tecno

  1. Its Pancho

    Msaada: Jinsi ya kutoa google FLP kwenye simu ya android Tecno

    Wakuu kwa anaejua maujanja maana nimeingiza email yangu kama mara nyingi inavyofanyika lakini nikifika mwisho inaandika try again hivyo naomba nipewe njia nyingine ili niweze kutoa flp kwenye hii Tecno.
  2. R

    Msaada ku-upgrade Android 7 to Android 8 Tecno

    Habari wakuu. Nina simu ya Tecno POP1 ina Android 7. Naomba muongozo namna ya kwenda Android 8. Natanguliza shukrani za dhati.
  3. Shadow7

    TECNO kutwaa tuzo ya simu pendwa baada ya kuishinda Samsung

    Utafiti wa soko la teknolojia, uliofanywa na Kampuni ya utafiti ulimwenguni inayojishughulisha na bidhaa katika tasnia ya teknolojia ya vyombo vya habari na mawasiliano ya simu. Mwishoni mwa mwezi wa nne wametoa report ikionyesha kuwa kampuni ya simu TECNO imechukua nafasi ya kwanza kama simu...
  4. magnifico

    Msaada: Jinsi ya kuunlock Tecno RC6 (r7+).

    Wataalam kuna hii simu tajwa hapo juu inatumia line mbili ila iko locked kwenye vodacom. Nimejaribu kuunlock kwa kutumia NCK Android MTK ile cracked nimeshindwa. Nakutana na error 36 phone not support meta connection, lakini inakuwa tayari ishaboot upande wa meta ila connection inastop hapo...
  5. mercphason

    Phone4Sale Tecno J8 Boom inauzwa, karibuni wateja

    Haina shida yoyote wakuu... Bei 120,000/= Mawasiliano 0654245367 (call, msg & whatsap)
  6. M

    Phone4Sale Nauza Tecno Camon X kwa 140,000/=

    SOLD
  7. monotheist

    Phone4Sale Tecno Camon 12 Air

    Ram 3gb Rom 32gb Network 4gLTE Betry 4000mAh Triple camera No cracks No scratches Used as new 200k 0692402211 Tabata , Dar es salaam
  8. M

    Nauza Tecno Camon X

    SOLD
  9. teac kapex

    Kwa watumiaji wa Tecno smart Kitochi

    Watumiaji wa Tecno smart Kitochi, Tigo smart Kitochi pamoja na Vodacom smart Kitochi naomba kujua hizo simu kama zina uwezo wa Hotspot, namaanisha kwamba kama nikiweka bando la internet naweza kuitumia hiyo simu kama hotspot kwa simu nyingine au computer? mrejesho tafadhali
  10. Pastory Kimaryo

    Nawezaje kupata file la "Trash" kwenye simu yangu Tecno f1

    Wakulungwa habari ya muda huu, simu yangu kila nikifuta kitu inaleta disappearing notification "item moved to trash", awali nilidhani mizigo ndio inakuwa deleted for good sasa leo nadelete baadhi ya items inasema "trash full. If you delete these items you delete them permanently" hapo ndo...
  11. Salahan

    Msaada jinsi ya kuagiza simu za Tecno na Itel kwa bei ya kiwandani

    Simu ndogo ndogo hususani hivi vya batani za kampuni pendwa Africa namaanisha Tecno na Itel. Tumekuwa tukinunua simu hizi bei ya jumla maduka kadhaa kkoo arusha na kwingineko. Nahitaji kujua vp nami naweza kuwa msambazaji yan nikauziwa kwa bei ya kiwandani utaratibu ukoje.Hapa namaanisha...
  12. TECNO Tanzania

    Tecno kutoa kitita cha milioni moja kupitia promosheni ya camon 16 billboard star

    Kampuni ya simu za mkononi ya TECNO imetangaza kuanza rasmi promosheni ya Camon16 Billboard Star ambayo itawawezesha wafuasi wake wa kurasa za mtandani pamoja na wateja kwa ujumla kujinyakulia zawadi ya kitita cha shilingi milioni moja, kupata nafasi ya kuwekwa kwenye bango kwa muda wa wiki...
  13. TECNO Tanzania

    Tecno camon 16s yazinduliwa rasmi

    Kampuni ya simu za mkononi ya TECNO imezindua rasmi simu yake mpya toleo la CAMON 16s leo jijiini Dar es Salaam pamoja na kuwatambulisha mabalozi wa simu hiyo. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo uliofanyika kwa njia ya mtandao, meneja mahusiano wa kampuni hiyo bwana Eric Mkomoya amesema simu...
  14. TECNO Tanzania

    Tecno Camon 16s kuingia sokoni hivi karibuni

    Kampuni ya simu za mkononi ya TECNO inatarajia kuzindua simu mpya ya TECNO CAMON 16s, ni simu ambayo inakuja na teknolojia kubwa ya kamera na uwezo mkubwa utakaowanufaisha watumiaji katika shughuli zao za kiofisi na kiuchumi. Taarifa kutoka kampuni ya TECNO zinaeleza kuwa TECNO CAMON 16s ina...
  15. TECNO Tanzania

    Kampuni ya simu TECNO yazindua rasmi TECNO Spark 5pro

    Kampuni ya simu TECNO yazindua rasmi TECNO Spark 5pro. Uzinduzi wa simu hiyo umefanyika Kidimbwi Beach tarehe 18/10/2020 na kuhudhuriwa na wageni mbalimbali akiwemo komediani maarufu Jaymond na wadau wa simu za TECNO. Uzinduzi wa Spark 5pro ulifanyika katika mfumo wa party ambapo DJ...
  16. JAMES EM

    Tecno camon 11 inahitajika

    Wajamen anayeuza simu tecno camon 11 aje hapa na ofa yake hapa Location: DSM Mobile: 0715 445298.
  17. TECNO Tanzania

    Tsh.50,000 kwa Tsh.500,000 na Tecno spark 5pro, pre oder sasa!

    Pata nafasi ya kujishindia zawadi yenye thamani ya zaidi ya shillingi laki tano-500,000tsh lakini pia jinyakulie zawadi nyengine kama vile TECNO H2 earphone na TECNO S1 wireless speaker pale tu utakapoingia katika maduka ya TECNO na kufanya malipo (pre-order) ya awali sh.50,000 kwa jili ya simu...
  18. rabyn kiwinga

    Naomba msaada wa kutatua tatizo hili, natumia simu aina ya Tecno F1 MT6580

    "phone ACK error ( get infor)_id_03_01" by gsm alladin V2 1.34 msaada mwenye kufahamu namna ya kusolve io kitu..ahsanteni!!
  19. happyrozo

    Nimepoteza simu leo asubuhi Tecno Camon 11

    Habarini za saizi wadau wa Jamii Forums. Nimepoteza simu ya Tecno Camon 11 leo, nilikuwa naomba msaada wenu wa ushauri ni nini hatua ya kwanza ya kuchukua kuanzia sasa na ni namna gani nitaweza kuipata simu yangu. Asanteni sana
  20. Loraa sum's

    Phone4Sale Tecno spark 3 pro inauzwa

    Used tecno spark 3 pro Android version 9 Ram 2gb Internal memory 32GB Box na risiti vipo Eneo Temeke (Dar) Contact 0712518770 Bei- 200,000
Back
Top Bottom