uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    GE2025 Wananchi Mbeya wapinga matokeo Kura za Maoni CCM, waahidi kususia uchaguzi mkuu 2025

    Hali ya sintofahamu imeibuka katika Jimbo la Mbarali, Mkoani Mbeya baada ya baadhi ya wananchi kutishia kususia Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025, wakipinga matokeo ya kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa madai ya kuwa mgombea aliyeibuka mshindi si chaguo lao, bali...
  2. Nipe Maji

    SI KWELI PreGE2025 Mrisho Gambo anaungana na Luhaga Mpina 'Arusha Oktoba tutalinda kura'

  3. R

    GE2025 TCRA:Wanahabari msibebe umbea, hojini sera za vyama

    Meneja wa Huduma za Utangazaji katika Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Mhandisi Andrew Kisaka, amewataka waandishi wa habari na watangazaji nchini kuzingatia sera za vyama vya siasa katika uripoti na mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa 2025, badala ya kuendesha mahojiano kwa misingi ya mambo...
  4. upupu255

    SI KWELI PreGE2025 Brenda Rupia amejiuzulu nafasi yake ya uongozi CHADEMA

  5. W

    PreGE2025 POTOSHI Kwenye hotuba ya Agosti 15, 2025 Askofu Gwajima amewataka watanzania kudumisha amani na umoja kipindi cha uchaguzi

    Wakuu nimekutana na hii Grafiki lakini kwa trending ya huyu bwana sina hakika kama alitamka haya maneno.
  6. Wakusoma 12

    GE2025 Kisheria wagombea wote waliochukua form za kuwania urais wamekosa sifa ya kugombea kwani wameanza kampeni za uchaguzi kabla ya muda wake

    Huu uchaguzi wa mwaka huu unaendelea kutuonesha jambo la msingi sana la kuwa mamlaka yote hutanguliwa na watu. Mwaka huu tumetangaziwa kutakuwa na zoezi la uchaguzi mkuu lakini cha kushangaza kila mgombea ameanza kampeni kabla ya tarehe rasmi ya kuanza mchakato wa kampeni. Kuanzia chama tawala...
  7. M

    GE2025 CUF: Tutamwandikia GSM atuchangie kama kweli ana mapenzi ya kuimarisha demokrasia nchini

    VIONGOZI wa Chama cha Wananchi (CUF) kimemtaka mmiliki wa makampuni ya GSM, Ghalib Said kutoa msaada pia kwa vyama vingine vya siasa katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025. Wakizungumza jijini Dar-es-salaam , baadhi ya viongozi wa CUF wamesema kitendo cha kampuni hiyo kuchangia...
  8. sajo

    TBC Taifa (Radio na Televisheni) na magazeti ya serikali kuonesha kwa usawa habari za vyama vyote vya siasa

    Kila baada ya miaka 5 Katiba ya JMT inaeleza kufanyika kwa uchaguzi mkuu hapa nchini ambapo wananchi huchagua Rais, wabunge na Madiwani. Katiba hiyohiyo pia imeelekeza uchaguzi mdogo kufanyika ndani ya kipindi kitachotangazwa na tume ya uchaguzi mara baada ya nafasi ya ugombea kuwa wazi...
  9. Nipe Maji

    SI KWELI PreGE2025 Gwajima amkosoa Polepole vikali, amuita mnafiki

  10. Waufukweni

    GE2025 Askofu Gwajima: Kiwango cha kupendwa kwa CCM kiko chini kuliko wakati wowote katika Historia ya Tanzania

    Askofu Gwajima amesema, "Kiwango cha kupendwa kwa Wagombea wa CCM kiko chini" Soma pia PreGE2025 - Askofu Gwajima: Utekaji si utamaduni wetu na halitakiwi kuchekewa!
  11. Waufukweni

    GE2025 Maoni ya Wananchi: Wagombea, toeni ahadi zinazotekelezeka

    Ni sawa na kusema Wagombea sasa washindwe wenyewe! hi ni baada ya wananchi kutoa ushauri kwao kuelekea kipindi cha kampeni. Wakizungumza ndani ya kipindi cha Kijiweni cha Daily News Digital wananchi hao wamewataka wagombea wanaoomba nafasi kwa miaka mitano ijayo kutoa ahadi wanazoweza kutimiza...
  12. Waufukweni

