tume huru

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GE2020 Eti ‘tunataka Tume huru’ wakati chaguzi za vyama vyenu hazina huo uhuru, wanafiki wakubwa!

    Katika kutafakari juu ya agenda ya vyama pinzani hapa Tanzania tunapoelekea Uchaguzi, nimewaza na kawazua bila kupata majibu juu ya yale yanayojiri kwenye vyama vyenyewe na kile wanachojaribu kushinikiza kifanyike! Katika yote vifanyavyo hivi vyama vinajaribu kuhadaa watz kama mtakavyoona...
  2. Maaskofu na Mashekhe: Tunataka tume huru ya Kijaji kuchunguza matukio yanayoendelea Tanzania kati ya Serikali na Chama cha Upinzani

    Wakiongea kupitia BBC maasikofu na wachungaji wamesema wanasikitishwa na hali inayoendelea Tanzania juu ya matukio ya watu kushambuliwa na hata kuvunjwa mikono. wanasema wanataka iundwe tume huru ya kijaji kwa kuwatumia majaji wastaafu. Wanasema majaji wastaafu wanaweza kutokuwa na upendeleo...
  3. Membe anaweza saidia sana katika mchakato wa kudai Tume Huru ya Uchaguzi

    Vyama vya siasa vinavyo jitambua ambavyo vimeanzisha mchakato wa kudai Tume Huru ya uchaguzi vinaweza kucheza vizuri karata kama watamtumia Bernard Membe. Namshauri Membe kutojiunga na chama chochote cha siasa ili kile anachokiamini kiweze kufanikiwa, apigane hii vita akiwa kama mwanaharakati...
  4. CHADEMA yaanza kutumia mbinu za kisasa kudai Tume Huru ya Uchaguzi. Kalamu na Mask zenye maneno "TUME HURU" zaanza kusambazwa mitaani

    Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa , Tuendelee kutega sikio kwa Taarifa zaidi . Mungu ibariki Chadema
  5. Tume huru bado hii ni corona

  6. Chadema itashinda Urais 2020 hata bila TUME HURU

    Chadema itashinda urais hata bila tume huru 2020 kama itafanya yafuatayo 1: Kama haitapokea makapi na mafisadi kutoka ccm kuja kugombea. 2: kama watamsimamisha Tundu Lissu kupambana na Magufuli. 3: Kama watawaambia wananchi kulinda kula zao kwa Cost yetote kwenye vituo. Kama chama...
  7. Ati nini? Tume huru; asubuhi na mapema!

    Skia! Enyi mlio jirani nae, mwambieni asiogope, mstueni janja yao wanajua hawana chao. Mwambieni ukweli kwamba the so called “Tume Huru (TH)” hiyo kwake ni mbachao, amkumbatie aende nae awaachie msala wao. Wanatambua hawawezi na hawajui walitakalo, wameishiwa hadi nauli na chomboni...
  8. J

    Pascal Mayalla: NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama lilivyo bunge na mahakama kwa sababu vyote hivi msingi wake ni Rais

    Mwandishi mkongwe na mwanasheria nguli Pascal Mayalla amesema NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama zilivyo Mahakama na Bunge. Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba. Pia Pascal amempongeza Rais Magufuli kwa...
  9. Kipanya: uhusiano wa karibu uliopo kati ya Corona Virus na Tume Huru ya Uchaguzi

  10. V

    Kingunge: Bila tume huru, wapinzani wasahau kuingia Ikulu

    Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru amesema bila ya kuwa na tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya, vyama vya upinzani visahau kushinda urais katika Uchaguzi Mkuu ujao. Kauli ya Kingunge imekuja siku moja baada Rais John Magufuli kumteua Jaji Themistocles Kaijage kuwa mwenyekiti...
  11. K

    Bila kuchelewa, Serikali ya Tanzania ijipambanue kupata uchaguzi huru na haki ili kuondoa upotoshaji

    Kwanza naomba Mods, uzi huu usiunganishwe na nyengine. Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na kauli mbali mbali kuhusu Madai ya tume huru ya uchaguzi Tanzania. Si vyama vya upinzani tu lakini hata wadau wa maendeleo na demokrasia wamesikika wakihimiza kwa serikali kuleta tume huru ya uchaguzi...
  12. Video : Operesheni Tume huru yazinduliwa Mikumi

