amewafanyia wananchi hao na kusema kuwa yupo tayari kumsemea kwa mambo...
Sikilizeni hii wakuu,
Mtia nia nafasi ya ubunge Jimbo la Makambako kupitia chama cha mapinduzi jimbo la Makambako Deo Sanga akijibu swali la katibu wa mtaa wa bwawani umoja wa wanawake Grolia Nyaluke.
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (#INEC), Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele anafafanua kuhusu Kura ya Mapema wakati wa Uchaguzi Mkuu 2025 kwa kusema:
“Sheria ya Uchaguzi Zanzibar inaeleza kuwa kuna Watu wanaruhusiwa kupiga kura mapema siku moja kabla ya Uchaguzi...
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mufindi anatuhumiwa kuhusika katika mipango ya kuiba kura za maoni kuelekea uchaguzi wa ndani wa chama hicho unaotarajiwa kufanyika Agosti 4, 2025, ili kumuwezesha Mbunge aliyepo madarakani, Jimbo la Mufindi Kusini Davidi Kihenzile, kuendelea...
Wakati watiania wanane wa ubunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Jimbo la Kibamba wakiendelea kunadi sera zao, ameibuka mtiania Alphonce Temba aliyeahidi kuwapeleka wajumbe Afrika Kusini kwa ajili ya kujifunza masuala ya bima ya kifo.
Amesema wataenda kupata elimu ya bima ya kifo itakayosaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.