uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. tonicimmobility

    TBT: Hotuba ya mwisho ya Tundu Lissu kabla hajapigwa risasi

    Hii ilikuwa ni tarehe 07, semptemba 2017 bungeni kabla ya jaribio la kumuua kwa risasi ingawa jaribio hilo liligonga mwamba. Hotuba hii ndiyo iliyochochea sana kutokea kwa jaribio la kumuua kwa maneno yake ya moja kwa moja akionyesha namna viongozi wasivyowawajibikaji na kuwakandamiza wananchi...
  2. DuaZaMama

    GE2025 Mgombea Udiwani ajenga kiwanda cha bilioni 14

    Mgombea nafasi ya Udiwani kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Musa Musa ambaye ameteuliwa na Chama hicho Kata ya Lugelele Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Mkoa wa Mbeya, amejenga kiwanda cha bilioni kumi na nne kitakachoajiri vijana 400 na kusaidia kutatua changamoto ya ajira. Bw. Musa...
  3. tonicimmobility

    GE2025 Monalisa anaendelea kukabia kooni issue ya Mpina kugombea urais ACT

    Leo amekuja na mpya tena alivyokuwa East Africa radio kuhusu kuvaa fulana yenye picha ya Hyati JPM, mpina atachomoka kweli wakuu? Monalisa Joseph Ndala, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa ACT-Wazalendo Dar es Salaam, anazimwaga lawama za kutosha kwa mgombea wa kiti cha Urais kupitia chama chao...
  4. tonicimmobility

    Tarimo atandakiwa kanga na Watu wa Kilimanjaro kwenda kuchukua fomu ya uteuzi kugombea udiwani

    Wananchi wa Kata ya Mwika Kusini Jimbo la Vunjo Wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro wamelazimika kutandika kanga, na mgombea udiwani John Tarimo (CCM) kupita juu yake kwa ombi moja la kuhakikisha anawapatia wananchi hao huduma ya maji safi na salama. Wakizungumza Agosti 18, 2025 wakati mgombea...
  5. R

    GE2025 Said Soud Said Mgombea Urais AAFP Zanzibar: Nikiwa Rais Vijana watalima bangi na si kuokota Makopo

    Mgombea Urais kupitia chama cha Alliance for Africa Farmers Party (AAFP) Zanzibar, Said Soud Said amesema akiwa Rais vijana wataweza kujihusisha na kilimo cha bangi ili waweze kupata fedha za kutosha na za kigeni kununua magari, kujenga majumba na kuweza kuoa wake watatu hadi wanne...
  6. Tajiri wa kinyankole

    Naona inawezekana Watanzania wote kufanya shughuli zao tarehe 29.10.2025 kutoenda kwenye vituo vya kupiga kura

    Kwasababu serikali yetu siyo sikivu na inaamua nani awe nani asiwe wote kwa pamoja tunaweza kuacha kwenda kupiga kura siku ya tarehe 29.10.2025 👉Ushahidi upo wazi kama mama alisema magwajina yote hayatakiwi kwenye chama kwa kukemea utekaji iweje atuhamasishe tupigie kura watekaji waendelee...
  7. Just Pray

    GE2025 Heche akiri kama kutakuwa reforms ndogo zinazowezekana CHADEMA itaingia kwenye uchaguzi, asema kuna mambo ya kikatiba yanaweza kuchukua muda mrefu

    "Kuna watu waliniuliza kama mna minimum reforms ambazo zikifanywa mnaweza kuingia kwenye uchaguzi, nikaambia Yes, kwa sababu sisi sio watu wa kuongea ongea, tumeandaa paper iko serikalini, Lakini vilevile sisi sio vichaa kwa sababu tunajua kuna mambo ambayo ni ya kikatiba yanaweza kuchukua muda...
  8. tonicimmobility

    GE2025 TK Movement Kilimanjaro waahidi kumtafutia Rais Samia kura za ndio

    Mratibu wa TK Movement Mkoa wa Kilimanjaro, Ahmed Karia amesema kuwa Umoja wa Vijana wa TK, watamtafutia Rais samia Suluhu Hassan ambaye ni Mgombea Urais kwa Tiketi ya CCM pamoja na Makamu wake Emanweli Nchimbi Kura za Ndio. Soma pia: BAWACHA: TK Movement ni Jukwaa la Samia na CCM, hatuhusiki...
  9. McLaren

    GE2025 Heche: Kuna vyama vimeingia kwenye Uchaguzi havina wagombea. Wanapigia watu walioko CHADEMA wakagombee kwenye vyama vyao

    Wakuu, Leo John Heche kaamua kutoboa siri. Anasema kuna vyama vimeingia kwenye Uchaguzi lakini kumbe havina wagombea. Wanachofanya wanapiga simu kwa baadhi ya wanaCHADEMA wanaahidi mahela ili waondoke CHADEMA wajiunge na vyama vyao ili wakagombee. Hayo ameyasema akiwa kwenye kipindi...
  10. Nipe Maji

    SI KWELI PreGE2025 Maria Sarungi amesema CHADEMA imepoteza mvuto wa kitaifa

  11. McLaren

    GE2025 Monalisa wa ACT Wazalendo aandika barua kwa Msajili wa Vyama Vya Siasa kupinga Luhaga Mpina kuteuliwa kama mgombea Urais