    Tukipaza sauti kila mahali Tume huru itapatikana.
  13. J

    GE2020 Sheikh Alhad Salum wa Bakwata asema litakuwa jambo Jema kama itapatikana Tume Huru ya uchaguzi 2020 ili kulinda amani

    Shehe wa mkoa wa Dsm, Alhad Salum amesema amani yetu ni tunu ya Taifa hivyo ni jambo jema kabisa kama itapatikana Tume huru ya uchaguzi kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu ie 2020. Sheikh Salum ametoa maoni katika mahojiano ya waandishi wa habari na viongozi mbalimbali wa dini akiwemo Katibu...
  14. T

    Tume Huru ya Uchaguzi itaundwa pale tu CHADEMA na wapinzani kwa ujumla watakaposusia Uchaguzi Mkuu 2020

    Kabla ya uchaguzi wa Mwenyekiti Taifa wa CHADEMA, nilipost uzi unaosema kuwa CCM wameweka mapandikizi yao yagombee lakini niliishia kupigwa BAN ya miezi mitatu na hawa moderator mpaka uchaguzi ukaisha bila bila. Sasa leo nawaambia hivi, CHADEMA na upinzani kwa ujumla mnatakiwa kutoa tamko la...
  15. J

    Waitara: NEC ni Tume Huru ya uchaguzi, 2015 niligombea ubunge kupitia CHADEMA Tume Huru ikanitangaza mshindi

    Naibu waziri. wa Tamisemi Mwita Waitara amesema NEC ni Tume huru ya uchaguzi, watakaosusa wasuse lakini wengine watakula. Source: Malumbano ya Hoja mubashara
  16. Pamoja na Tume Huru ya Uchaguzi, isiwe lazima kila jimbo kuwa na mbunge

    Leo Bunge limeahirishwa. Michango tumeiona kwa ubora tofauti. Hapa Ndani ya JF kuna watu wanashawishi watu fulani waende majimboni kuchukuwa nafasi za Ubunge. Niliwaona Ukerewe wakiwaomba maprofesa, nawaona leo wana Karagwe wakimuita Profesa. Ombi langu ni kwamba isiwe ni lazima kila jimbo...
  17. L

    Tume huru ya uchaguzi iweje?

    Tumekuwa tukiwasikia viongozi wa Vyama vya Upinzani wakidai Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 uwe wa haki na huru. Sasa najaribu kutafakari, hawa vyama pinzani wataona uchaguzi wa 2020 kuwa upo huru na haki endapo watausimamia wenyewe? Maana inafahamika sheria na taratibu za uchaguzi zilivyo na...
  18. CCM haiwezi kushinda uchaguzi wowote wa halali mahali popote nchini Tanzania

    Wakuu Kwa sasa nimeamini kabisa kwamba Hakika ccm maji yamefika shingoni , hata kama ni Dodoma ambako inasemekana ni ngome yake , hiki chama hakiwezi kushinda uchaguzi wowote ule unaoshirikisha vyama vingi na unaowapa uhuru wananchi kuchagua baada ya kusikiliza kampeni za wagombea wote kwa haki...
  19. Katiba Mpya, Tume huru chini ya CCM ni ndoto ya mchana! Upinzani chukueni hatua

    Ndugu zangu, hizi kelele zisizokoma kila siku za kwamba, tume ya taifa ya uchaguzi haiko huru, katiba tuliyo nayo ni mbovu na kwamba imepitwa na wakati, ni madai ya msingi kabisa. Tumeona uchaguzi ulivyo vurugwa, katiba yenyewe tuliyo nayo inavyo siginwa na watawala, wenye mawazo na mtazamo...
  20. Kama Serikali imepeleka miswada kadhaa kwa hati ya dharula, kwanini isipeleke wa kuundwa kwa Tume huru ya uchaguzi wenye maslahi mapana kwa Taifa?

    Tunafahamu kuwa serikali yetu imekuwa "bingwa" wa kupeleka miswada kadhaa Bungeni kwa hati za dharula, swali kubwa ninalojiuliza hivi sasa ni kuwa kutokana na kilio cha mamilioni ya watanzania wanaotaka Tume huru ya uchaguzi, ni kwanini serikali hii inapata "kigugumizi" cha kupeleka muswada huo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…