tarehe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Tanzania yazindua Noti Mpya toleo la 2010 zenye Saini ya Waziri Mwigulu Nchemba na Gavana Emmanuel Tutuba

    Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Bw. Emmanuel Tutuba amesema kuwa Noti Mpya za Tanzania zenye Saini ya Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb) na yeye mwenyewe, za toleo la mwaka 2010, zitaingia kwenye mzunguko kuanzia tarehe mosi Februari mwaka huu. Gavana Tutuba amesema hayo wakati...
  2. Inside10

    JamiiForums Tanzania John Mrema kuunguruma tarehe 25 January

    Keshokutwa MwenyeziMungu akinijalia nitasema kwa kinywa kipana sana ! Taasisi ni muhimu sana! Matusi na kejeli havijengi! Kuishi Ughaibuni havijengi!!
  3. Cannabis

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema live Power Breakfast tarehe 23/01/2025

    Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA Godbless Lema anatarajiwa kuwa live kesho Clouds FM katika kipindi cha Power Breakfast. Mara ya mwisho mahojiano yake katika kipindi hicho yalishindikana kufanyika. https://www.jamiiforums.com/threads/godbless-lema-kutikisa-power-breakfast.2192804/
  4. ngara23

    JamiiForums Tanzania Derby ya Kariakoo kupigwa tarehe 8 March

    Bodi ya ligi imepanga maboresho ya ratiba ya ligi kuu NBC, huku ikiipa Derby ya Kariakoo tarehe 8 March Simba pia atarudiana na Azam tarehe 24 March katika Mzizima derby, huku Yanga wakirudiana na Azam tarehe 10 April Usiku wa deni hauchelewi Kumbuka Simba alipigwa ataingia kwenye record ya...
  5. chiembe

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Lema kutikisa Dodoma leo tarehe 19/01/2025, Amfuata Msigwa

    Ni suala la muda tu, mambo yote yako tayari. Ni mtikisiko mkubwa.
  6. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je mitungu ya gesi Ina expire? Na kama ni hivyo ni kwa muda gana na wapi huandikwa tarehe husika na nani anawajibika kutujuza juu Hilo?

    Tangu nitumie mitungi ya gesi sijawahi ona expire date kwenye mitungi hiyo je nani anawajibika ? Nimeona mtu kaandika huko Instagram hivi Hapa alimaanisha mitungi sio majiko na kama ni hivyo haya majiko yana exipiredate wapi. Sababu kinacho lipuka ni mitungi wenye gas, nadhani labda mipira...
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinana

    Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema mkutano mkuu wa chama hicho utafanyika kati ya Januari 18 na 19, 2025 jijini Dodoma. Katika mkutano huo utakaoongozwa na mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan kutafanyika uchaguzi wa makamu...
  8. ngara23

    JamiiForums Tanzania Yanga kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Gor Mahia tarehe 22 February

    Mchezo huu utakuwa wa uzinduzi wa uwanja wa Jaramogi Oginga Odinga, ambao ulikuwa ulikuwa ukihairishwa mara kwa mara mara kutokana na Yanga Kuwa na mchezo minginya CAFCL Mashabiki wa Kenya wameusubiria mchezo huu Kwa hamu, na uuzaji wa ticket tukianza uwanja utajaa siku hiyo Yanga ndo timu...
  9. Red shadow

    JamiiForums Tanzania REVIEW YA MOVIE: Kung fu panda 4

    Chameleone: Giving to gain I believe thats how things work
  10. Cannabis

    JamiiForums Tanzania John Heche aitisha press conference tarehe 05/01/2025

    John Heche anategemea kutema cheche 05/01/2025, saa tano asubuhi. Press conference hii itakuwa live kupitia vyombo mbali mbali vya habari. Uamuzi huo wa kuitisha press conference umeonekana kuungwa mkono na Godbless Lema kupitia mtandao wa X. Soma zaidi...
  11. K

    JamiiForums Tanzania KERO CRDB BANK Mlichonifanyia tarehe 31.12.2024 ni zaidi ya unyang'anyi

    Leo nimeenda kwenye moja ya ATM za CRDB Bank nikiwa na nia ya kutoa fedha kiasi cha 200k+. baada ya majaribio kadhaa ya kujaribu kutoa kiasi hicho ambacho nilikuwa na uhakika ninacho kwenye akaunti kushindikana ikabidi niangalie salio, sikuamini baada ya kukuta kiasi cha Tshs. 96,280...
  12. A

