uchaguzi 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    GE2025 Jeshi la Polisi: Atakayethubutu kuvunja sheria Oktoba 29 asitulaumu kwa hatua itakayochukuliwa dhidi yake

    Tarehe 29.10.2025 siku ya Jumatano ni siku muhimu sana katika Taifa letu, ambapo Watanzania watatekeleza haki yao ya kikatiba ya kupiga kura kwa ajili ya kuchagua Viongozi watakao waongoza katika nafasi ya Urais, Wabunge na Madiwani. Jeshi la Polisi kupitia taarifa hii, lingependa...
  2. McLaren

    Mhariri Jackton Manyerere: Tumeaminishwa jukumu la kulinda amani ni la wanaotawaliwa tu. Watawala watende haki, wasiishie kuhubiri amani

    Wakuu, Mwenye CV ya huyu baba naomba anipe. Ujumbe unahitajika sana kipindi hiki ====================================== Mhariri mwandamizi wa habari nchini Tanzania, Jackton Manyerere, ameibua maoni yenye changamoto kuhusu Azimio la Wakuu wa Vyombo vya Habari na Wahariri Waandamizi Tanzania...
  3. McLaren

    GE2025 Lipumba: Mawakala wengi wa CUF hawajaapishwa. Wakienda kuapishwa wanaambiwa njoo kesho. Kesho wakienda ofisi zimefungwa

    Hawa wasitupigie kelele. Huwezi ukawa unafanya kitu kile kile miaka yote alafu ukategemea matokeo tofauti. Lissu alipowaambia wajiunge nae kwenye NRNE walisema kuwa Uchafuzi, sorry, Uchaguzi upo Kikatiba kwa hiyo wataenda kupambana Sasa hivi wanalia tena? ==================================...
  4. McLaren

    GE2025 Makonda: Mfadhili wa maandamano naye ameishiwa fedha

    Wakuu, Propaganda za kishamba sana. Nchi ya Tanzania SIO THREAT kwa nchi nyingine yoyote duniani, so the idea kwamba kuna mtu anafadhili maandamano just for the sake ya amani iharibike its a total fallacy Sisi sio Urusi kwamba kukiwa na machafuko nchini, itamnufaisha Marekani. We are not a...
  5. McLaren

    GE2025 Video: Kama Taifa tumefikaje sehemu tunawatumia watoto wa chini ya umri wa miaka 5 kama nyenzo ya kufifisha maandamano?

    Hivi si tulikubaliana kwamba watoto hawatakiwi kuhusishwa na siasa? Nani alikuja na script hii ya kufanya hawa watoto tena wa umri wa miaka 5 kusoma barua sijui hotuba kama hii ambayo ni 100% political? Jamani tunajua mmepanic lakini hii sio sawa. ========================== Watoto wenye umri...
  6. McLaren

    GE2025 DC wa Mbarali Maulid Surumbu: Tarehe 29 kutakuwa na maandamano ya kupiga kura na sio maandamano mengine tunayosikia sikia kwenye mitandao

    Mkuu wa wilaya ya Mbarali mkoni Mbeya Brigedia Jenerali Maulid Surumbu amesema serikali na vyombo vya ulinzi na usalama wilayani humo wamejipanga kikamilifu kudhibiti viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu Frank Mastara Sichalwe ni Katibu tawala wa...
  7. britanicca

    GE2025 Kikosi cha Askari 320 wasio na sare wamesambazwa nchi nzima kukamata wanaopinga serikali

    Huu ujinga sana wanaoleta sasa Hawana sare Hawana magari maalumu wana landruiser kadhaa ambazo hazina plate number wanatembea na plate Nunber mbali mbali na spana wana funga wanapotaka kukamata mtu! Wana pesa bajet maalumu wamepewa na kitengo cha upelelezi Nchi imeoza badala wakamate...
  8. October 2pm

    Zamu ya kupeleka maumivu na kilio kwao imetaradadi

    Miye sijui, walahi. Zamu yenu imefika. Mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu. Mwafanya wenyewe, mkifanyiwa mnapiga nduru. Siye tulizoe kulia, kila siku kuumizwa na kulalamika. Sasa tunataka zamu yenu ikifika tule kisinia kimoja. Walahi tutaumizana, kwetu haitakuwa mara ya kwanza. Mmetuua...
  9. McLaren

    GE2025 Shirika la TAFEYOKO: 64% ya wanawake na 36% ya wanaume waahidi kupiga kura, kisha kurejea nyumbani siku ya Uchaguzi

    Shirika la Vijana na wanawake Tanzania (TAFEYOKO) limesema limefanya utafiti katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani ambao umeonesha asilimia 64 za wanawake na asilimia 36 za wanaume wamesema wakishamaliza kupiga kura watarejea nyumbani.
  10. McLaren

    GE2025 RC Queen Sendiga: Hatutovumilia wala kuwaacha salama wanaopanga kuvuruga Uchaguzi Mkuu

    Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Cuthbeth ametoa onyo kwa wananchi wanaopanga kupanga kufanya maandamano siku ya Oktoba 29 akisema: "Kama serikali tunawajibu wa kukemea mapema, yeyote ama kundi linalopanga kufanya vurugu kwa kujishawishi mwenyewe ama kushawishiwa kwa makusudi ama kwa bahati mbaya...
  11. Keynez