    GE2025 Arusha: CCM yatangaza wagombea 160, Olasiti na Ererai kusubiri uamuzi wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha kimeingia katika hatua mpya ya mchakato wa uchaguzi, huku hali ya kisiasa ikichukua sura mpya baada ya kutangazwa kwa majina ya wagombea 160 kutoka Kata mbalimbali watakaowania nafasi kwa tiketi ya chama hicho. Akizungumza na waandishi wa habari leo...
  13. tonicimmobility

    GE2025 Mpina atinga INEC bila mbwembwe

    Mgombea Urais kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Joelson Mpina, amewasili katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa ajili ya kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Tofauti na wagombea wengine wa vyama vingine, wengi wao wakifika na...
  14. R

    GE2025 Naibu Katibu Mkuu Umoja wa Vijana CCM, Mussa Mwakitinya, asisitiza Mshikamano baada ya vikao vya uteuzi, Tabora

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM, Mussa Mwakitinya (MNEC) amewasihi viongozi wana CCM mkoa wa Tabora, kuendelea kuwa wamoja na kuzuia mipasuko inayoweza kukipata Chama wakati mgumu wa kuitafuta Dola Mwakitinya ameyasema hayo mara baada ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM cha Mkoa wa...
  15. Waufukweni

    GE2025 Amani Golugwa: Injinia Hersi ananung’unikiwa na Wanayanga na WanaCCM

    "Injinia Hersi Said ametuthibitishia kwamba ni mfanyakazi wa GSM na wakati huohuo ni Rais wa klabu ya Yanga... a conflict of interest (Mgongano wa kimaslahi). Inapotokea kwamba wewe ni kiongozi wa klabu, halafu wewe pia ni sehemu ya watumishi wa kampuni inayodhamini hiyo klabu. Inapotokea...
  16. Waufukweni

    GE2025 Kamwe: Eng. Hersi hajachukua fomu kwa mara ya pili, wanataka kutuchafua Yanga

    "Klabu ya Yanga imesafiri na Rais wetu Hersi Kuja huku Rwanda na sijui hizi taarifa zimetoka wapi kwasababu kila kitu kilihishia alipotaka kuwa Mbunge wa Kigamboni." "Kuna vitu vinaendelea kwasababu kuna watu wametumwa kuja kuharibu mipango yetu na wanataka tufanye vibaya kwenye ligi na klabu...
  17. Waufukweni

    GE2025 Mgombea Urais wa NCCR-Mageuzi, Haji Ambar Khamis aahidi Katiba mpya ndani ya siku 100

    Mgombea Urais wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama NCCR- Mageuzi, Haji Ambar Khamis akiwa ameambatana na Mgombea mwenza, Everylin Munisi, amechukua fomu ya Urais katika Tume Huru ya Uchaguzi Jijini Dodoma leo August 15, 2025 huku akiahidi kuwa endapo Watanzania watamchagua kuwa Rais atahakikisha...
  18. JanguKamaJangu

    GE2025 Luhaga Mpina na Ferej Jumanne wachukua Fomu ya kuwania Urais Ofisi za INEC, Agosti 15, 2025

    Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele, leo tarehe 15 Agosti 2025 amekabidhi fomu za uteuzi kwa mgombea wa kiti cha Rais, Luhaga Mpina, na mgombea wa kiti cha Makamu wa Rais, Ferej Jumanne, kupitia Chama cha ACT Wazalendo. Hafla hiyo...
  19. tonicimmobility

    GE2025 Hersi atemwa tena ubunge Kongwa, 13 wapita

    Rais wa Klabu ya Yanga, Hersi Said ameshindwa kupenya katika mchujo wa majina 13 ya wagombea ubunge Jimbo la Kongwa. Hersi ameungana na wagombea wengine 11 ambao majina yao yameshindwa kupenya katika mchakato huo, huku aliyeshika nafasi ya pili kwenye kura za maoni Agosti 4, 2025, Isaya...
Back
Top Bottom