Hii inawahusu wale waliokuwa washabiki wa Mnyama ambao walihamia Tu-mbili Sports Club aka Utopolo, na sababu kuu waliotoa NI kuwa wanafuata furaha kwenye Timu isiyofungwa. Wengine walitukejeli adi Kwa nyimbo eti' Yanga tamu!' na pia eti wakaenda mbali Kwa kusema eti ' maisha yamchanganye na...