Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,601
- 217,993
Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa , Tuendelee kutega sikio kwa Taarifa zaidi .
Mungu ibariki Chadema
Goooooooood!!!!View attachment 1394118
Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa , Tuendelee kutega sikio kwa Taarifa zaidi .
Mungu ibariki Chadema
Kwa viongozi duni kama Polepole ccm itaendelea kusubiri sana kwa ChademaGoooooooood!!!!
Zinagawiwa bure kila mahali , ukiona kijana yeyote ana fulana au kofia iliyoandikwa M4C mwambie akupatieJe hiyo ni biashara mkuu??
Na kama ni biashara zinapatikana wapi??
ngoja tuoneJiwe atazipiga marufuku!!
View attachment 1394118
Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa , Tuendelee kutega sikio kwa Taarifa zaidi .
Mungu ibariki Chadema
Karibu sana kamandaBiashara uchwara
Chadema mbona mnataka kumsababishia hypertension mwenyekiti wetu hapa Lumumba St jamani??!!View attachment 1394118
Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa , Tuendelee kutega sikio kwa Taarifa zaidi .
Mungu ibariki Chadema
Unajua Chadema haihangaiki na mtu duni kama Polepole , Chadema inaangalia mustakhabari wa Taifadah.. hii imekaa vizuri, washamba akina slow slow mbona watafura.!?
Mnapoteza pesa bure! Watz hawana mpango na nyinyi wameshawachoka na uongo wenu!View attachment 1394118
Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa , Tuendelee kutega sikio kwa Taarifa zaidi .
Mungu ibariki Chadema
Hiyo biashara.View attachment 1394118
Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa , Tuendelee kutega sikio kwa Taarifa zaidi .
Mungu ibariki Chadema
Sasa mbona wametulipia faini ?Mnapoteza pesa bure! Watz hawana mpango na nyinyi wameshawachoka na uongo wenu!
Ni bure tu kamanda