uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Just Pray

    GE2025 CCM yawatangaza waliopita kuwania udiwani Buchosa

    Katibu wa CCM Wilaya ya Sengerema, Rashid Semindu, ametangaza majina ya madiwani walioteuliwa kuwania nafasi hiyo katika wilaya ya Sengerema. Aidha, amewakabidhi barua zao za uteuzi na kuwataka waendelee kushikamana ili chama kipate kura za kutosha katika Uchaguzi Mkuu.
  2. Just Pray

    GE2025 Mwenyekiti CHADEMA Arusha: Mbowe atoke hadharani na aseme 'No reforms No election'

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Arusha, Elisa Mungure, ametoa wito kwa Mwenyekiti Mstaafu wa chama hicho ngazi ya taifa, Freeman Mbowe, kujitokeza hadharani na kuunga mkono kaulimbiu ya chama ya “No Reforms, No Election”, kwa kuwa ndiye mwanzilishi wa msimamo...
  3. Just Pray

    GE2025 Polepole: Luhaga Mpina hana sifa kikatiba na kikanuni kugombea Urais kwa tiketi ya ACT Wazalendo katika Uchaguzi Mkuu 2025

    Imeandaliwa na Ndg. Humphrey H. Polepole, Mwana CCM wa Imani 1. Msingi wa Kikatiba na Kikanuni Katiba ya ACT Wazalendo (2024), Ibara 16(4): "Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania au Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT Wazalendo atakuwa ni mwanachama wa chama kwa kipindi...
  4. Just Pray

    GE2025 Mchinjita: Ulikuwa ukisikiliza upande wa Mbowe, ni kama Lissu hafai hata kuwa mwenyekiti wa kijiji

    Isihaka Mchinjita, Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Bara, amesema kuwa wakati wa kampeni za ndani ya CHADEMA za kumtafuta Mwenyekiti, taswira ya chama iliharibika sana kutokana na makundi ya ndani kushambuliana vikali. Ameeleza kuwa moja ya mambo yaliyoumiza zaidi ni namna kundi la Mbowe...
  5. Just Pray

    GE2025 CHAUMMA yavuna wanachama wapya Makambako

    Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimefanikiwa kupata wanachama wapya katika ziara ya kisiasa ya mtiania wa nafasi ya urais kupitia chama hicho, Salum Mwalimu, iliyofanyika leo Jumatatu, Agosti 18, 2025 mjini Makambako. Miongoni mwa waliojiunga na chama hicho ni wanachama kutoka vyama...
  6. J

    Vijana wenye umri wa miaka 33 sasa hawaelewi kivitendo ni vipi mfumo wa Chama kimoja ulipendeza, sasa wataona na 2030 Watajua hatima yao!

    Mfumo wa vyama vingi tunaoutumikia sasa haukuwa takwa la Wananchi walio wengi bali Dola iliulazimisha ili kuwafurahisha Wafadhili wa ubeberuni Vijana ambao ndio wengi ili Wajue ni mfumo gani utawafaa kwenye Tanzania yao ni lazima kwanza warudishwe kwenye mfumo wa Chama kimoja wapractice Siasa...
  7. DR HAYA LAND

    Ushauri :- CHADEMA , kwakuwa wanakubalika sana na Watanzania naomba wawekeze nguvu kubwa kufanya siasa za mitandaoni hiyo pekee inatosha sana

    Kwakuwa Kwa sasa Chadema inafanyiwa hujuma mbalimbali. Naomba wawekeze Katika majukwaa ya mitandaoni , Hizi Hujuma wanazofanyiwa Chadema zisiwe sababu za wao kurudi Nyuma. Tone Tone iendelee kama kawaida iwe online na hela inayokusanywa iwe inatolewa taarifa ili kuanagalia Speed na kuboresha...
  8. Just Pray

    GE2025 Msajili avitaka vyama vya siasa kuwasilisha taarifa za gharama za kampeni kabla ya siku ya uteuzi

    Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imewataka viongozi wa vyama nchini kuhakikisha wagombea katika uchaguzi mkuu wanawasilisha taarifa za gharama za kampeni kabla ya siku ya uteuzi, vinginevyo wanaweza kuwekewa pingamizi la kugombea.
  9. Just Pray

    GE2025 Aliyekuwa Diwani Likotiko achukua fomu kutetea nafasi Gangilonga kupitia CCM

    Diwani wa Kata ya Gangilonga, Mheshimiwa Likotiko Kenyata, leo amechukua rasmi fomu ya kugombea tena nafasi ya udiwani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya kushinda na kupitishwa na chama hicho katika mchakato wa kura za maoni uliohitimishwa hivi karibuni. Akizungumza mara baada ya...
  10. Just Pray

    GE2025 Wao wamepeleka baiskeli, sisi ADC tunapeleka Ng'ombe ili tutoke ngoma droo

    Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Shaban Itutu, amehoji uwiano wa mamlaka kati ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa na Tume Huru ya Uchaguzi, akisema kuna mgongano unaoweza kuathiri haki na uwazi wa uchaguzi. Akizungumza Jumatatu, Agosti 18, 2025, katika Mafunzo...
  11. W

    GE2025 Ukomo wa matumizi ya Kampeni za Wagombea Urais ni Billioni 9

    Mkuu wa Kitengo cha Sheria Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Muhidin Mapejo, amebainisha kuwa kwa mujibu wa Sheria ya Gharama za Uchaguzi, wagombea katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 watapaswa kuzingatia viwango vya juu vya matumizi ya fedha vilivyowekwa. Kwa mujibu wa maelezo yake...
  12. R

    GE2025 Mwenyekiti wa ADC Shaban Itutu: Tumeamua mwaka huu kila tunapotembea tutakuwa tunachinja Ng`ombe, tunataka tutoke draw na waliopeleka baiskeli

    Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Shaban Itutu, amehoji uwiano wa mamlaka kati ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa na Tume Huru ya Uchaguzi, akisema kuna mgongano unaoweza kuathiri haki na uwazi wa uchaguzi. Akizungumza Agosti 18, 2025, katika Mafunzo kuhusu...
  13. W

    GE2025 Kura ya Awali kupigwa Oktoba 28, 2025 Zanzibar

    Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imetangaza ratiba ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 kumchagua Rais wa Zanzibar, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi pamoja na Madiwani. Akizungumza leo Agosti 18, Mwenyekiti wa ZEC Jaji George J. Kazi amesema kwa mamlaka aliyopewa chini ya kifungu cha 34(3) na (4)...
  14. M

    GE2025 Alliance for Democratic Change (ADC): Polisi wanatutesa sana kwenye chaguzi

    Akizungumza katika Mafunzo kuhusu Sheria ya Gharama za Uchaguzi kwa Viongozi wa Kitaifa wa Vyama vya Siasa leo Agosti 18, 2025 katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Shaban Itutu amelalamikia...
  15. DuaZaMama

    GE2025 Je, Viongozi wa taasisi zisizo za kisiasa kushiriki siasa haina Athari kwa wanajamii na wapiga kura?

    Wakuu === Kwa siku za hivi karibuni, baadhi ya taasisi zisizo za kisiasa zimeonekana viongozi wake kuonyesha mapenzi yao kwa vyama vya siasa kwa kushiriki moja kwa moja katika shughuli za kisiasa; baadhi yao wanachangia kifedha, wengine wanagombea, na wengine kushiriki kwa namna nyingine...
  16. W

    GE2025 Warudisha kadi za CCM wadai hawatashiriki uchaguzi

    Hali ya kisiasa katika kata ya Msimbati imechukua mkondo wa taharuki, baada ya baadhi ya wananchi kudai kuwa hawatashiriki kupiga kura kufuatia jina la diwani wao kukatwa kwenye mchakato wa uteuzi.
  17. DuaZaMama

    GE2025 Jaji Francis Mutungi: Fanyeni kampeni za kistaarabu wakati wakuwanadi wagombea

    Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, amewataka viongozi wa vyama vya siasa nchini kuhakikisha kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2025 zinafanyika kwa kistaarabu, bila kutumia lugha za matusi, kashfa au vitendo vyovyote vinavyoweza kuhatarisha amani na mshikamano wa kitaifa. Akizungumza...
  18. J

    GE2025 Naona kuna hujuma ya kumtoa Mpina ili ionekane Uchaguzi ni kama wa Upande mmoja, CCM iwe makini

    Fikiria kama huyo Luhaga Mpina akiondolewa kugombea Urais Uchaguzi huu, katika kubalance mambo mbalimbali na utamaduni wetu vitaonekanaje? Nahisi hawa hawa ACT wazalendo kuna kamchezo wanafanya kuiumiza CCM Haiwezekani wao kama chama walikubaliana na kumpokea Mpina na kumpa uanachama na...
  19. tonicimmobility

    GE2025 Jaji Mutungi: Mkafanye kampeni za kistaarabu, mtaambiwa uchaguzi haupo, msikate tamaa

    Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, amewataka viongozi wa vyama vya siasa nchini kuhakikisha kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2025 zinafanyika kwa kistaarabu, bila kutumia lugha za matusi, kashfa au vitendo vyovyote vinavyoweza kuhatarisha amani na mshikamano wa kitaifa. Kwa hali ya...
  20. tonicimmobility

    GE2025 ACT ni kama Dorothy amenyang'anywa tonge mdomoni

    "Wakati tu mchakato umetangazwa, Kiongozi wetu wa Chama, ndugu Dorothy Semu alitangaza hadharani nia yake ya kugombea Urais na alifanya mahojiano na vyombo vya habari na aliendelea kufanya harakati zake za kuwatangazia umma kwamba wakati ukifika atagombea Urais. "Hadi juzi tumemaliza tulikuwa...
Back
Top Bottom