    JamiiForums Tanzania KERO Afisa Utumishi anazungusha kubadili tarehe za likizo tokea Novemba 2024

    Tangu Novemba 2024 nimekuwa niliwasiliana na HRS wahuishe na kubadili TAREHE za likizo, mwezi Novemba ukaisha, Disemba umeisha mpaka sasa Januari kila siku nitabadilisha nitabadilisha . Wadau Ma-HR mlio humu na Ma-IT wa Halmashauri hivi kufanya mchakato huo ni masaa mangapi? Kuna ugumu gani...
  13. Cecil J

    JamiiForums Tanzania Karibu tufanye countdown kuelekea Tarehe 1, January 2025.

    Tukiwa tunasubiri kuufikia mwaka mpya (2025), karibu hapa tupige story!
  14. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Leo tarehe 31.12.2024 ni siku ya mwisho kabisa ya mwaka huu. Nachukua nafasi hii kuomba radhi

    Tunahitimisha mwaka 2024.. Kiuhalisia hakuna kinachobadilika zaidi ya tarakimu.. Maisha yetu yametawaliwa na tarakimu.. Na hizi ndio zinaendesha dunia ya kimwili na ya kiroho pia Tarakimu hazina kinyume(rivasi).. Muda haurudi nyuma.. Hivyo basi siku hii ya huu mwaka haitakaa irudi tena maishani...
  15. Magical power

    JamiiForums Tanzania Tarehe 1 Januari itakuwa siku yako ya baraka sana #idai

    Tarehe 1 Januari itakuwa siku yako ya baraka sana #idai
  16. A

    JamiiForums Tanzania Je kunawezekana kuwepo wakati ujao kwenye internet?

    Je kunawezekana kuwepo kwa tomorrow kwenye kitu kinaitwa habari au later today? ? Wajuvi wa mambo mniambie
  17. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania The Voices From Within: Warning kwa Chadema, Be Very Careful, Msifanye Ujinga Wowote!, Mkileta Tuu Ujinga!, Tarehe 21 Jan. Kutakuwa Hakuna Uchaguzi!.

    Wanabodi Mzee wa masauti, Nimesikia sauti ikiniambia niwaonye Chadema mapema tuu, kwenye huu uchaguzi wao wa mwenyekiti, this time around, wasithubutu au wasifanye ujinga wowote au janja janja yoyote!, wafuate tuu katiba yao, sheria taratibu na kanuni, uchaguzi upite salama. Wakileta ujinga...
  18. Bezecky

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 MDAHALO: Wagombea Uenyekiti wa CHADEMA kuhojiwa na Chief Odemba. Ni tarehe 18.01.2025 Jumamosi

    Kumekucha ila ngoja tuone Miamba hii miwili ya CHADEMA itakavyomenyana mbele ya Wananchi, Tuendelee kumwomba Mungu ili sote tufike salama 2025. ==== Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utafanyika tarehe 18/01/2025, siku ya jumamosi kuanzia saa 3:30 Usiku hadi saa 6:00 Usiku, mahali...
  19. Q

    JamiiForums Tanzania Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utafanyika tarehe 18/01/2025

    Edwin Odemba: Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utafanyika tarehe 18/01/2025, siku ya jumamosi kuanzia saa 3:30 Usiku hadi saa 6:00 Usiku, mahali mtajulishwa. Mpaka sasa wagombea wawili wamethibitisha kushiriki mdahalo huo, tunaendelea na jitihada za kuhakikisha wote wanashiriki katika...
  20. Setfree

    JamiiForums Tanzania Tarehe 25 Desemba Ndiyo Siku Iliyoteuliwa Tusherehekee Krismasi

    Kuna watu wanajiuliza kwanini Wakristo wanasherehekea Christmas tarehe 25 Desemba? Imeandikwa wapi? Na wengine wanaenda mbali kwa kusema kusherehekea Christmas tarehe 25 Desemba ni ibada ya upagani. Naomba nitoe majibu ya maswali hayo kwa ufupi: Tarehe 25 December ilichaguliwa na Wakristo wa...
Back
Top Bottom