Je, Tangazo la Ajira TRA ni la kweli?

Midimay

JF-Expert Member
Apr 12, 2015
2,908
4,771
Nimeona tangazo la nafasi za kazi kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) kwa nafasi mbali mbali.
Maswali langu ni:

1. Imekuwaje TRA wamejipa(kama ni kweli) jukumu la kuanza mchakato wa ajira(recruitment process)?

2. Ni lini sheria imebadilika kutoka PSRS(Sekretariat ya Ajira katika Utumishi wa Umma) kufanya mchakato wa ajira kuwa wa Taasisi husika?

3. Je, changamoto zilizofanya kuundwa na kukasimiwa madaraka ya mchakato wa ajira kwa PSRS zimeisha?

4. TRA wana haraka gani kama taasisi ya umma kukimbilia kutangaza ajira kama wao?

5. Ni nini wataka kukificha hadi wakiuke "establishment" ya kitaifa?

6. Je, huko siyo kurudi nyuma kule tulikotoka ya ndugunization katika idara mbalimbali za serikali?

7. Je, maslahi ya Taifa hayahatarishwi na dharau hizi za TRA?
 
Sijui nini kinaendelea maana mfumo wao wa maombi ya kazi haupokei documents as attachment kikamilifu. Hii inaweza kuwa sababu ya kutokuita watu kwenye usaili licha ya kuwa nje ya uwezo wa muombaji.
 
Sijui nini kinaendelea maana mfumo wao wa maombi ya kazi haupokei documents as attachment kikamilifu. Hii inaweza kuwa sababu ya kutokuita watu kwenye usaili licha ya kuwa nje ya uwezo wa muombaji.
Documents gani ambazo hazipokelewi?
 
Pdf format? Vipi size ya file?
Nimejaribu kuomba kazi kada ambayo hainihusu kama majaribio documents zote zimekubali isipokuwa hizo za ICT, Pia kuna jamaa yangu naye inamgomea kama mimi wote ni kada moja.
 
Nimeona tangazo la nafasi za kazi kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) kwa nafasi mbali mbali.
Maswali langu ni:

1. Imekuwaje TRA wamejipa(kama ni kweli) jukumu la kuanza mchakato wa ajira(recruitment process)?

2. Ni lini sheria imebadilika kutoka PSRS(Sekretariat ya Ajira katika Utumishi wa Umma) kufanya mchakato wa ajira kuwa wa Taasisi husika?

3. Je, changamoto zilizofanya kuundwa na kukasimiwa madaraka ya mchakato wa ajira kwa PSRS zimeisha?

4. TRA wana haraka gani kama taasisi ya umma kukimbilia kutangaza ajira kama wao?

5. Ni nini wataka kukificha hadi wakiuke "establishment" ya kitaifa?

6. Je, huko siyo kurudi nyuma kule tulikotoka ya ndugunization katika idara mbalimbali za serikali?

7. Je, maslahi ya Taifa hayahatarishwi na dharau hizi za TRA?
TRA ni idara inayojitegemea na kuzalisha, na nimepewa mamlaka kamili ya kusajiri na kulipa mishahara kwa wafanyakazi wake wote.
 
Bado tra bado hawajaitaa watu kwenye usailii kuwenii na subiraa,nilionaa Uzi umekaaa kmy ikabidii niwashtue kdg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom