Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Kabla ya uchaguzi wa Mwenyekiti Taifa wa CHADEMA, nilipost uzi unaosema kuwa CCM wameweka mapandikizi yao yagombee lakini niliishia kupigwa BAN ya miezi mitatu na hawa moderator mpaka uchaguzi ukaisha bila bila.
Sasa leo nawaambia hivi, CHADEMA na upinzani kwa ujumla mnatakiwa kutoa tamko la kususia uchaguzi mkuu 2020 endapo tume huru haitaundwa.
Nawahakikishia kuwa WAKATI NI SASA, mtakuja kujuta huko mbeleni pale mtakaposema BORA TUNGEJUA.
Ni vema uchaguzi ukafanyika hata mwakani 2021 kukiwa na tume huru yenye maridhiano kuliko kufanyika mwaka huu kwa kutegemea FAIR PLAY ya tume iliyopo.
Msipogomea uchaguzi mkuu, HAMTOBOI.
Sasa leo nawaambia hivi, CHADEMA na upinzani kwa ujumla mnatakiwa kutoa tamko la kususia uchaguzi mkuu 2020 endapo tume huru haitaundwa.
Nawahakikishia kuwa WAKATI NI SASA, mtakuja kujuta huko mbeleni pale mtakaposema BORA TUNGEJUA.
Ni vema uchaguzi ukafanyika hata mwakani 2021 kukiwa na tume huru yenye maridhiano kuliko kufanyika mwaka huu kwa kutegemea FAIR PLAY ya tume iliyopo.
Msipogomea uchaguzi mkuu, HAMTOBOI.