    GE2025 Mange Kimambi anaweza kuwa ni "Double agent" anayewasaidia anaowasema 'vibaya' kila siku

    Wiki kadhaa zilizopita niliwataja Mange Kimambi, Humphrey Polepole na Luhaga Mpina kama watu ambao sijaamini dhamira ya maneno na matendo yao ya kisiasa. Haya maneno niliyasema siku kadhaa kabla taarifa za kupotea kwa Polepole hazijatoka. Niliwahi kusema master plan ya siasa za CCM ni kuwa...
  12. DuaZaMama

    GE2025 Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limeufungia wimbo wa TEREMSHA BUNDUKI wa Roma Mkatoliki

    Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limeufungia wimbo mpya wa msanii wa Hip Hop, Roma Mkatoliki, uliopewa jinala “Teremsha Bunduki”, ikiwa ni siku chache tangu ulipotoka rasmi. Taarifa ya BASATA ya leo Oktoba 21, 2025, imesema wimbo huo umevunja kanuni za Baraza, na kwa hivyo umezuiliwa...
  13. M

    GE2025 Georges Busungu (ADA TADEA): Nikiwa Rais kila mfungwa atapata posho ya kila mwezi

    Mgombea urais kupitia Chama cha Ada Tadea, Georges Busungu amesema endapo atachaguliwa kuongoza nchi katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano Oktoba 29, 2025, serikali yake itahakikisha magereza yote nchini yanaboreshwa na kila mfungwa anapata stadi za maisha pamoja na posho ya kila mwezi...
  14. McLaren

    GE2025 RC Shinyanga Mboni Mhita: Tutahakikisha siku ya Uchaguzi inapita kwa amani. Hatutamvumilia yeyote atakayevuruga amani

    Wakuu, Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mboni Mhita, amewatoa hofu wananchi wa mkoa huo kuhusu hali ya usalama kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025, akisisitiza kuwa mkoa uko salama na hauna tishio lolote la kiusalama. Akizungumza katika kikao na waandishi wa habari...
  15. McLaren

    GE2025 Hiki kizimba cha kuzuia mamba kilichojengwa Katavi nacho ni kitu cha kushukuru? Au ndo sarakasi za kampeni?

    Wakuu, Nimekutana na habari hii ikiwa imepambwa na kupendezeshwa kwa grafiki nzuri na caption ya kupendeza kweli. Yaani hiki nacho ni kitu cha kushukuru wakuu? Wakati China wanajenga madaraja ya kilomita 20 na, Marekani inajiandaa kwenda Mars na nchi nyingine za Afrika zinajiandaa kuanza...
  16. Idugunde

    Tafiti zimeonyesha watawala mafisadi na madhalimu wanaogopa maandamano kuliko mtutu wa Bunduki na vifaru

    Hii imethibitika dunia nzima. Maandamano ya wananchi waliochoka kuibiwa na kuteswa na madhalimu yana nguvu ya kuiangusha serikali dhalimu kuliko hata Mizinga na vifaru. Mapinduzi ya ya Tunisia na Misri mwaka 2010 yanatupa mfano hai. Ndio maana watawala wa kiafrika wanaogopa sana maandamano...
  17. Kiranga

    GE2025 Je, wanaharakati wana haki ya kuzuia wengine wasipige kura?

    Je, wanaharakati wana haki ya kuzuia wengine wasipige kura? Tuna siku chache kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025. Uchaguzi huu umegubikwa lindi la kukosa uhalali pengine kuliko uchaguzi mwingine wowote Tanzania. Hata mgombea wa CCM ameshutumiwa na mpaka kufunguliwa kesi kuwa kajipitisha bila...
  18. M

    GE2025 Kesi ya Lissu kuendelea leo Oktoba 20; Jamhuri kuleta utetezi baada ya Lissu kupinga vielelezo vya ushahidi

    Kesi inayomkabili Mhe. Lissu itaendelea leo Mahakama Kuu kanda ya DSM, Mawakili wa Serikali wataleta utetezi wao baada ya upande wa Mshtakiwa kupinga Vielelezo vilivyoletwa Mahakamani kama Ushahidi kupokelewa na Mahakama kutokana na kutofuata utaratibu wa mwanzo wa ukabidhi. --- Upande wa...
  19. W

    GE2025 Mama Ramso: Yapata wiki mbili sasa wananizungusha tu lakini mwanangu sijamuona. Naomba mnisaidie apatikane

    Ramso ni msanii wa vichekesho na mtoto wa pekee kwa mama yake, ambaye inasemekana ametekwa na watu wasiojulikana baada ya kuposti video akimtaka Rais Samia ajiuzulu kwani hakuna anayemtaka. Mama yake ametoka hadharani kuomba msaada wa mwanaye kupatikana ikiwa ni wiki mbili toka mwanaye...
  20. Cute Wife

    GE2025 Kwanini tunasema kuna mtu mwingine anaendesha nchi? Hatuamini Samia anaweza kuwa ndio msimamia shoo mwanzo mwisho?

    Wakuu, Kumekuwa na hizi assumption kutoka pande mbalimbali kwamba Samia yupo tu kama geresha na nyuma yake ndio kuna mtu ambaye hasaaa ameshika usukani na kuamrisha kete zipelekwe kule ambako anataka yeye zifike! Hivi ni kwanini tunafikiria haya, kwanini tunaona kama Samia hawezi kuwa...
Back
Top Bottom