Hizi ajira zao zilitangazwa mnamo mwaka jana mwezi wa nane (Agosti 2024) mpaka kufikia leo mchakato wake haujakamilika.
Tukiangalia taasisi kama Tanapa, Uhamiaji, Polisi pamoja na Magereza mchakato wao huwa unakamilika ndani ya miezi mitatu au miwili
Je, kinachokamisha hizi taasisi za Wakala...