hooligan01
JF-Expert Member
- Nov 21, 2013
- 662
- 523
Habarini ndugu zangu nilikuwanaomba ushauri kuna dogo langu anafundisha chuo kikuu cha Dar es Salaam kama Tutorial Assistant na kaitwa kufanya interview TRA kama Tutorial assistant.
Yuko anauliza je kuna umuhimu wa yeye kwenda TRA kufanya interview na akaachana na UDSM maana salary scale ya TRA ni nzuri na hajui kama kutakuwa na fursa mbalimbali kama allowances etc.
Nimeshindwa kumshauri moja kwa moja…naomba mawazo yenu wadau.
Ahsanteni.
Yuko anauliza je kuna umuhimu wa yeye kwenda TRA kufanya interview na akaachana na UDSM maana salary scale ya TRA ni nzuri na hajui kama kutakuwa na fursa mbalimbali kama allowances etc.
Nimeshindwa kumshauri moja kwa moja…naomba mawazo yenu wadau.
Ahsanteni.