Hizo kazi Zina wenyewe hata uwe na A zote hupati bila connection
You are foolish indeedHizo kazi Zina wenyewe hata uwe na A zote hupati bila connection
StupidHizo kazi Zina wenyewe hata uwe na A zote hupati bila connection
Lazima uanzie B+Habari za muda huu,
Nilikua nauliza je kwa mfano umepata GPA zaidi ya 3.8 bachelor degree ila kuna baadhi ya kozi core umepata B plain unaeza omba nafasi ya tutorial assistant na ukawa shortlisted kuitwa kwenye interview
Kigezo si 3.8+ pekee kama matangazo yanavyoonyeshaga?Lazima uanzie B+
Kwamba TA imekua ni kazi special sanaa, seeeHizo kazi Zina wenyewe hata uwe na A zote hupati bila connection
Una kigezo muhimu, omba hiyo nafasi na kutegemea ushindani utakao kuwepo unaweza ukala bingo.Habari za muda huu,
Nilikua nauliza je kwa mfano umepata GPA zaidi ya 3.8 bachelor degree ila kuna baadhi ya kozi core umepata B plain unaeza omba nafasi ya tutorial assistant na ukawa shortlisted kuitwa kwenye interview
Yes it's possibleHabari za muda huu,
Nilikua nauliza je kwa mfano umepata GPA zaidi ya 3.8 bachelor degree ila kuna baadhi ya kozi core umepata B plain unaeza omba nafasi ya tutorial assistant na ukawa shortlisted kuitwa kwenye interview
GPA NI 3.8 VYUO VINGI LAKINI KUNA VYUO WANAANZIA 3.5,Habari za muda huu,
Nilikua nauliza je kwa mfano umepata GPA zaidi ya 3.8 bachelor degree ila kuna baadhi ya kozi core umepata B plain unaeza omba nafasi ya tutorial assistant na ukawa shortlisted kuitwa kwenye interview
Inategemea na washindani wakeKama hauna minimum B+ SOMO HUSIKA HUWEZI KUWA SHORTLISTED
Kwani, unavyoenda kuomba kazi,huwa unaomba kuwa mwl general au specific?Inategemeana na kozi na vigezo husika. Maana kuna kozi zingine hawaangalii somo moja tu kuwa umepata B+ au tofauti.
Institutes Ni kuanzia 3.5GPA NI 3.8 VYUO VINGI LAKINI KUNA VYUO WANAANZIA 3.5,
KIKUBWA ZAIDI SOMI UNALOOMBA KUFUNDISHA LAZIMA UWE UMEAFULU KWENYE CHETI CHAKO KWA ALAMA YA B+
HOPEFULLY NIMEKUJIBU! HAVE A TRIAL
Kwani hata hizo institute si Ni vyuo lakini?Institutes Ni kuanzia 3.5
Shukrani kiongozi kwa mfano umeomba general ya kozi nzima mfano tutorial assistant in law umepata gpa yako ya 4.1 ila kuna baadhi ya kozi za law ulipata B plain kama mbili tatu hii imekaaje mkuu utakua shortlistedKwani, unavyoenda kuomba kazi,huwa unaomba kuwa mwl general au specific?
Ndugu vyuo Ni specific na ktk specific lazima SoMo husika upate B+
Kigezo si 3.8+ pekee kama matangazo yanavyoonyeshaga?
Unaitwa vizuri kabisa bila longolongo. Sifa ni atleast uwe na G.P.A ya 3.8 out of 5Habari za muda huu,
Nilikua nauliza je kwa mfano umepata GPA zaidi ya 3.8 bachelor degree ila kuna baadhi ya kozi core umepata B plain unaeza omba nafasi ya tutorial assistant na ukawa shortlisted kuitwa kwenye interview
Institutes Ni ufaulu mdogo compared to universitiesKwani hata hizo institute si Ni vyuo lakini?
Kikubwa we jua tu Kuna vyuo vya 3.8 na 3.5