    Katibu mwenezi ACT Wazalendo mkoa wa Dar es salaam Monalisa Ndala leo Agosti 19, 2025 ameandika Barua kwa Msajili wa vyama vya Siasa Nchini kama mlezi wa vyama vya siasa. Hiyo ni hatua ya pili mara baada ya mara ya kwanza kuandika Barua kwa Katibu wa Chama Cha ACT wazelendo, Kupinga Mhe. Luhaga...
  12. DuaZaMama

    GE2025 Bananga: Fedha Zilizochangishwa na CCM ni za Kampeni na ujenzi wa makao makuu ya kisasa

    Akizungumza na Kituo cha Clouds Redio, Ally Bananga ambaye ni Katibu wa Siasa na Uenezi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam ameeleza kuwa Bilioni 89 zilizochangishwa na CCM ni kwa ajili ya uchaguzi na ujenzi wa Makao makuu ya CCM - Dodoma.
  13. M

    CCM hawajui kula na vipofu ndio maana watu wanapenda nchi iwe ya majimbo, huwezi kupuuza mikoa yenye watu wengi na ukawapooza hasira kwa baiskeli

    Ni mikoa inayotoa madini mengi Tanzania, Ni mikoa jirani iliyojaa watu wengi sana Lakini maendeleo ni duni sana, wanachotoa na wanachorudishiwa ni vitu viwili tofauti, wnachotoa kinaenda kuendeleza kwengine wakari kwao hali ni mbaya sana Uchaguzi unakaribia, Ccm wanaona watu wa huko wapozwe...
  14. tonicimmobility

    Kila mwanasiasa atakaeichezea nchi hii bendera itapeperushwa nusu mlingoti

    Mchungaji wangu ameamua kuliweka wazi hili jambo, wewe huko mchungaji wako anasema nini kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025? Mwanasiasa yeyote atakaeichezea nchi acha bendera ipeperushwe nusu mlingoti Soma pia: Sina kumbukumbu kama amewahi kutokea Mwanasiasa mwenye akili nzuri na smart nchi...
  15. tonicimmobility

    Wasira aeleza jinsi wanavyoiba kura

    Huu umekua utamaduni sasa katika chaguzi kuu Wanaamua kuongeza kura za watu wafu ili kukamilisha kusudi lao Chanzo: Starnews
  16. R

    GE2025 Salum Mwalimu: Nikiwa Rais, nitavaa kapelo, Tisheti na Jeans Mtaa kwa mtaa

    Mtiania urais wa Tanzania wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameendelea kuzunguka mikoani kutafuta wadhamini ili kumwezesha kuteuliwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuwania urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano, Oktoba 29, 2025. Mwalimu ambaye pia ni...
  17. Just Pray

    GE2025 Sigrada Mligo: Mbunge unatakiwa usiku, mchana uwe tayari kusikiliza wananchi

    Mtiania nafasi ya ubunge Jimbo la Njombe kupitia CHAUMMA, Sigrada Mligo, amesema uwakilishi wa wananchi ni ule wa kusikiliza na kubeba shida za wananchi wakati wote na kuzifanyia kazi. "Lakini kibaya zaidi kuna wabunge ambao badala ya kuwawakilisha wananchi wametumia kama tiketi ya kujinufaisha...
  18. McLaren

    GE2025 Profesa Kabudi: Tunafanya Uchaguzi Mkuu mwaka huu katika mazingira bora kuliko yote tangu tupate Uhuru

    Wakuu, Kumbe nchi yetu ina mazingira mazuri sana ya Kiuchaguzi katika kipindi hiki na hamsemi? Akiwa anazungumza jana, Kabudi anasema kwamba tangu Tanganyika au tuseme Tanzania ipate uhuru hakuna kipindi ambacho mazingira ya Uchaguzi yamekuwa mazuri kama kipindi hiki Kabudi anasema kwamba...
  19. DuaZaMama

    GE2025 CCM imefanya maendeleo makubwa hatuwezi kuiondoa madarakani

    Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Alliance for Africa Farmers Party (AAFP), Said Soud Said amesema hawawezi kuungana kukiondoa Chama cha Mapinduzi (CCM) madarakani kwa sababu maendeleo yaliyofanya na CCM ni makubwa. 🗣"ni kwamba niliandaa mimi mwenye binafsi utaratibu wa kuhakikisha...
  20. McLaren

    GE2025 Profesa Kabudi: Tanzania haijawahi kuahirisha Uchaguzi. Wanaotaka Uchaguzi uhairishwe hawajui historia ya nchi hii

    Wakuu, Wale wanetu wa No Reforms No Election, Kabudi ana ujumbe wenu hapa. Kabudi amesema kwamba wote ambao mnataka Uchaguzi uhairishwe hamjui historia ya nchi hii Anasema kuwa mwaka 1980 kulikuwa na shinikizo kubwa kwa serikali kuahirisha Uchaguzi kutokana na taifa kutoka kwenye vita ya...
Back
Top Bottom