Tunisia, officially the Republic of Tunisia, is the northernmost country in Africa. It is a part of the Maghreb region of North Africa, and is bordered by Algeria to the west and southwest, Libya to the southeast, and the Mediterranean Sea to the north and east; covering 163,610 km2 (63,170 sq mi), with a population of 11 million. It contains the eastern end of the Atlas Mountains and the northern reaches of the Sahara desert, with much of its remaining territory arable land. Its 1,300 km (810 mi) of coastline include the African conjunction of the western and eastern parts of the Mediterranean Basin. Tunisia is home to Africa's northernmost point, Cape Angela; and its capital and largest city is Tunis, located on its northeastern coast, which lends the country its name.
From early antiquity, Tunisia was inhabited by the indigenous Berbers. Phoenicians began to arrive in the 12th century BC, establishing several settlements, of which Carthage emerged as the most powerful by the 7th century BC. A major mercantile empire and a military rival of the Roman Republic, Carthage was defeated by the Romans in 146 BC, who occupied Tunisia for most of the next 800 years, introducing Christianity and leaving architectural legacies like the amphitheatre of El Jem. After several attempts starting in 647, Muslims conquered all of Tunisia by 697, bringing Islam and Arab culture to the local inhabitants. The Ottoman Empire established control in 1574 and held sway for over 300 years, until the French conquered Tunisia in 1881. Tunisia gained independence under the leadership of Habib Bourguiba, who declared the Tunisian Republic in 1957. Today, Tunisia is the smallest nation in North Africa, and its culture and identity are rooted in this centuries-long intersection of different cultures and ethnicities.
In 2011, the Tunisian Revolution, triggered by the lack of freedom and democracy under the 24-year rule of president Zine El Abidine Ben Ali, overthrew his regime and catalyzed the broader Arab Spring across the region. Free multiparty parliamentary elections were held shortly after; the country again voted for parliament on 26 October 2014, and for president on 23 November 2014. Tunisia remains a unitary semi-presidential representative democratic republic; and is the only North African country classified as "Free" by Freedom House, and considered the only fully democratic state in the Arab World in the Economist Intelligence Unit's Democracy Index. It is one of the few countries in Africa ranking high in the Human Development Index, with one of the highest per capita incomes in the continent.
Tunisia is well integrated into the international community. It is a member of the United Nations, La Francophonie, the Arab League, the OIC, the African Union, the Non-Aligned Movement, the International Criminal Court, and the Group of 77, among others. It maintains close economic and political relations with some European countries, particularly with France, and Italy, which geographically lie very close to it. Tunisia also has an association agreement with the European Union, and has also attained the status of major non-NATO ally of the United States.
Recently, anti-government protests stemming in part from the COVID-19 pandemic resulted in an ongoing political crisis.
Tunisia ni nchi iliyoendelea zaidi Afrika in terms of economic competivenes, na kama hilo halitoshi Tunisia ni majority waislamu hivyo unaweza hata kuuita an islamic republic kama uwingi wa waislamu ni kigezo but there is a catch, Tunisia hairuhusu wanawake kuvaa hijab shuleni, ofisini au sehemu...
Mwanamke mmoja mkazi wa Mtaa wa Nduka, Kata ya Chamwino jijini Dodoma, Rehema Shabani (41), amefariki duniani kwa kujimwagia mafuta ya taa na kujiwasha moto akiwa amejifungia chumbani kwake.
Tukio hilo lilitokea juzi majira ya saa nne asubuhi huku chanzo kikiwa bado hakijafahamika.
Alisema...
2010 tarehe 17 December ndio ilikuwa mda rasmi nchi ya Tunisia ikijikuta wananchi wanaongea lugha Moja.
Kisa kinaanza hivi. Ugumu wa maisha kuwa mkubwa,rushwa ndani ya serikali kukisiri,ukosefu wa ajira,uhuru na ukandamizaji wa watawala kuwa mkubwa.
Kijana mmoja baada ya kumaliza chuo kwa...
Mpaka muda huu kwa Kesi iliyoko Mkoani Mbeya na inavyoendelea nawaona Team Yes DP World wanaenda Kufungwa ( Kushindwa ) vibaya mno na Kuumbuka.
Ushauri pekee ambao GENTAMYCINE nautoa kwa Team Yes DP World huku nikiwana Team No DP World wanavyoupiga mwingi hawa ( Team Yes DP World ) wawaige Azam...
Klabu ya soka ya Azam, imetangaza ya kwamba, itaanza rasmi kambi yake ya kujiandaa kwa ajili ya msimu ujao Julai 9 mpaka Julai 30, 2023. Kwa mujibu wa taarifa ya klabu hiyo, kambi itakuwa katika Mji wa Sousse nchini Tunisia.
Jumapili ya wiki hii, kikosi cha Azam FC kinatarajiwa kusafiri...
Wahamiaji kutoka Kusini mwa Jangwa la Sahara wameshambuliwa katika Mji wa Sfax huku zaidi ya 10 wakiripotiwa kujeruhiwa wakiwemo Wanawake na Watoto.
Machafuko hayo ya kulipiza kisasi yamechochewa na mauaji ya raia wa Tunisia yaliyotokea wakati wa makabiliano na Wahamiaji kadhaa, Julai 3, 2023...
