uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. tonicimmobility

    GE2025 Monalisa Ndala: Mpina hastahili na hana sifa kugombea urais ACT Wazalendo

    "Kilichonisukuma kupinga uhalali wa Luhaga Mpina kugombea Urais katika Chama cha ACT WAZALENDO ni kanuni. Kwenye ukurasa wa 23/ 16, inaonyesha sifa za wagombea ndani ya Chama. Wagombea Urais. Awe mwanachama wa ACT WAZALENDO kwa muda usiopungua mwezi mmoja kabla ya Tarehe ya mwisho wa wagombea wa...
  2. tonicimmobility

    Ni nini uandhani kitaamuliwa leo Kisutu kwenye kesi ya Tundu Lissu

    Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inaendelea leo Agosti 18, 2025 ambapo Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Franco Kiswaga anatarajia kutoa amri kuhusu ombi na pingamizi la urushaji wa moja kwa moja wa mwenendo wa...
  3. DuaZaMama

    GE2025 CHADEMA imeaminisha watu kuwa Act-Wazalendo ni CCM 'B'

    Akizungumza na kituo cha redio cha East Afrika leo Agosti 18, 2025, Isihaka Mchinjita, Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Bara, amesema kuwa CHADEMA imefanya kazi kubwa sana katika kujaribu kuuaminisha umma kuwa ACT ni CCM ‘B’ jambo analosema si la kweli bali ni propaganda ya kisiasa. Chanzo...
  4. Pascal Mayalla

    GE2025 JNICC: Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Inatoa Mafunzo ya Sheria ya Gharama za Uchaguzi, Kwa Viongozi wa Kitaifa wa Vyama vya Siasa

    Wanabodi, Niko hapa ukumbi wa JNICC ambapo Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, inatoa mafunzo ya Sheria mpya ya Gharama za Uchaguzi, kwa viongozi wa kitaifa wa vyama vyote vya siasa nchini. https://www.youtube.com/live/joRKIIYROnk?si=1cVSWVZva0AACKkm Karibuni Paskali
  5. tonicimmobility

    Rais Samia alipokutana na Tundu Lissu mjini Brussels Ubelgiji mwaka 2022

    Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan alipokutana na kufanya mazungumzo na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA wakati huo, Mhe. Tundu Lissu, jijini Brussels, Ubelgiji, tarehe 16 Februari 2022. Tukio hili lilikuwa sehemu ya ziara ya Rais Samia barani Ulaya, na lilichukuliwa na wengi kama hatua muhimu katika...
  6. W

    GE2025 Polisi wavaa mavazi ya kiraia kesi ya Lissu Mahakamani Kisutu. Wananchi wawashtukia

    Jeshi la Polisi wameingia wengi katika ukumbi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakiwa wamevaa nguo za kiraia, wananchi na wanachama wamewatambua na kuwalalamikia. Pia Jeshi la Polisi wameingia wengi katika ukumbi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakiwa wamevaa nguo za kiraia, wananchi na...
  7. tonicimmobility

    Hatima ya wabunge CCM kubainika agosti 21 & 23

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza ratiba ya vikao vyake vya kitaifa vitakavyofanyika chini ya Mwenyekiti wa CCM, ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi...
  8. upupu255

    POTOSHI Tundu Lissu ametinga mahakamani akiwa amevaa T-shirt ya 'Oktoba tunatiki'

  9. tonicimmobility

    Hebu tujikumbushe kidogo elimu ya mgombea urais wa CCM

    Hivi unaijua elimu ya Rais Samia kwa mtaala wa Tanzania? Hivi mnajua kuwa kidato cha nne hakufanya vizuri? Hivi mnajua huyu ndiye Rais wetu na hii ndiyo level yake ya elimu? Baada ya hapo akaenda chuo kikuu cha mzumbe kusomea diploma ya utumishi wa umma. Soma pia: Polepole: Mchakato wa CCM...
  10. Roving Journalist

    GE2025 Hatma ya zuio la shughuli Kisiasa kwa CHADEMA kujulikana leo Agost 18, 2025

    Kesi ya madai dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa CHADEMA na Katibu Mkuu wa chama hicho inatajwa leo, Agosti 18, 2025, katika Mahakama Kuu. Shauri hilo Na. 8323/2025) linahusu zuio la kufanya shughuli za kisiasa lililotolewa na Mahakama tarehe 10 Juni 2025, ambapo baadhi viongozi wa CHADEMA walizuiwa...
  11. Roving Journalist

