technology

  1. BARAKA N RANGE

    Tantech services

    Karibu Tantech ujipatie huduma mbalimbali kwa bei nafuu kama website,system,application design.,Digital marketing,social media boosting followers tiktok 1k=8000tzs instagram 1k=8000tzs likes tiktok 10k=12000tzs instagram 10k=12000tzs views tiktok 10k=10000tzs instagram 10k=10000tzs karibu...
  2. JanguKamaJangu

    Moto waunguza Bweni la Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (Mbeya University of Science and Technology - MUST)

    Taarifa ni kuwa kuna bweni la Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (Mbeya University of Science and Technology) linaungua kwa moto leo Mei 20, 2025. UPDATES... ( Taarifa ya Mtandao wa Mustso_updates) Moto mkubwa ulizuka katika Hostel za Wasichana 8C lakini umekwisha kudhibitiwa, mpaka...
  3. Tanzanian kid

    Ajira za watu wa information technology (IT)

    Habari za muda huu watu wa JF. Samahani kwa kuwachosha pia poleni na majukumu ya kazi za hapa na pale Nauliza kuhusu nafasi za kazi kwa mtu aliyesoma diploma ya information technology au degree maana nimepitia nyuzi nyingi sana humu sijaona wakiongelewa huenda wengi wamejiajiri tofauti na...
  4. Jamii Opportunities

    Specialist; Technology Control at NMB Bank May 2025

    Specialist; Technology Control (1 Position(s)) Job Location : Head Office, Hq Job Purpose: Responsible for identifying, assessing, mitigating, and monitoring technology-related risks across all technology functions and ensuring compliance with relevant regulations and internal policies...
  5. Gordon Technology

    Wauzaji Vitasa vya kufungua kwa fingerprint na password in Dar es salaam

    Piga 0746373222 Kwa mahitaji ya vitasa janja (smart lock) yani vitasa ambavyo unaweza kufungua kwa funguo za kawaida na pia ukitaka unafungua kwa password au fingerprint au app ya simu au card. Vipo vitasa kwa ajili ya milango ya mbao,milango ya alminium,milango ya vioo na pia milango ya...
  6. Davidmmarista

    Technology Yetu miaka 10 ijayo je tutakuwa wapi?

    Wadau wa technology: Software Robotics AR & VR technology Mobile Computing Tech in Health Nk. Predictors (Pattern recognitors) wa tujadili next gen tech
  7. G

    Level ya diploma information and communication technology nauliza maswali ya practical interview yana base wapi

    Wadau kwa aliewahi kufanya usaili wa vitendo kwenye level ya diploma in information and communication technology ni kipengele gani huwa wana deal nacho
  8. Radical-1

    Kijana kutoka Namibia ametengeneza Simu isiyotumia sim-card (line)

    Huyu kijana wa Namibia kwa jina la SIMON PETEUS amegundua simu isiyohitaji mfumo wa SIM (yaani kibongobogo laini za simu) Je unadhani hili lina madhara gani kwa watu wa kawaida na kwa wamiliki wa mitandao ya simu kama Vodacom, Airtel na zingine ikiwa simu hii itaingia sokoni? Simu haihitaji...
  9. Jamii Opportunities

    Head of Information Technology – Ports and Terminals at DP World April 2025

    Job Function: This role is responsible for planning, design, implementation and maintenance of the Port’s information technology (IT) systems, network connectivity, application and data servers, workstations, communications systems, cyber security protection and backup solutions, user training...
  10. jikuTech

    Information Technology(IT-TEHAMA)-02

    JINSI YA KUPATA ELIMU YA MAMBO MBALIMBALI KUPITIA DIGITALI YA TEHAMA Jiku Tech Tips itakufundisha njia za kutokana na wewe. Njia za kutokana na wewe hapa maana yake kama unavyofahamu kila mtu ana uwezo wake wa pekee ambao ikiwa itakuwepo taarifa moja na watu wawili basi matumizi ya taarifa...
  11. jikuTech

