Kwa lugha nyepesi wamefanya kazi ya Maulid Kitenge.Bodi ya ligi naona wameelezea namna simba na yanga zilivyoingia uwanjani na kutoka
Maswali magumu ambayo huwezi kupata majibuBado ya ligi, twambie sababu hasa ya kusogeza muda wa mechi hiyo mbele kwa masaa mawili, TFF walisema al-shabab wameshafika uhasibu au kimbunga Jobo kiko kigamboni tayari? Hayo ndiyo tunataka kujua...
Nakubaliana na wewe!Mi nadhani hii trick ya kuaihirisha mchezo ipo kisiasa zaidii.
Kuna kitu nyuma ya panzia.