Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,804
- 1,871
Watanzania sasa wamemuelewa Mama na kukubali kulipa Tozo na kodi kwa moyo mmoja. Katika mitandao malalamiko hayo yamepungua, na leo kulikuwa na Thread moja tu ya kulalamikia kuchelewa kwa muamala kwa ajili ya Tozo na si lalamiko la tozo. Ni suala la utendaji tu
Hii imetokana na watanzania kuelezwa matumizi ya pesa hizo za mwezi mmoja tu kujenga madarasa 560 watayosomea watoto wetu na kujengwa kwa zahanati zaidi ya 90 tutazotumia sisi wenyewe.
Ni mwendawazimu tu anaweza kuendelea kulalamika katika faida hizo kwa mwezi mmoja. Fikiria kwa mwaka mmoja tutakuwa wapi. Mama endelea watanzania tupo nyuma yako, na yataposimama madarasa na zahanati vicheko vitazidi.
Mama, Rais SSH endelea kuzungumza na watanzania kwa lugha wanayoielewa, na wao watakuelewa tu.
Hii imetokana na watanzania kuelezwa matumizi ya pesa hizo za mwezi mmoja tu kujenga madarasa 560 watayosomea watoto wetu na kujengwa kwa zahanati zaidi ya 90 tutazotumia sisi wenyewe.
Ni mwendawazimu tu anaweza kuendelea kulalamika katika faida hizo kwa mwezi mmoja. Fikiria kwa mwaka mmoja tutakuwa wapi. Mama endelea watanzania tupo nyuma yako, na yataposimama madarasa na zahanati vicheko vitazidi.
Mama, Rais SSH endelea kuzungumza na watanzania kwa lugha wanayoielewa, na wao watakuelewa tu.