    Information Technology (IT-TEHAMA)-01

    UTANGULIZI JIKU TECH TIPS ni Software Developer na mkufunzi wa hatua za awali na kati za kujifunza , kufanya na kuishi Tehama ya awali, kati na juu. TEHAMA kirefu cha maneno Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, huwakilisha teknolojia ya kompyuta na mitandao ya mawasiliano. Ili uendelee na...
  12. The redemeer

    Mnaokamua mawese kutengeneza mafuta au miwa kutengeneza sukari chukua technology hio

    Pikipiki huwa na matumizi mengi sio kubeba abiria tu hata kufanya kazi zingine pia ikiwemo kulima. Huyu mwamba anaitumia kukamulia michikichi ili apate mafuta ya mawese. Huitaji kwenda Veta.
  13. P h a r a o h

    Discoveries, Science, Technology and Nature

    Ninauweka wakfu uzi huu kwaajili ya ku-share mambo yanayohusiana na uvumbuzi, sayansi, teknolojia, na nature leo naanza na hii Sungura wa California wameanza kula nyama: utafiti mpya unaonyesha kuwa wanakua wawindaji Katika mabadiliko yasiyotarajiwa ya asili, sungura wa California...
  14. Vien

    Tabia ya waumini wengi wa KKKT kuondoka kabla ya ibada kuisha, Ni ishara kanisa linahitaji mabadiliko makubwa ya uendeshaji wa ibada

    Habari wakuu, Mimi dhehebu langu ni Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Kanisa letu lina utaratibu wa kufuata kalenda ya mwaka, ni jambo zuri, Lakini kuna haja ya kufanya mabadiliko kwenye baadhi ya vitu ili kuendana na dunia ya leo Usomaji wa matangazo ya week, Kwa dunia ya...
  15. Vien

    Kutokana na maendeleo ya Technology ni muda muafaka wa makanisa kuendana na wakati

    Habari za muda huu wakuu, Mimi dhehebu langu ni Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Kumekua na utaratibu wetu wa kufuata taratibu na kalenda ya kanisa inavyotaka, ni kitu kizuri sana, lakini naona kuna haja ya kuendana na mabadilko ya technology ilikua kuokoa muda Mfano 1)...
  16. Kong xin cai

    How My BSc in Physics Solves Real-World Problems in Education, Technology, Industry, and Medicine

    deleted
  17. K

    Diploma in operation theatre technology naomba kujua nkitaka kusoma kwa tanzania naenda chuo gani

    Diploma in operation theatre technology naomba kujua nkitaka kusoma kwa tanzania naenda chuo gani
  18. Nomadiq

    Ubora na utendaji wa hii upoje?

    Habari wanajukwaa Nahitaji kununua laptop kwaajili ya mambo yafuatayo Kufanya basic coding kwa kutumia HTML,PHP,Javascript,C# Kutumia application za Adobe kama Lightroom,InDesign, na Photoshop Kutumia App za Microsoft kama MS Excel,Word; na Libre Office HP Elitebook 840 G6 (Refurb) nimeona ndio...
  19. KOMBO ALI

    Mtu aliyemaliza Diploma ya Uvuvi yan fisheries science and technology anaweza kusoma degree ya Computer science?

    Hello Naomba kuuliza mtu aliyemaliza diploma ya uvuvi yan fisheries science and technology anaweza kusoma degree ya Computer science au IT Asanten.
  20. A

    KERO Ucheleweshaji wa pesa za refund Mbeya University of Science and Technology (MUST)

    Hii changamoto imetokea tangu mwaka 2022 ikatulazimu tuendelee kusubiri maana bado tulikuwa tunasoma , hivyo hela iliyokuwa imezidi ikawa inatumika kwa michango mingine kama direct cost na tuition fees hii haikupelekea hiyo hela iliyozidi kutokana na uongezewaji wa Ada kipindi ambacho Sisi...
Back
Top Bottom