TFF na AZAM TV zimeingia mkataba wa kudhamini ligi ya soka Tanzania Bara bila ya kutangaza Tenda na Pia hakuna mikataba mirefu kama huubwa miaka kumi.Huu ni ukiukwaji wa utaratibu wa kuonyesha mechi za mpira wa miguu nchini.
Duniani kote Tenda zinatangazwa na kila kampuni inatoa ofa lakini haipewi kuonyesha mechi zote.Mfano ligi kuu ya Uingereza ofa ni kubwa mno kila timu kubwa na ndogo zinafaidika.
Wapo skysports, Bsports na Amazon. Ligi hii ya premier ya England ina thamani ya paundi za Uingereza Bilioni 6 na mkataba na Barclays bank mnono. Sasa hapa kwetu TFF itaingiaje mkataba wa miaka 10 na kampuni moja? Ama kweli fumbo mfumbie Mjinga,mwerevu hungamua.
WIZARA YA HABARI NA MICHEZO IINGILIE KATI MKATABA HUU KWA SABABU KUU TATU; 1)Tenda itangazwe na makampuni mengi ya utangazaji yatatoa ofa ambazo zitasaidia hata timu ndogo(2) TV moja isepewe asilimia 100 kama ilivyo sasa,zigawanywe kutokana na pesa wanazo ofa(3)Mkataba uwe wa miaka 3 mitatu tu na siyo 10.Kwa wengi na kwa sasa mabillioni wanayaona mengi lakini kwa miaka 10 ni pesa ndogo sana.
Hapa pana mambo ambayo inabidi yaangaliwe.TFF wasitufanye Watanzania wajinga na mbumbumbu. HAKUNA MIKATABA YA KUONYESHA MIPIRA KWA TELEVISION MOJA KWA MIAKA KUMI TENA KWA KIASI KIDOGO CHA PESA. TFF VUNJENI MKATABA NA AZAM TANGAZENI TENDA, TV NYINGI ZITAKUJA NA OFA , TIMU ZOTE ZITAFAIDIKA ZENYE UWEZO NA AMBAZO HAZINA. WIZARA YA HABARI, MICHEZO, BMT AMKENI.
Duniani kote Tenda zinatangazwa na kila kampuni inatoa ofa lakini haipewi kuonyesha mechi zote.Mfano ligi kuu ya Uingereza ofa ni kubwa mno kila timu kubwa na ndogo zinafaidika.
Wapo skysports, Bsports na Amazon. Ligi hii ya premier ya England ina thamani ya paundi za Uingereza Bilioni 6 na mkataba na Barclays bank mnono. Sasa hapa kwetu TFF itaingiaje mkataba wa miaka 10 na kampuni moja? Ama kweli fumbo mfumbie Mjinga,mwerevu hungamua.
WIZARA YA HABARI NA MICHEZO IINGILIE KATI MKATABA HUU KWA SABABU KUU TATU; 1)Tenda itangazwe na makampuni mengi ya utangazaji yatatoa ofa ambazo zitasaidia hata timu ndogo(2) TV moja isepewe asilimia 100 kama ilivyo sasa,zigawanywe kutokana na pesa wanazo ofa(3)Mkataba uwe wa miaka 3 mitatu tu na siyo 10.Kwa wengi na kwa sasa mabillioni wanayaona mengi lakini kwa miaka 10 ni pesa ndogo sana.
Hapa pana mambo ambayo inabidi yaangaliwe.TFF wasitufanye Watanzania wajinga na mbumbumbu. HAKUNA MIKATABA YA KUONYESHA MIPIRA KWA TELEVISION MOJA KWA MIAKA KUMI TENA KWA KIASI KIDOGO CHA PESA. TFF VUNJENI MKATABA NA AZAM TANGAZENI TENDA, TV NYINGI ZITAKUJA NA OFA , TIMU ZOTE ZITAFAIDIKA ZENYE UWEZO NA AMBAZO HAZINA. WIZARA YA HABARI, MICHEZO, BMT AMKENI.