tecno

  1. TECNO Tanzania

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Simu ya TECNO Yaimarisha Ushirikiano wake na Google Kwenye Mkutano wa Maonesho ya Teknolojia 2020

    Toleo jipya la simu CAMON 12 Pro ya hivi karibuni imewekewa kitufe cha Msaidizi wa Google (Google assistant) ambacho kinaruhusu watumiaji kufanya mambo mengi zaidi kwenye mfumo wa Google. Kampuni kinara ya Kimataifa ya simu za rununu ya TECNO yenye simujanja yake ya Camon 12 Pro ya hivi...
  2. Jededaya

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Nauza Tecno camon 11 pro

    Imetumika miezi miwili tu nauza kwa bei ya TSH 270,000 ipo katika hali nzuri haina tatizo lolote napatikana Mabibo Mwisho Dar es Saalam wasiliana nami kupitia 0767324191 au 0679318693.
  3. ashomile

    JamiiForums Tanzania Leo tuizungumzie Tecno Spark 4 Air, toleo la simu hii August 2019

    Tecno Spark 4 Air ni simu yenye sifa zifuatazo:- 1. Display: IPS LCD, 6.1 inches 2. OS: Android 9.0 (Pie) Kwa kuboresha toleo la hivi karibuni la mfumo endeshi na kiolesura cha mtumiaji, mabadiliko murwa na yenye kuburudisha zaidi yanakusubiri uyavinjari. Wakati huu, huhitaji tena vipodozi...
Back
Top Bottom