Walioko madarakani hawana msaada na sisi ndio maana tulitamani kubadilisha mfumo aingie baba levo,Kwenye kura Baba levo amaeshinda ila kilichofanyika ni wizi"
Mmoja kati ya Wajumbe waliopiga kura za maoni jana amezungumza na vyombo vya habari na kuelezea jinsi gani anajiskia baada ya Baba levo...
Zaidi ya wanachama elfu mbili wa Chama Cha Mapinduzi CCM Kata ya Kizota jijini Dodoma wameandama kwa mabango kupaza sauti zao wakipinga matokeo ya kura za maoni za nafasi ya udiwani yaliyotangazwa huku wakidai kuwa zoezi hilo lilikuwa sio la wazi ambapo wameiomba Kamati ya Siasa ya Wilaya ya...
Mahakama Kuu ya Dodoma ilipofunguliwa kesi ya kikatiba na kada wa Chama cha Mapinduzi Mch. Dkt. Godfrey Malisa imesikiliza kwa mara ya kwanza kesi hiyo Agosti 5,2025. Akiongea na waandishi wa habari Dkt. Malissa amesema hakimu anayesimamia kesi hiyo amesema kuna umuhimu wa kesi hiyo kusikilizwa...
🗳️ TATHMINI YA MARAIS WA TANZANIA: NANI AMEACHA URITHI BORA NA FUNZO GANI KWA UCHAGUZI MKUU 2025?
🔎 Utangulizi:
Katika kipindi hiki tunapoelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025, ni muhimu sana kwa Watanzania kujitathmini – sio tu kwa kutumia hisia au propaganda – bali kwa kutumia akili, takwimu, na...
Salamu Wakuu wa JF
SSH 25 30
Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, ni wazi kuwa ushindani wa kisiasa unazidi kuwa wa kisasa na unaotegemea zaidi teknolojia na mawasiliano ya umma. Kwa kuzingatia hali hiyo, chama tawala Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinashauriwa kuangalia uwezekano wa...
Wakuu!
Huko Manyara Wananchi wamecharuka, wameingia barabarani kupinga Mgombea aliyepitishwa na CCM Kura za maoni za Wajumbe
Kwenye video hii anasikika jamaa hapa akisema "Rais Samia tunateseka...Kura zote..
Tumeibiwa Kura...Tunamhitaji"
Asma Ali Hassan Mwinyi ameibuka mshindi katika kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa nafasi ya Ubunge Jimbo la Welezo Zanzibar. Ushindi huo unampa nafasi kubwa ya kupeperusha bendera ya CCM katika Uchaguzi Mkuu ujao.
Babu Tale akipika ugali na mrenda, muda mfupi baada ya kutoka kwenye ofisi za chama Mvuha, siku moja baada ya kushinda kura za maoni Jimboni Morogoro Vijijini Kusini Mashariki kwa kupata kura 5,318 dhidi ya Omar Tebweta Mgumba aliyepata 1,310.
Aliyekuwa mbunge wa viti maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kunti Majala ameongoza kwenye kura za maoni za Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Chemba.
Kunti alikuwa mmoja kati ya wabunge 19 wa viti maalumu kupitia Chadema ambao waliingia kwenye mgogoro na chama...
Bukoba Vijijini | CCM Kura za Maoni Falis Athumani Buruhan amegoma kusaini matokeo ya kura za maoni baada ya kutoridhika na matokeo hayo yaliompa ushindi Dk. Jasson Samson Rweikiza, aliyeibuka mshindi baada ya kupata kura 6,485 kati ya kura halali 11,582 Falis Athumani Buruhan, alipata kura...
Mbunge aliyemaliza muda wake jimbo la Geita na mtia nia jimbo hilo hilo Joseph Msukuma amejipatia ushindi katika kura za maoni kura 5251.
Soma pia: Ujumbe kwa Mbunge Msukuma: Kama unataka tuwaige China tusiiche kubana Uhuru wa Maoni, Tuwaige basi hadi Kuwanyonga na kuwapiga risasi Mafisadi
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Mara, Mary Daniel, ameibuka mshindi wa kura za maoni za CCM kuwania ubunge wa Jimbo la Serengeti, akimshinda kwa mbali mbunge aliyemaliza muda wake, Amsabi Amri
Kwa mujibu wa matokeo yaliyotangazwa na mratibu wa uchaguzi huo...
Chama cha Mapinduzi CCM wilaya ya Bukoba Vijijini kimetangaza matokeo ya uchaguzi wa kura za maoni ya wabunge wa Jimbo hilo ambapo aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Dkt. Jason Rweikiza ameongoza kwa kupata kura 6,465 huku mgombea mwenzake aliyekuwa mwenyekiti wa UVCCM, mkoani Kagera, Faris Buruhan...
Mwenyekiti mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete kwa bashasha akaomba TOT Band waimbe wimbo maarufu wa hamasa "Chama Cha Mapinduzi... CCM No. 1!" Agosti 4, 2015 Makao Makuu ya Chama hicho, Lumumba.
Wakuu!
Waswahili wanasema uUsiamini vicheko!
Hali ilivyokuwa kabla ya zoezi la upigaji wa kura za maoni kwa nafasi ya ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Nzega Vijijini, ambapo Neto Kapalata ameshinda kwa kura 2,570 dhidi ya kada mkongwe wa chama hicho na mbunge...
Waliokuwa wabunge wa viti maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kisha kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ester Bulaya na Esther Mathiko, wameshindwa kuongoza katika kura maoni baada ya Wabunge wanaotetea nafasi zao Michael Kembaki wa Jimbo la Tarime Mjini na Robert...
Wakuu habari,
Kuna kitu sikielewi hapa yaani kama Mgombea hajapita kura za maoni ya kumuwezesha awe kiongozi inakuaje tena baadae anakuja kutgeuliwa mkuu wa wilaya au Mkoa kama wajumbe waliona hana vigezo apo awali
Maana nimekua nikisikia Mgombea fulani amekatwa ila amewekwa pembeni asubiri...
Mwenyekiti wa Chama Cha Ukombozi wa UMMA(CHAUMMA)zamani CHADEMA Mkoa wa Dodoma Aisha Madoga amechukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Dodoma Mjini
Madoga amechukua fomu hiyo Leo Agost 4,2025 Jijini Dodoma ambapo pia aliandaa chakula Cha mchana(UBWABWA)Kwa wanachama wa CHAUMMA na Wananchi wa...
Wakuu
===
Wasanii wetu mbona wanamaisha magumu alafu wanakuwa mstari wa mbele kuwa kwenye kufanya kampeni au ndiyo umaskini wenyewe.
Kampeni zinapaswa kuwa mahali pa hoja, mijadala, maswali na majibu. Lakini burudani inafanya watu wasikie mziki, wasahau matatizo yao, halafu wanapiga kura kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.