tff

TFF 2. Lig (Turkish Football Federation Second League) or TFF 2. Lig (in Turkish), is the third level in the Turkish football league system. It was founded in the 2001–02 season with the name of Turkish Second League Category B as a continuation of the then second level division. In the 2005–06 season the name of the league was changed to Lig B. Since the 2007–08 season the league's current name is used along with sponsor names.
Turkish Second Football League (in Turkish: Türkiye İkinci Futbol Ligi or shortly İkinci Lig or 2. Lig) is a defunct football league in Turkey. It was the second level division in Turkish football since its foundation in 1963–64 until the formation of the new league system in 2001–02. The Second Football League was divided into two categories in the 2001–02 season: Category A and Category B. Since 2007–08 Category A has continued as the TFF First League and Category B has continued as the TFF Second League.

View More On Wikipedia.org
  1. Kifurukutu

    TFF: Tanzania kuwa na timu 4 mashindano ya CAF msimu ujao

    Hatimaye yametimia! Ongezeko la timu nne kushiriki mashindano ya CAF msimu ujayo yamekuja baada ya mafanikio ya SIMBA SC kufanikiwa kufika robo final licha ya kutolewa na Kaizer Chiefs ya South Africa. CAF champions league itashirikisha mshindi wa VPL kama ilivyo kawaida yake, huku mshindi wa...
  2. H

    Azam TV Limited yaingia mkataba wa kuonesha Matangazo ya Ligi Kuu kwa miaka 10. Mshindi misimu mitatu ijayo kulamba bonus Tsh 500m

    Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Bodi ya Ligi na Azam TV Limited kwa pamoja wameingia makubaliano ya kuonesha matangazo ya mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara kwa muda wa miaka 10 wenye thamani ya Shilingi bilioni 225.6. Kiasi hicho ni kikubwa zaidi kuwahi kutokea Afrika Mashariki na kuifanya...
  3. Pdidy

    Yanga tusicheze na Simba mpaka kesi zetu zitolewe uamuzi na TFF

    Kama kudharaulika tumedharaulika vya kutosha. Viongozi wa Yanga wakati wa kusimama.pamojasasa Hawa TFF wawe na heshima kwetu. Tunaomba msikubali cheza na Simba mpaka watujibu kesi zetu zote. Yanga timu inayojiongoza na heshima yake watujibu kwanza; barua zote zile kesho mtasikia na za timu...
  4. B

    TFF wanatatizo gani jamani kwanini Simba haichezi katikati ya wiki kisa maandalizi?

    Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi sana kuhusu ligi yetu. Ukiangalia Chelsea kacheza Jumamosi na Jana iumanne kacheza why Simba tunawekwa ubwete sana. Niwaambie viongozi wa Simba kama wanaona kukaa tu bila kucheza mechi kisa mashindano ya kimataifa tunashusha viwango vya wachezaji. Mimi ni...
  5. M

    Chagua sababu yako Kuu Kati ya hizi zifuatazo ya kwanini TFF imeisogeza Kariakoo Derby hadi tarehe 3 July, 2021?

    a) Kuipa Yanga SC muda mrefu wa Kujiandaa kwakuwa Kocha wao bado ni Mgeni na wasije Wakafungwa Kikatili na Simba SC. b) Kuihujumu Simba SC hasa Kimapato kutokana na kwamba Kimahesabu hadi tarehe mpya iliyopangwa Simba SC atakuwa ameshatangazwa Bingwa hivyo hata idadi ya Mashabiki itapungua...
  6. IBRA wa PILI

    TFF wamezingua hii ligi itaisha lini watani mwezi wa saba kweli?

    Yani simba na yanga kukutana terehe 3 ya mwezi wa saba muda huo ligi si inatakiwa iwe imeisha jamani ina mana wameshindwa kubalance muda hapa katikati kuna hatari ya kutokea mazingaombwe mengne utasikia mechi imeludishwa nyuma Ngoja tuone. Alafu hapo ligi inaenda mpaka tarehe 18 mwezi wa saba...
  7. Jacobus

    TFF ziacheni timu zicheze mechi

    Matokeo ya jana kati ya Namungo vs Yanga (sare ya bilabila) na Kaizer Chiefs vs Simba (4 - 0) ndo matokeo ya timu kutocheza mechi. Kaizer Chiefs kacheza mechi mbili yaani tarehe 6/5 na 12/5 ndo kakutana na timu ya Simba. Simba na Yanga kabla ya mechi yao ya tarehe 8/5, ambayo haikuchezwa...
  8. Replica

    FT: Namungo 0-0 Yanga | VPL | Majaliwa Stadium

    Ligi kuu Tanzania bara inaendelea leo kwenye mchezo ambao Namungo ya Lindi inaikaribisha Yanga Sc kutoka viunga Jangwani na Twiga. Mchezo huu unachezwa katika uwanja wa Majaliwa ulio mkoani Lindi. Magoli yote ya pande mbili bado yamenuna. ======= 00' Mwamuzi apuliza kipenga kuashiria mwanzo wa...
  9. Hadrianus

    Mashabiki tugome kuingia viwanjani mechi za timu za taifa

    Wizara ya Michezo na TFF wameshirikiana kutudharau wapenzi wa mpira wa miguu kwa kufanya mambo ya kijinga na kipuuzi kabisa. Kwanza wamegoma kuweka bayana kwanini mchezo ulisogezwa mbele kwa masaa mawili huku wakijitetea kwa hoja ya kitoto na kipuuzi "tulifanya hivyo kwa nia njema". Hiyo nia...
  10. tzkwanza

    Waziri Bashungwa na Dkt. Abbas muwe makini na kiki ya Yanga itawatokea puani

    Mlitaka kumfurahisha mama kwa kusogeza mechi mbele ili watu waangalie uzinduzi wa kitabu cha Mwinyi pia kumpa mama nafasi ili aje uwanjani. Kiki hii iligonga mwamba. Kiki ya pili mnataka kuwapa lawama Yanga na TFF wakati UJINGA mmeufanya nyinyi wizarani. Hii kiki ya pili nayo itawatokea puani...
  11. homeless1

    Wallace Karia: Hela za viingilio za mashahiki zipo salama na hakuna atakaedhulumiwa

    Rais wa shirikisho la soka Tanzania TFF Wallace karia amesema kuna taarifa itatolewa, hio ndio itaeleza Kila kitu juu ya mechi ya Simba dhidi ya Yanga kusogezwa mbele hadi kuahirishwa, lakini kwa sasa hata yeye hajui nini kilitokea. Karia amesema kuhusu hela za viingilio za mashahiki, zipo...
  12. Lee

    Bodi ya Ligi yatoa tamko kuhusu sakata la mechi ya Simba na Yanga

    Kile kilichotokea Jumamosi ya tarehe 8 na kauacha sintofahamu mpaka mda huu idara husika zinazidi kuchanganya wapenda kabumbu kwani TFF wanadai ilipokea taarifa kutoka bodi ya ligi leo hii bodi ya ligi inadai TFF, tusubirie kikao cha leo.
  13. Kipenzi Changu

    TFF yaomba radhi yaliyotokea mechi ya Simba na Yanga, kushughulikiwa kikanuni

    TFF wameshanawa, sasa ni zamu ya Bodi ya Ligi kunawa ikifuatiwa na Wizara. Wenye akili tushajua maelekezo yalitoka toka ngazi za juu kabisa
  14. Abby Newton

    Ukimya wa Wizara ya Michezo ni uthibitisho kwamba kuna "Mkubwa" alikurupuka

    Toka sekeseke la kuvurugika kwa mchezo wa watani wa Jadi,Wizara ya michezo imekuwa bubu licha ya TFF kueleza kuwa ilipokea maelekezo ya kubadilisha muda toka Wizarani. Kuna usemi kwamba "If you hide the truth people will create their truth". Sasa kuna uvumi mwingi na kila mtu anaongea lake...
  15. D

    Wanawake mna la kujifunza kutoka Taarifa ya TFF. Kuahirisha miadi ya mapenzi Wanaume hupata maumivu mara mbili

    Miadi ni saikolojia. Hizi ni kanuni za mahaba ingawa hazijaandikwa kama za TFF Wanawake mjifunze kutoka kwenye taarifa ya TFF! Mwanaume unapompa miadi kila kitu hufanya kwa kuzingatia appointment! Wapo wanaokula vizuri ili kujiweka sawa Wapo wanaopiga mazoezi kujiweka sawa Wapo wanandoa...
  16. S

    Yanga mnaivimbia TFF kisa kanuni imekiukwa. Mmejipanga kuzifuata kanuni zote au ni mihemko tu?

    TFF inaendesha Mambo yake kwa kuzingatia kanuni na sheria. Ni sawa. Lakini ni mara nyingi sana TFF imekuwa ikifumbia macho makosa mengi ya ukiukwaji wa kanuni na sheria zake yanayofanywa na vilabu vyetu, vikiwemo Yanga na Simba. Ni muktadha huo wa kubebana na kuchukuliana ndiyo TFF iliutumia...
  17. J

    Waziri hawezi kuahirisha mechi kwa sababu TFF iko chini ya FIFA na siyo wanasiasa, Bashungwa anaonewa bure!

    Ukweli ndio huo. Waliobadilisha muda wa mechi ni TFF wenyewe siyo waziri Bashingwa. Serikali haiingilii mambo ya soka kwa mujibu wa kanuni za FIFA. Kwahiyo haiwezekani kabisa Rais wa TFF akaahirisha mechi kwa maagizo ya kisiasa. Tatizo viongozi wote wa TFF ni wanazi wa Simba so hawatumiagi...
  18. Kipenzi Changu

    Yanga imetumia "akili ndogo" ya TFF kutafuta sababu?

    Hii ndio maana halisi ya Utopolo. Huyu utopolo hata kanuni za kupewa point 3 hazijui. Sasa Simba Sc inahusika vipi? Msingekuwa Utopolo mngefanya maamuzi mawili. 1. Kuingiza timu saa 1 mkacheza, au 2. Mkaondoa timu na kushinikiza Karia na Waziri wajiudhuru
  19. Kipenzi Changu

    Mashabikiwa wataka TFF waombe radhi na kuwarudishiwa Viingilio vya Mchezo wa Simba na Yanga ulioahirishwa

    Pisi kali huwa inakupa uhakika wa kuja mpaka mida ya kukaribia. Halafu dakika za mwisho kabisa inazingua bila kutoa sababu au kutoa sababu za kijinga. TFF walitupa uhakika wiki nzima mpaka leo asubuhi kuelelea mchana. Imekuja kuzingua dakika za majeruhi na haijatoa sababu kabisaaaaa. Pisi...
  20. Street Hustler

    Wizara ya habari, TFF na Bodi ya ligi Mpira wanatakiwa kujipima kama bado wanastahili kuwepo kwahili la Game ya Simba vs Yanga

    Wizara ya habari na utamaduni kwa kushirikiana na TFF kupitia Bodi ya ligi Tanzania wanatakiwa kujipima kwamba bado wanastahili kusimamia michezo hasa Mpira kwa kipindi hiki na kuendelea? Weledi wao umeonekana bado haukidhi mahitaji ya kuendeleza michezo hasa soka kwa kutokuwa na Nia njema...
Back
Top Bottom