Ameandika Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA, Rose Mayemba:
Tumetoka Gereza la Keko muda huu kwa ajili ya kutaka kumuona Mhe Lissu, Askari Magereza wametuambia hayupo, tumeuliza yuko wapi wamesema hata wao hawajui!.
Sasa nani kamuondoa bila ruhusa ya Mahakama? Aliyemuondoa amempeleka wapi? Kwanini...
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema bado kimeendelea kusisitiza kuhusu msimamo wake wa Jana Aprili 18, 2025 wa kulitaka Jeshi la Magereza na Vyombo vingine vya Dola kueleza kwa "haraka" alipo Mhe. Tundu Lissu, Mwenyekiti wa Chadema Taifa, wakieleza kuwa mara baada ya saa 24 kupita...
Habari wadau!
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, siku hiyo tunaweza kusikia mambo mazito amayo pengine kamwe tusingeweza kuyasikia kwani ni lazima atawavua nguo watu wazito bila kujali nafasi zao katika jamii unless wataendele kumshikilia.
Mpaka sasa, naamini aliitwa pale Magogoni na...
Tundu Lissu’s wrongful imprisonment on treason charges has significant implications, not only for his political career but also for the broader context of leadership in Tanzania and beyond.
Lissu, a prominent opposition figure, has been a vocal advocate for democracy, human rights, and good...
Baada ya taarifa kwa umma iliyotolewa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kulitaka Jeshi la Magereza, mamlaka husika na vyombo vya dola kutoa taarifa wazi na za haraka kwa umma kuhusu mahali alipopelekwa Tundu Lissu baada ya viongozi wa chama hicho baada ya kuelezwa kuwa hayupo katika...
Nazani hili halina ushahidi hata kidogo,kuanzia majumbani,makazini kwenye nyumba za Ibada habari ni Tundu Lissu,
Hata kwenye mitandao ya kijamii kuna watu wanapigisha kura jinsi CCM inavyogalagazwa na Chadema ni balaa,ni ukweli mtupu, nyota ya asubuhi imeanza kuchomoza kwa matumaini ya Chadema
Dr. Wilbroad Peter Slaa anasema, amepata taarifa za ndani kabisa kutoka kwenye credible sources serikalini kuwa..
1. Huko CCM na ndani ya "deep state" hakukaliki, viti vinawaka moto...
2. Wamegawanyika na kulaumiana wao kwa wao ndani ya CCM na Serikali kwa kutekeleza ukamataji huo wa hovyo...
Juzi nilipost mambo Saba yatakayotokea kueleka UCHAGUZI MKUU 2025 na jambo la kwanza nilisema Mh. Tundu A. Lissu ataachiwa kabla ya mwezi Juni kuisha.
Leo zimezuka taarifa kuwa Mh. Tundu Lissu ametolewa gerezani Keko na kupelekwa kusikojulikana. Nilikuwa nasubiria kujilizisha kutoka Deep source...
Wakuu habari zenu hapa.
Sijawahi kuandaa na kuandika uzi hapa.
Ila huu uzi uwe maalumu kwa ajili ya kumuombea ndugu yetu, mzalendo, mpenda haki na mpenda sheria na mpenda mabadiliko yenye faida kwa taifa hili.
Si mwingine bali ni #NIYEYE Mhe/Ndugu Tindu A Lissu.
Naanza na sala kutoka nafsini...
Tundu Lissu has just been collected by official motorcade from the Keko prison.
Not so sure where exactly is he being taken
———
UPDATE:
My insider indicates that he has been moved to Ukonga
TUNATAKA KUJUA ALIPO MHE TUNDU LISSU
Leo Ijumaa, Aprili 18, 2025, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Wakili...
Hello!
Mpaka keshokutwa saa 5 na dk 59 usiku au 23:59 tarehe 20, Aprili kama Lissu hataachiwa nitafunga mlango wa rehema kwa watesi wake. Nitaufunga kabisa na hautafunguliwa tena.
Kama Lissu amefanya uhaini kwa Taifa hili basi hukumu ya Mungu itaenda kwake ndani ya hizo siku 7 lakini haki ya...
Kwanini uhudhurio wa mabalozi hawa lazima upingwe.
Soma pia
https://www.jamiiforums.com/threads/mabalozi-wa-marekani-na-jumuiya-ya-ulaya-waliopo-tanzania-watahudhuria-kesi-ya-uhaini-inayomkabili-tundu-lissu.2329878/
Katika miaka ya hivi karibuni, mabalozi wa kutoka Ulaya wamekuwa wakivuka...
Godbless Lema afichua maneno aliyoambiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu alipoenda kumtembelea Mahabusu.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Heche amewataka Wanachama wa Chama hicho na Wananchi kwa ujumla kufika kwa wingi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu siku ambayo Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu atafikishwa Mahakamani April 24 kwa ajili ya kusikiliza...
➡Kwa msomaji mzuri wa Biblia anaikumbuka kesi hii maarufu iliyorekodiwa ktk kitabu kitakatifu - Neno la Mungu (Biblia) katika kitabu cha Daniel sura ya 3 mstari wa 1 - 30...
➡Ofcoz ni kesi iliyojengwa ktk msingi wa sheria mbaya na ovu dhidi ya wenye HAKI. Maofisa serikalini (i .e mawaziri...
Wakuu!
Hawa G-55 watakuwa na hali gani huko waliko kama kweli Mbowe, anayedaiwa kuwa nyuma yao ameenda kumtembelea TAL?
===
Mwenyekiti Mstaafu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Mbowe akiambatana na Salum Mwalimu aliyekuwa Naibu katibu Mkuu wa Chama hicho Zanzibar pamoja na...
Lema amedai ametoka gerezani kuongea na Lissu na amemwambia watanzania wa siwe na hofu yuko tayari kufa.
Huyo mtu anayedai yuko tayari kufa alimkimbia Magufuli, amekimbiza familia yake yote na sąsa hivi mkewe yuko Ubelgiji na watoto wake na mke ameahidi Tanzania hakanyagi tena.
Sasa mtu...
Uvunjifu wa amani ni kosa la jinai chini ya Kanuni ya Adhabu, hasa Kifungu cha 89. Inahusisha kutumia lugha ya matusi, ugomvi, au kuleta fujo zinazoweza kusababisha uvunjifu wa amani. Iwapo watapatikana na hatia, wahalifu wanaweza kukabiliwa na kifungo cha hadi miezi sita, bila chaguo la kulipa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.