Hiki ndio kinakwenda kutokea huko ugenini tarehe 03/06/2023. Yanga ushindi ni popote ugenini au nyumbani. Waarabu hawataamini kama ilivyotokea kwa wale Waarabu wa Tunisia.
Goli moja walilopata Yanga ndio itakuwa chachu kwa Yanga na ndio litawapa nguvu ya kupambana tofauti na kama wangefungwa...
Waandishi hao wa Habari wanapinga kile wanachosema kuwa ni Sheria kandamizi dhidi ya ugaidi iliyoundwa kuvitisha vyombo vya habari.
Wameandamana wakiwa na mabango nje ya makao makuu ya muungano wa Wanahabari wa Kitaifa, wakitangaza kuwa uhuru unategemea uhuru wa vyombo vya habari.
Mei 16...
Inaaminika watu hao wanaweza kuwa wamepoteza maisha kutokana na ajali hizo ziliyotokea Pwani ya Tunisia wakati meli husika zikiwa njiani kuelekea Italia.
Meli ya kwanza ilikuwa na watu 37 na ya pili ilikuwa na watu 36, baadhi wameokolewa na wengine hawajulikani walipo.
Tangu Machi 2023 kuna...
Jumatatu ya Machi 20, 2023, Itakuwa siku ya kihistoria na ngumu kwa Serikali za Mataifa 4 ya Afrika, kutokana na kuitishwa kwa Maandamano na Migomo ya Utii dhidi ya Serikali na Mashinikizo kwa Marais wa Nchi hizo.
Maandamano hayo yameitishwa na makundi mbalimbali ikiwemo Vyama vya Upinzani...
Uhusiano kati ya wanaume weusi na wanawake wa Tunisia kufikia hadi kuzaa imeshika kasi hadi kuwashtua.
Mahusiano kama hayo hayakuwepo zamani. Kwa miaka ya karibuni hali imekuwa tofauti na kuleta wivu na chuki.
Wahamiaji kutoka sub Saharan wako elfu 21 moja tu kati ya idadi ya watunisia million...
Wageni weusi kutokea mataifa kutokea mataifa mengine Afrika waanza kuikimbia Tunisia baada ya rais kufyatuka na kuwalaumu kwa wao kujaribu kubadilisha kizazi cha watu wa Tunisia (ambao ni waarabu) na pia kulaumu weusi kwa uhalifu.
Makundi ya waarabu yameanza kutembeza kichapo kwa weusi...
Utakumbuka hivi Majuzi Rais wa Tunisia Mh. Kais Saed alisema nchi yake inavamiwa na Waafrika ambao wanataka kubadili demography ya nchi yake. Sasa Mzee Mmoja akihojiwa nchini humo ameeleza kuwa Waafrica hawana dhamani kama wao Watunisia na wao wamekuwa wakiwauza tu kama bidhaa.
Siku za karibuni...
Kwa wale wanaopenda kujinasibisha na watu wa Afrika ya Kasikazini na kuwaita Waafrika wenzao nadhani mmesikia alichosema Raisi wa Tunisia kuhusu Waafrika wabantu.
Waafrika popote walipo ni wahanga wa ubaguzi iwe Afrika, Ulaya, Asia au Amerika. Yote kwa sababu tumeacha asili zetu, dini zetu...
Si huwa mnasema kuwa Simba SC tu pekee ndiyo Walozi ( Wachawi ) kwa Soka la Tanzania?
Na akirejea Tanzania mtatuambia hayo Manyoya ya Sungura na Bundi aliyabeba ya nini kwenda nayo nchini Mali.
Tukutane baada ya Mechi Usiku Ok?
Rejea kuangalia Jezi za Yanga SC za Leo ilizotumia Kucheza na US Monastir ya nchini Tunisia utagundua kuwa Kilichotambulishwa ni Jezi za Juu ( Shati ) tu za Mdhamini Haier ila Bukta zilizotumika ni zile zile za Siku zote zilizotambulishwa mwanzo wa Msimu.
Huu ni Uhuni ambao kamwe haupaswi...
Wananchi hao zaidi ya elfu moja wamemtaka Rais Kais Saied kuachia ngazi kutokana na mzozo wa kisiasa na kiuchumi unaoendelea.
Wakiandamana katika Mji Mkuu wa #Tunis huku wakipata upinzani kutoka kwa Askari katika baadhi ya maeneo, wamedai licha ya kumuunga mkono kiongozi huyo lakini Serikali...
Muuza duka anaonesha sahani ya mchuzi wa pilipili wa Harissa katika soko huko Tunis, Tunisia. Mchuzi wa Harissa unaotengenezwa kwa pilpili umewekwa katika orodha ya urithi wa dunia na Shirika la Elimu na Sayansi la Umoja wa Mataifa(UNESCO).
Kwa mnaofuatilia kombe la dunia hasa mechi za France, France ni timu kali sana
Cheki mechi dhidi ya Australia, Denmark kisha angalia mechi ya leo dhidi ya Tunisia
Hawa jamaa japo walikuwa wameshavuka na kuchezesha kikosi cha pili, lakini wamecheza wakiwa wamelegea mnoo, yaani kiwango chao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.