    GE2025 Hatma maelezo ya mashahidi wa siri Kesi ya Lissu kusomwa 'live' kujulikana leo Agost 18, 2025

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Agosti 18, 2025 imepanga kutoa amri kuhusu kurushwa mubashara kwa maelezo ya mashahidi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu. Pamoja na hilo, pia mahakama hiyo inatarajiwa kusikiliza maelezo...
  12. tonicimmobility

    Zaidi ya magari 150 Msafara wa Rais Samia

    Wakuu hii tuseme ni ushamba au ndio ulinzi unaimarishwa? Haya ni matumizi mabaya ya pesa za umma, zaidi ya magari 150 msafara wa Rais
  13. M

    Wakili dhidi ya Lissu

    Mtume (S.A.W) alisema: (Hadithi sahihi - Bukhari na Muslim) 🔑 Maana yake: Si sahihi kutumia hoja za ujanja, udanganyifu, au ufasaha wa maneno kumkandamiza au kumnyang’anya haki mtu mwingine. Mwanasheria au mtetezi wa kesi anapaswa aseme ukweli na kusimama kwa haki, si kutumia uhodari wake...
  14. Waufukweni

    GE2025 CHADEMA: Polisi wamevamia Kikao chetu cha ndani Kibaha, wanachama Sita wakamatwa

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinauarifu umma na wadau wote wa demokrasia nchini kuwa, jana Jumamosi, Agosti 16, 2025, Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam lilivamia kikao cha ndani cha wanachama na viongozi wetu kilichokuwa kikifanyika Kibaha, Mkoa wa Pwani. Katika...
  15. Waufukweni

    GE2025 Wanachama CCM Minera, Ulanga watishia kurudisha kadi za Chama

    Wachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)zaidi ya 50 Kutokana Kata ya Minepa Wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro, wametishia kurudisha kadi endapo jina la Mtia nia Udiwani aliyeingoza kwenye kura za maoni alitorudishwa. Wakizungumza wakiwa katika ofisi ya CCM Mkoa Morogoro, Wanachama hao wamesema...
  16. tonicimmobility

    Washauri anaoendelea kuwashikiria rais Samia siku si nyingi watampeleka shimoni

    Wakuu mnasemaje juu ya washauri wa mama? Maana namna wanavympeleka na mashauri yao mbona kama mashimo yao yapo hadharani sana? Nae haongezi chochote, ana beba ushauri kama ulivyo. Tumpe kwanza heshima yake Masoud Kipanya!
  17. tonicimmobility

    GE2025 Mgombea urais CHAUMMA aanza ziara ya kusaka wadhamini

    Mgombea Urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu na mgombea mwenza wake, Devotha Minja, wakiongoza kazi ya kuandikisha wadhamini wao leo mkoani Lindi. Mgombea huyo wa CHAUMMA ameanza leo ziara katika mikoa mbalimbali ya kuomba udhamini wa kupeperusha bendera katika nafasi...
  18. tonicimmobility

    GE2025 Wazee wa unywaji naomba neno moja juu ya mgombea wetu kutoka NCCR Mageuzi

    Mgombea Urais wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama NCCR- Mageuzi, Haji Ambar Khamis amesema endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania atahakikisha anakomesha uvunjifu wa maadili uliokithiri nchini ikiwemo ujenzi holela wa bar kila Mtaa, nyimbo zinazosifu pombe na ulevi na filamu za Bongo Movies...
  19. tonicimmobility

    Wakuu mumemskia Mwakinyo kuhusu Lissu?

    Champezi Hassan Mwakinyo Umegusia jambo muhimu sana katika harakati; Tundu A.M Lissu kujitetea Mahakamani katika mashtaka ya uhaini, wakati huo; Tundu Lissu anafundisha jumuiya yote kuanzia Mahakama, Wanasheria, watazamaji jinsi ambavyo sheria inaelekeza. Nelson Mandela alitumia dakika 180...
  20. S

    Unaingia kwenye kampeni za uchaguzi wakati kiongozi wa kisiasa mwenye wafuasi wengi yuko ndani. Sasa huko kwenye kampeni utawambia nini wafuasi wake?

    Hili ndio swali ninalojiuliza. Labda niulize: Hili nalo linahitaji ushauri au kutumia commonsense tu? Kuna tofauti gani na mtu mwenye njaa anaenda kuomba unga kwa jirani wakati huo huo amemdhulumu jirani yake huyo shamba? Hawa watu kweli wamekoma kisiasa au bado sana? Mwenye majibu kama yupo.
Back
Top Bottom