Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,669
- 12,042
Natanguliza samahani kama kuna watakao kwazika kwa hili swali langu ila ningeomba kupata ufananuzi kwa wanao jua.
Hivi lile tunda la katika lililokatazwa kwenye bustani ya Eden lilikuwa ni lipi?
Mana zipo hoja kwamba tunda lile ilikuwa ni Tendo la ndoa (ngono) na kama imani hiyo ni ya kweli je Eva alafanya na nani ? Mana maandiko yanasema Eva alikula lile Tunda kwanza na kisha Adam aliporudi akampa nayeye akala.!!
Sasa kama ni hivo, je ni kweli kwamba Eva /Hawa alifanya mapenzi na shetani kwanza kisha ndo akaja kufanya na Adam??
Naombeni kujua.
Hivi lile tunda la katika lililokatazwa kwenye bustani ya Eden lilikuwa ni lipi?
Mana zipo hoja kwamba tunda lile ilikuwa ni Tendo la ndoa (ngono) na kama imani hiyo ni ya kweli je Eva alafanya na nani ? Mana maandiko yanasema Eva alikula lile Tunda kwanza na kisha Adam aliporudi akampa nayeye akala.!!
Sasa kama ni hivo, je ni kweli kwamba Eva /Hawa alifanya mapenzi na shetani kwanza kisha ndo akaja kufanya na Adam??
Naombeni kujua.