⚠️ TAARIFA YA MTOTO ALIYEPOTEA ⚠️
Tunaomba msaada wa wananchi wote.
Mtoto anayeitwa EDITHA ERICK ameripotiwa kupotea tangu juzi saa 1 usiku na mpaka sasa bado hajapatikana.
📍 Maeneo aliyopotelea:
Wilaya ya Hai, Kata ya Bomang'ombe.
Kwa yeyote atakayemuona au kuwa na taarifa zozote zinazoweza...
Ni sisi ONFON MEDIA watu mahiri kwenye mifumo mbalimbali, wakati huu tunakusogezea huduma ya RING BACK TUNES kwa gharama ndogo sana ya 30,000/=.
Mfanye mteja wako apokelewe na ujumbe maalumu mara tu akupigiapo simu.
Nipigie/WhatsApp 0795790411
Wakuu, katika harakati zetu sisi vijana, hasa upande wa kibiashara, je, ubunifu wa kutengeneza matangazo una athari zozote katika maendeleo ya biashara zetu?
Kwa mfano, unakuta baadhi ya watu huweka matangazo yenye vichekesho, na baadhi yao huweza kuvutia wateja na kuwafanya wapendezwe na...
💧 TANGAZO LA KIPIMA UBORA WA MAJI (TDS METER) 💧
Je, unajua ubora wa maji unayokunywa kila siku?
Linda afya yako na familia yako kwa Kipima TDS cha maji!
✅ Hupima haraka kiwango cha uchafu kwenye maji
✅ Sahihi na rahisi kutumia
✅ Kidogo na rahisi kubeba popote
✅ Kinafaa kwa maji ya kunywa...
Siku ya wapendanao, watu wengi hutumia kwa kuwa na muda wa pamoja, japo si lazima kufanya ngono, ila ikitokea mmekutana kimwili basi zingatia haya.
Kama mwanamke yupo kwenye siku zake leo Feb 4 (unamalizia au umeanza siku kadhaa zilizopita) kuna uwezekano mkubwa siku ya valentines day 2026...
VN HARDWARE ni duka la kisasa la vifaa vya ujenzi linalolenga kutoa suluhisho kamili na la kuaminika kwa sekta ya ujenzi.
Tunajihusisha na usambazaji wa vifaa bora vya ujenzi kwa mafundi, wakandarasi, kampuni na wateja binafsi, tukizingatia viwango vya ubora, ufanisi na huduma ya kitaalamu...
Mzazi au mlezi, je unajisikia maumivu kuona mtoto wako:
Hajasoma wala kuandika vizuri?
Anapata tabu kuelewa masomo darasani?
Anashuka darasani licha ya juhudi zako zote?
Anaogopa masomo au hana kabisa hamasa ya kujifunza?
Usijilaumu. Watoto hawafeli kwa sababu hawana uwezo, mara nyingi...
Nafasi za kazi huria
Kazi ni digital services
Mshahara -100k kwa mwezi
Uwe na simu
Uwe mkoa wowote
Mkataba upo
Uwe una uzoefu wa kuongea na watu
(Communication skills)
Ushawishi muhimu
Wanaotaka ni PM AU ANDIKA NO YAKO NITAKUPIGIA
CONTACT:
zelemelohiym@gmail.com
Je, unahitaji mwalimu bora anayekufikia nyumbani au online?
Sisi tunatoa HUDUMA ZA HOME TUITION kote Afrika Mashariki 🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇷🇼🇧🇮🇸🇸
🔹 Mitaala yote (NECTA, Cambridge, IGCSE n.k)
🔹 Masomo yote kuanzia chekechea hadi sekondari
🔹 Lugha zote za kigeni
🔹 Mafunzo ya mtu mmoja mmoja au makundi
🔹 Online &...
Je, unatafuta mwalimu bora wa home tuition kwa mtoto wako au kwa ajili yako binafsi?
Sisi tunakuletea huduma bora, salama na za uhakika katika mikoa yote ya Tanzania
HUDUMA ZETU
Tunatoa Home Tuition kwa:
Awali (Nursery) – Msingi – Sekondari – Chuo
Mitaala yote
NECTA
Cambridge
IB
Montessori...
Anaitajika mfanyakazi mwenye taalum izi
Diploma ya business management
Diploma ya business handling
Social skills
Market idea na usafi
KAZI ni ya mini super market pamoja na butcher ivyo awe na idea ya kutunza nyama na samaki pia awe anaweza ku park vizur number ya sim 0763390302
Mwisho wa...
Anahitajika mfanyakazi mwenye taaluma zifuatazo:
Diploma ya business management
Diploma ya business handling
Social skills
Uelewa wa masoko na usafi
Kazi ni ya mini supermarket pamoja na butcher, hivyo mwombaji awe na uelewa wa kutunza nyama na samaki na awe anaweza ku-pack vizuri...
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI IDARA YA UHAMIAJI
TANGAZO LA AJIRA
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji kwa Mamlaka niliyonayo chini ya Kanuni Namba 11(1) ya Kanuni za Uendeshaji za Uhamiaji za Mwaka 2018, natangaza nafasi za Ajira Mpya za Konstebo wa Uhamiaji kwa...
Narejea kusisitiza kwamba, CCM ndiyo watakaosababisha vita ya wenyewe kwa wenyewe Tanzania
Kitendo cha Hangaya kutangaza 2024 kuwa vyombo vyote vya ulinzi na usalama kujiandaa kijeshi kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu 2025, lilikuwa ni tangazo la maandalizi ya vita dhidi ya raia.
Kitendo cha kutoa...
Wadau,
Kwa mujibu wa kifungu cha 20 cha Sheria ya Tume za Uchunguzi (Commissions of Inquiry Act), Sura ya 32, Toleo la 2023, Rais anapounda Tume ya Uchunguzi husika, Tume hiyo inapaswa kuanza kazi baada ya Uamuzi wa Rais kuchapishwa kwenye Gazeti la Serikali .
Taarifa ya gazetini inapaswa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.